Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Biblia haielezi kila kitu.Umetiririka vizuri toka mwanzo nimesoma nikakuelewa ila mwishoni umekuja ukaharibu.
Kuanzia kusema "Ibrahimu alimrithisha urithi Isaka peke yake" na mpaka ulipomalizia, ni umeharibu.
Umeshindwa kuweka wazi ilikuwaje alimrithisha ISAKA peke yake, ila Biblia ina eleza hilo.
Mkuu umeongea Point sana Yaani Umeongea bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote tunapenda watu walioelimika waanze kuongea hivi sio kubebwa na mihemko....FaizaFoxy, Wairan, Wamedi(Iraq) Waashuru ( Syria) hao sio waarabu. Na sikatai kuwa zipo jamii na jamaa au makabila ya waarabu yanayoishi katika mataifa hayo. Ni kama hapa Tanzania kuna waarabu lakini huwezi sema Watanzania ni waarabu. Pia wapo machotara waliozaliwa.
Taikon acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wamisr hawakuwa WaarabuHuyo ishmael alizaa na nani? Kama hajiri alitoka misri na unasema ishimaiel aliyezaliwa na hajiri ndiye alizaa waarabu wa leo sasa hao wamisri waliomzaa hajir hawakuendelea na uzazi hadi kumsubir ishimael ndo azae waarabu wa leo?
Mkuu umeongea Point sana Yaani Umeongea bila kuwa na ubaguzi wa aina yoyote tunapenda watu walioelimika waanze kuongea hivi sio kubebwa na mihemko....
Japo sijajua 🤣🤣 Faizafox ni Taifa la waarabu wa wapi?
🤣🤣🤣Faiza ni mlokole wa kiislamu
Mkuu Mada nzuri sana japo kiuhalisia Wapalestina sio waarabu..Faiza ni mlokole wa kiislamu
Huu Ni uongo mkuu muwe mnajaribu kuwa mnasoma..Archaeologic and genetic data support that both Jews and Palestinians came from the ancient Canaanites, who extensively mixed with Egyptians, Mesopotamian, and Anatolian peoples in ancient times
Safi sana umetoa ushauri mzuri sanaHivi ndo vitu tusome , tuelewe ama tupinge kwa Hoja .
Siyo ile mitusi ya kila kukicha humu jukwaani.
Ishmael hakuwa baba wa waarabu maana hakuwa mwarabu why?
Yakobo alizaa na mwanamke wa kimisri ambaye kwa mujibu wa vitabu misri ni mwana wa ham (ukoo wa jamii ya watu weusi) hivyo basi hata mtoto aliyezaliwa kutoka kwa ibrahimu ambaye nae race yake ina utata(si mwarabu si mzungu) hivyo ishmael lazima angekuwa Afro-Asiatic, mujue kuwa misri ya kale sio hii ya leo inayokaliwa na majizi mapandikizi kutoka uarabun, misri ya kale ilikuwa ardhi isiyo na watu weupe.
Hivyo basi mwana wa Yakobo si mwarabu na si baba wa waarabu na hakuitwa ishmael kwakua hana Asili wala , uhusika na watu wa Asia.
Qur'an imeharibu sana historia ya babu zetu kwa kuiba na kuweka ktk vitabu vyao vyenye stori za kubuni.
Someni vizuri na muelewe hizo dini tumepigwa, tumefundishwa vitu vingi vya uongo.
Mwarabu asili yake haihusiki na huyo ishmael wa mchongo, Yakobo hausiki na uzao wa waarabu wala jamii ya hao waisrael wa uongo hapo middle east.
Siku si nyingi mtakuja kugundua ushenzi wa hizi dini zilizoharibu mfumo wa maisha kwa kuwapandikiza uongo+chuki.
Mimi sijasema imesema kila kitu, ila nimesema inaeleza kwanini Isaka alipewa Urithi peke yake alafu ishmael na mwanae wakafukuzwa wakaelekea huko SaudiaBiblia haielezi kila kitu.
Mimi sijasema imesema kila kitu, ila nimesema inaeleza kwanini Isaka alipewa Urithi peke yake alafu ishmael na mwanae wakafukuzwa wakaelekea huko Saudia
Hata kama alifukuzwa hiyo haikuwa maada uliyoileta wewe.Unajua hata Ibrahim alifukuzwa na Baba yake huko Uru
Ukweli WA asili Yao ni ipi wewe uliyesoma.Mkuu Mada nzuri sana japo kiuhalisia Wapalestina sio waarabu..
Huu Ni uongo mkuu muwe mnajaribu kuwa mnasoma..
Safi sana umetoa ushauri mzuri sana
Mkuu umeongea Uhalisia na kwa hisia Sana Upate baraka kuendelea kutetea ukweli wanaoufumbia macho watu...
Hata kama alifukuzwa hiyo haikuwa maada uliyoileta wewe.
Maada ilikuwa ni urithi wa watoto wa Ibrahimu, imalize kwanza hiyo maada.
ushahidi uko wazi. wewe ndiye hujui unachobishiaHearsay tu....unaweza kuweka ushahidi kuwa Hawa waarabu wa leo Wana uhusiano na Ishmael?
No doubt kabisa kwamba shetani-ishmael-mtume mudi-islam-muslims-jehanamuushahidi uko wazi. wewe ndiye hujui unachobishia
YESU NI BWANA&MWOKOZI
"Mwanzo 17:20 Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. | Neno: Bibilia Takatifu (NEN) | Pakua Programu ya Biblia Sasa" Mwanzo 17:20 Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. | Neno: Bibilia Takatifu (NEN) | Pakua Programu ya Biblia SasaNo doubt kabisa kwamba shetani-ishmael-mtume mudi-islam-muslims-jehanamu
Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka."Mwanzo 17:20 Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. | Neno: Bibilia Takatifu (NEN) | Pakua Programu ya Biblia Sasa" Mwanzo 17:20 Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa. | Neno: Bibilia Takatifu (NEN) | Pakua Programu ya Biblia Sasa
Biblia yako inasema Mungu alimbariki Ishmael na kumfanya kuwa na uzao mwingi,we umemuita shetani mlaaniwa,sijui unafuata kitabu gani!?..chuki humchoma aliyeihufadhi,yaani kisa Ishmael kahusishwa na waarabu na mtume ni mwarabu,basi umebeba mimba ya chuki,pole sana, Ibrahim alikua mtu wa ur ya ukaldayo,Iraq ya Leo,yaani Ibrahim na Saddam Hussein wanatoka nchi mojaSara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
10 Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
11 Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
12 Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa.
Ibrahimu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akimtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.