Kilete kifungu kizima uthibitishe maneno yako.Kumbe ilikuwa hoja yako mbona ulikuwa anawasingizia Waislam hawana akili wanajadili barabara wakati wenye akili wanadali maendeleo.
Bandiko lako ili hapa jisome, unafurahisha sana anaandika mwenyewe kisha unajisifia mara maji mazito teh teh teh mimi naweza kukaa peke yangu kwenye huu uzi hata mwezi naweka mapandiko yako ya Chadema.@gombesugu, ahlan wahsalan muungwana.
Pole kwa hamaki na kauli za staftashi, tafadhali pata funda la maji kitako utulize jaka moyo.
Ninaposoma majibu ya kejeli na matusi hujiridhisha hoja zangu zimeeleweka kwa nguvu zake.
Zinajibiwa kwa kejeli kwasababu ndilo jibu lililopo la karibu.
Nimesema ajitokeze mtu anithibitishie kuwa waliopigania uhuru wakiwa na majina ya kiislam wote walikuwa waislam! Hakuna aliyetokea kwasababu mnafahamu wazi kuwa kuitwa Hussein hakumfanyi mtu awe mwislam.
Hoja yangu ipo wazi kabisa. Hakuna sababu ya msingi na ya maana kwa waislam kudai mashujaa wa Uhuru watambuliwe wakati ambapo Waislam hao hao wameshindwa kuwatambua.
Nikaweka hoja za kwanini chuo cha Alharamaini kisiitwe Abdul Sykes, Cha Dodoma kisiitwe K.Kleist n.k. ili kuanza kuwaenzi kwanza kabla ya kwenda kwenye medani ya kitaifa. Charity begins at home.
Ukiita shule kwa jina la Al Farook ambalo ni jina la Kiarabu tu na pengine maana yake ni ndogo sana ukaacha kuita Mshume Kiyate highschool unajidhulumu kabla hujadhulumiwa.
Please try to think beyond your nose!If you cannot dignify your own heroes ironically you hold someone accountable for the same, that's insane to be honest with you.
Nimewauliza, Nyerere amekufa miaka 14 leo hii.
Barbara ya Bagamoyo imepewa jina la Kibaki na kuua. Aliyefanya hivyo ni madiwani wa Dar, Mkuu wa mkoa wa Dar pamoja na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwasababu tu huwa hamna hoja ya maana mumeshindwa kuwa hold accountable wahusika mnatafuta jina la Nyerere kabuirini. Jk, Said Meshaki na madiwani wapo! kwanini mumtafute Nyerere kaburini. Waulizeni hao
Ndivyo ilivyo kwa Oceam Road, hatukusikia Mohamed Said au wengine wenye vichwa kama chake wakisema lolote. Tunamsikia akisemea Nairobi. He did not say anything to JK kwasababu. Leo tunasikia mfumo Kristo ukilaumiwa na Nyerere akiwa kaburini 14 yrs.
Mfumokristo ni dhana inayotengenezwa na Waislam wenyewe. Nitawaambia ukweli hata kama una umma.,
Leo watu wanasugu vichwa barbara zipewe majina!
Wenye akili wanasugua vichwa wafanye nini kuongeza shule, vyuo n.k.
Baada ya miaka 5 it's vicious circle kwasababu kuna mambo yanahitaji weledi. Huwezi kuwa Engineer au Daktari kwa kuteuliwa. Tutasikia wakilalamika JF mfumo kristo. Wamesahau kuwa hawakuwa na muda wa kupambana na mfumo, walitumia muda huo kujadili majina ya marehemu na kama yapewe mitaa! insane!
Kelele za kutambuliwa mashujaa zimesikika na medali zimetolewa. Sijui hilo limesaidiaje jamii ya watu wa Mkuranga wenye shule na mwalimu mkuu msaidizi ni Kiranja. ( Ogah lete habari ile ya Mkuranga)
Watu wanafikiria namna ya kufanya vyuo vyao vitambuliwe duniani, wenzetu mupo bize kutafuta majina na kumshambulia Nyerere. Hakuna anayejiuliza kwanini Morogoro University haipo katika vyuo bora 200 Africa.
Hitimisho ni kuwa
1. Kwanza, historia ya mwanadamu inaandikwa na mwanadamu kwa wakati na matukio.
Nyerere historia yake imeshaandikwa duniani. Hakuna anayeweza kuifuta au kuilingnisha na ya mtu mwingine. Ni ya Nyerere! period.Jitihada za kumpaka matope hazifanyi wengine wang'are.
Abdul Sykes atabaki kuwa raia na ukweli kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanganyika utabaki pale pale hata kama unauma kama nyuki. Ni maumivu ya kuvumiliana
2. Anzeni kuenzi mashujaa kabla hamjaenda katika jukwaa la kitaifa.
Kama unadhani Jabal hilal ni bora kuliko Idd Faiz Mwafongo that should be your problem.
Hili la majina ni tatizo la utumwa wa kiakili.Waambieni madiwani wabadili majina, Tandamti iitwe Farijala, Twigwa uitwe Tatu Said n.k. Halafu mkae kitako mjiulize baada ya majina kubadilika, maisha ya jamii yamebadilika?
3. Stop the vicious circle of ignorance. Miaka 30 MS analalamika nanyi pia mnachukua kijiti kulalamika miaka 30 mingine. Inaudhi wasomi wanajadili trivial things kama majina ya mitaa na kuacha tatizo la elimu na umasikini katika jamii ile ile inayotaka majina! white elephant!
Kaeni chini mjiulize, kwanini kuna massive failure katika shule za Dar na kuna success Kirinjiko Secondari under the same environment! Kwanini chuo cha Morogoro hadi sasa hakijaweza kuchomoza katika anga za kimataifa hapa East Africa au Africa. Kuna tatizo gani na lisahishiswe vipi.
Mnaposhinda katika internet mki entertain frustration za Mohamed Said kutokuwa meneja wa bandari, si tu hamuitendei haki jamii bali mnazidi kuidhalilisha.
Huwezi kujadili nyuzi nzima kuhusu stupid and trivial thing halafu uka depict positive image ya society. Frustration za MS si tatizo la kitaifa ni tatizo lake, you guys you're easily drawn in.
Mnashindwa kujibu hoja kwasababu you've been drawn in like chicken.
Wake up!
cc Al akhy Tayeb, ukhti Faiza Fox, maulana Ritz, Al Habib kahaatan
Mag3 JokaKuu Wickama AshaDii Mtu Mzima
Hapana wametaka kujua kwani kulikoni? Kilichowashtua ni mvua ya matusi wakauliza hoja gani inagomba? Nikawashauri wasome nyuzi vema.
Wanaogopa kuja kwasababu hawana uzoefu wa matusi wala roho ngumu ya kupokea.
Angalia ulivyokuwa mnafiki eti tubaki kwenye mada ya kuwaenzi Mshume na wenzake, wakati unamtaja Mshume kwenye bandiko lako kuwa madai ya Waislam ni majina ya barabara nani alikutuma kuwasemea Waislam?Kilete kifungu kizima uthibitishe maneno yako.
Hata hivyo hiyo isiwe njia ya kutokea maana naona maji mazito hali ngumu sasa ni shoot any moving object.
Tubaki katika mada ya namna ya kwaenzi akina mshume na wenzake. Nini kifanyike na mnashauri nini.
Mtu Mzima kama nilivyo sema mwanzo wa malumbano haya! Mimi hupenda kuja na takwimu ambazo zina ushahidi.
Sasa unaposema ziko idara nyingine NYETI KAMA HII YA ELIMU ILIYO ONGOZWA NA WAISLAMU MIAKA MIINGI! BASI NINGEFURAHI KAMA UTALETA HIZO TAKWIMU HAPA!
Kuhusu mimi kuchagua wizara ya ELIMU!
Nimechagua kukuonyesha data za wizara hii kwa sababu HAKUNA WIZARA MUHIMU KTK NCHI YYT DUNIA KAMA WIZARA YA ELIMU!
Sasa ukija hapa na data za wizara ya mifugo au maendeleo vijijini au wizara ya mipango miji Sidhani kama utaweza kulinganisha hatta kidogo na wizara hii.
Kama nilivyoonya mwanzo kuwa wasio kuwa na ufahamu mara zote hukimbilia kusema waislamu hawakusoma kwa sababu 1.2.3.4 na kuendelea! Na hilo umelisema hapo juu! Halafu hapo hapo unasema kulikuwa na wasomi wengi tu wa kiislamu ambao walikuwapo wakati huo na ukauliza ni kwanini wao wasiliandike hilo alilo litamka nyerere?
Umeuliza kuhusu idadi ya vyuo! Kuliko mimi kuanza kukuorodheshea kimoja kimoja! Kwa nini wewe usiende kuhakiki mwenyewe kuhusu hizi data nilozo kupa??
La mwisho. Ili kukuonyesha kuwa si waislami pekee wenye kufahamu udhalimu wa Nyerere na serikali yake wakati huo!
Hebu pitia kidogo hii link hapa chini.
Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy - Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy
Ludovick Mwijage: The Dark Side of Nyerere's Legacy
Cc gombesugu
"Islami's role in Tanzania's freedom struggle" ndiyo hoja iliyopo mbele. Wewe kwenye bandiko lako si umeishasema wenye akili wanajadili maendelo wengine wanajadili kuwapa majina za barabara watu wao!Daktari kahtaan kuntu maneno yako dhidi yangu nami nasema radhiyaatan.
Hoja iliyoo mbele yetu ni moja. MS kamleta mzee Mshume Kiyate akimvisha Nyerere kitambi.
Kiyate ni mmoja wa wazee wetu waliosahahulika. Vipi tuwaenzi vipi zaidi ya kusoma vipande vya magazeti.
Nini kifanyike ili tusijerudi jamvini kujadili jambo hili bali twende mbele zaidi kupendekeza nini wafanyiwe.
Tukivurumisha matusi, aa! haifa si katika hekma si katika uungwana na wala adabu za mnakasha haziruhusu. Muulize maarufu Mohamed Said. Tusiangaliane kama Nguruwe na muumini, tuangalie hoja zinasema nini.
Hoja ndio hiyo,tafadhali unusuru ulimi maana umezungumziwa huo na adha zake.
so you mean, they are craving for virgin enchantress/goddess:amen:. ha ha ha haI think you would have posted "Islam's role in killing people in the name of their God and get gifted 72 virgins"
Hii ni picha ya Mshume Kiyate na Julius Kambarage Nyerere.
Habari za urafiki wa wapigania uhuru hawa zinaweza kujaza kitabu kizima.
Itoshe tu kusema kuwa kuanzia mwaka 1955 mpaka uhuru ulipopatikana na
baada ya hapo Mzee Mshume Kiyate alikuwa ndiye mwana TANU katika Baraza la
Wazee wa TANU ambae alijitolea kuangalia nyumba ya Mwalimu Nyerere kuanzia
chakula chake hadi mahitaji mengine.
Mzee Mshume alisema kuwa si haki kwa TANU kumpa Nyerere kazi ya kupambana na
Waingereza na kumwachia ahangaike na mambo ya chakula na nguo za mkewe na wanae.
Mzee Mshume alijitolea kuikimu famila ya Nyerere...
Yapo mengi.
Nguruvi3, mtu yoyote akisoma hilo bandiko lako ataona chuki zako za wazi dhidi ya Waislam na Uslam.
Matusi na kashfa ulizoandika zimekushusha sana nakushauri pambana na CCM siyo Uislam.
Uislam kwangu ni kama mchoro wa jengo uliorembwa vizuri. Sehemu zake zote zinaonekana kushikanb na kutegemeana vizuri, hakuna kilichopungua, na hii ni matokeo ya mpangilio bora na makini.
Wewe na Chadema wenzako mnapoteza muda wenu bure kupambana na Uislam.
@Ritz hebu onyesha kwa dhati matusi na kashfa dhidi ya imani. Siku zote msimamo wangu ni kuheshimu kile mtu anachokiamini na wala si kubambikia mtu au kushinikiza kwa namna yoyote. Nasema thibitisha maneno yako kuwa ninachuki na Uislam.Nguruvi3, mtu yoyote akisoma hilo bandiko lako ataona chuki zako za wazi dhidi ya Waislam na Uslam.
Matusi na kashfa ulizoandika zimekushusha sana nakushauri pambana na CCM siyo Uislam.
Uislam kwangu ni kama mchoro wa jengo uliorembwa vizuri. Sehemu zake zote zinaonekana kushikanb na kutegemeana vizuri, hakuna kilichopungua, na hii ni matokeo ya mpangilio bora na makini.
Wewe na Chadema wenzako mnapoteza muda wenu bure kupambana na Uislam.
Hoja tafadhaliha ha yeye ni bubu kiziwi na kipofu.ni kama kutwanga maji kwenye kinu
Vipi unashauri ukoo wa Mshume Kiyate ulipwe kwa kumsaidia Julius Nyerere?
Unadhani Mshume Kiyate angekuwa hai angedai malipo?
Au angesimama na kutangaza haya kama ufanyavyo?
Je watanzania tumfanyaje Mshume Kiyate?
Wakati wa uhai wa Mzee Kiyate aliwahi kusimama-hadharani ama mafichoni na kudai fidia/malipo ya kumsaidi Nyerere wakati wa ukombozi?
Unapokuwa mzee halafu ukawa mnafiki na mzandiki unakosa thamani hata kwa Mungu wako
Daktari kahtaan kuntu maneno yako dhidi yangu nami nasema radhiyaatan.
Hoja iliyoo mbele yetu ni moja. MS kamleta mzee Mshume Kiyate akimvisha Nyerere kitambi.
Kiyate ni mmoja wa wazee wetu waliosahahulika. Vipi tuwaenzi vipi zaidi ya kusoma vipande vya magazeti.
Nini kifanyike ili tusijerudi jamvini kujadili jambo hili bali twende mbele zaidi kupendekeza nini wafanyiwe.
Tukivurumisha matusi, aa! haifa si katika hekma si katika uungwana na wala adabu za mnakasha haziruhusu. Muulize maarufu Mohamed Said. Tusiangaliane kama Nguruwe na muumini, tuangalie hoja zinasema nini.
Hoja ndio hiyo,tafadhali unusuru ulimi maana umezungumziwa huo na adha zake.
Tatizo lako kubwa hujui ni nini maana ya dini, nnauhakika usingebwabwaja ungekuwa unajijuwa maana ya neno dini.
Khairi inshallah nashukuru al habib. Maneno yakiwa kama ya nguruwe si tatizo, jiulize kama yana mantiki na yana tija kwako?
Ninaposoma matusi yenu dhidi yangu najisikia faraja kwasababu hoja zangu zimesimama zenyewe hazina majibu bali majibu ya matusi. Siku zote matusi ndiyo silaha nyepesi, nzuri na ya haraka kwa asiye na hoja.
Ninahakika nimewachoma lakini sindano inauma sana, tunaipenda ni dawa.
Ningalikuwa na nmana nyngine pengine ningeisema, tatizo mimi humuangalia nyani usoni wakati namshughulikia.
Waungwana, hivi mnajisikiaje mwenzenu akitoa hoja nanyi mkijibu matusi?
Nimeuliza mnachotaka hawa watu kueziwa ni kipi msichokisema?
Ninajua mnataka mitaa ipewe majina yao, je hilo litabadili maisha yenu au ya jamii inayowazunguka.
Hilo lita improve pass mark za wanafunzi wa jabal hilal, al farook au masjid quba!
Religion is the Opium of the masses ~Karl Max
Vipi unashauri ukoo wa Mshume Kiyate ulipwe kwa kumsaidia Julius Nyerere?
Unadhani Mshume Kiyate angekuwa hai angedai malipo?
Au angesimama na kutangaza haya kama ufanyavyo?
Je watanzania tumfanyaje Mshume Kiyate?
Wakati wa uhai wa Mzee Kiyate aliwahi kusimama-hadharani ama mafichoni na kudai fidia/malipo ya kumsaidi Nyerere wakati wa ukombozi?
Unapokuwa mzee halafu ukawa mnafiki na mzandiki unakosa thamani hata kwa Mungu wako
Wrong! dear Daktari.Uzi unaongelea ISLAM'S ROLE in Tanzania freedom!
Sasa kama huyo MSHUTE ALIKUWA PART OF ISLAM anaweza kujadiliwa pamoja na wale mashujaa wengine!
La! Kama sio, wewe na wenzako kumtaja hapa ni KUJARIBU KUUHARIBU HUU UZI! na kupoteza lengo lote la mnakasha huu.Hamtaki kukubali yale waliofanyiwa hao tuliowataja mbeleni . Mnamuingiza Mshute!!.
Kama unakereheka na hili basi anzisha uzi wako wenye TITLE INGINE.
THIS thread remains' as:- ISLAM'S ROLE IN TANZANIA FREEDOM STRUGGLE.
Katika habari iliyopo Mzee Mshume Kiyate ametajwa mara 6 na ndiye aliyetajwa mara nyingi kuliko watu wote katika thread.nngu007;7467411
Said has moving stories to tell of patriotism and sacrifice.
There is the story of Tanu stalwart Mzee Mshume Kiyate, whose contribution as party financier and close friend of Nyerere's family has never been acknowledged.
Kiyate was a prominent fishmonger at Kariakoo in Dar es Salaam when he met Nyerere in early 1950s; he was to become friend and mentor to the young leader.
Also forgotten are patriots like Said Chamwenyewe, who presented Tanu's appeal to the United Nations Visiting Missions to the Mandate Territories when it visited Tanganyika in 1955.
Chamwenyewe had earlier mobilised the first Tanu members from Rufiji in 1954, visiting villages on a bicycle to campaign for Tanu, collecting funds from members and turning the money over to Tanu treasurer Idd Faiz Mafongo without asking anything for himself. Nothing is today known about the fate of these people.
There are pictures of a young Nyerere surrounded by Muslims townsmen in kanzu and other paraphernalia - people like Issa Nassir, Sheikh Haidar Mwinyimvua, Mwinjuma Mwinyikambi, Jumbe Tambaza, Sheikh Suleiman Takadir, Mshume Kiyate, Said Chamwenyewe and many others.
There is one touching photograph of Nyerere with Mzee Mshume Kiyate taken soon after the army mutiny of January 20, 1964, showing Mshume covering Mwalimu with a piece of cloth traditionally worn by people from the coast known as "kitambi" or "msuli." Mzee Mshume died in the early 1970s, alone, poor and forgotten.
The book ventures into the uncharted terrain of Islam as an ideology of colonial resistance, depicting the central role of Muslims in the struggle against the British, a topic still considered a no-go zone in Tanzania.
Mohamed Said deserves kudos for documenting this important chapter in the history of nationalism in Tanganyika.