Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


Nani kakwambia bibilia ni andiko langu. Jifunze kwanza kuruani kwakujibu maswali yangu. Angalia signature yangu. Swali: shia wanasema ali ndiye mrithi halali baada ya muahamadi kufa. Tena ameandikwa kwenya kuruani kuliko abubakari na omary. Na wanasema kuruani ilichakachuliwa ili kuuficha ukweli huo. Na ndio sababu ya ugomvi wenu waislamu. Je nikweli?
 
Uislam umekataza kuuwa wala hauna historia hiyo labda tufahamishe kutoka kwenye Quran.
 

Hio signature yako mi sioni wala sina haja ya kuona!
We unasema vitu kutoka midomoni kwa watu! Mi naongea kwa ushahidi!
Nipe ushahidi wa maandishi! Wapi SHIA WANADAI HAYO MADAI ULIOANDIKA HAPO JUU??
Hizo ndio zile redio kifua! Na maneno ya kwenye vibaraza vya pombe za kienyeji!

Tafuta kitabu cha SHIA! soma ndio utaelewa tofauti ya hayo matabaka mawili!

Na kabla sijaendelea zaidi hebu jitambulishe hapa! Je wewe mgalatia? Au shia?
Manake nina mikoba mingi hapa! Nafanya kuchomoa chomoa tu.
Sasa nataka kujua wewe uko wapi ili niufungue woote jumla!
Haya fanya fasta!
Mr loooooong name!
 
Dr. kahtaan.

Niwe radhi ngoja nikuachie huyu kiumbe.

Shariff Ritz usinifanye nicheke maalimu wangu!
😀😀

We ukikosekana hapa! Kaka siku yote imeharibika!
Tafadhali usituache peke yetu! Tunahitaji hekima zako. Ili tuwakumbushe hawa vijana wa juzi.

Jazakallah kheir.
 
Last edited by a moderator:

Wewe sindio mtaalamu. Unajua bibilia na kuruani. Silazima ujue naamini nini ndio unijibu. Tatizo bongo mashehe ubwabwa wengi alafu mnaleta fujo na uislamu wenu wa kupangifoleni kwa baghresa kupata mchele. Mimi nimefanya home work yangu. Na wewe fanya home work yako. Na ninakuaidi kukupa reference ya swali langu la ugommvi wa shia na sunii. Kama ulivyosema tusijaze servers hapa take your time utafute jibu unaloliamini. Usije ukachekesha
 

Labda kukusaidia tu! Manake huenda hata unachotaka kufahamu hujui uanzie wapi!
Suala muhimu kama hili usiulize tu humu jf ukitegemea utapata majibu 100%! La hasha! Huenda unae muuliza ni SHIA AU SUNNI! Na jibu utakalopewa huenda likawa la upande mmoja!
Mwenye busara huanza kusoma kwanza! Halafu akauliza kile ambacho hajaelewa!
Sasa ukitaka kujua msimamo wa SUNNI nenda kasome Quraan.
Na ukitaka kujua msimamo wa SHIA tafuta kitabu kinachoitwa USUL LKAAFI.

Kaa chini soma kwa raha zako. Halafu njoo hapa uulize maswali yanayo kusumbua.
Sio kuskia maneno mtaani. Na wewe unakuja mbio hapa! Unaweza kupewa jibu ukaenda gombana na mkeo/mumeo bure!!
 

Nimekwambia nimeshafanya homework yangu. Nipe jibu lako wewe kama muislam. Au ndio inamajibu mawili?
 
Nimekwambia nimeshafanya homework yangu. Nipe jibu lako wewe kama muislam. Au ndio inamajibu mawili?

Sasa si unionyeshe hio homework yako??

Basi homework zikiwa za mdomo tu. Wapi nikusahihishe!?
Mbona unakuwa mgumu kuelewa!!?
Hayo maneno au madai ulio andika hapo juu UMETOA KWENYE KITABU GANI??
UKURASA GANI?? NA MWANDISHI WA HICHO KITABU NANI??
bla..bla..blaa. hapa sio mahala pake!!
Ukitaka washabiki wa bla.bla.bla.
Nenda kule kwenye mipasho! Na maneno ya uswahilini!
Hapa bila ushahidi wa MAANDISHI HAKUNA UTAKALO SAIDIWA!
La ushauri tu kuwa. Siku yyt USIPOKEE MANENO KUTOKA REDIO VIFUA HALAFU UKAYATIA AKILINI.
Siku moja Utakuja athirika vibaya.

Ni mfano wa wale walioambiwa kuwa 22/12/ 2012 ndio mwisho wa dunia!
Watu wakauza nyumba zao na wengine wakaamua kunywa mpaka wakafa.
Kuamka asubuhi jua limechomoza kama kawaida.
 
Shariff Ritz usinifanye nicheke maalimu wangu!
😀😀

We ukikosekana hapa! Kaka siku yote imeharibika!
Tafadhali usituache peke yetu! Tunahitaji hekima zako. Ili tuwakumbushe hawa vijana wa juzi.

Jazakallah kheir.
Dr. kahtaan.

Ni aibu huyu kiumbe tujadiliane nae wote, mpe mipini nakusoma.
 
Last edited by a moderator:


Hakiyamungu nimecheka sana,

Umesema hapo ulipo una mikoba mingi??

Kwaiyo ajitambulishe ili ujue unachomoa mkoba gani siyo??

Teh Teh Teh...😎😎
 
Hakiyamungu nimecheka sana,

Umesema hapo ulipo una mikoba mingi??

Kwaiyo ajitambulishe ili ujue unachomoa mkoba gani siyo??

Teh Teh Teh...😎😎

Teh teh teh teh!

Al akhyi THE BIG SHOW wallahi hawa watu wengine maneno yao hayako makini! Mara hivi mara vile.

Sasa huenda akawa ni nguchiro mdoogo anatoa toa kichwa mi nikafungua mkoba wa AK47.
kumbe rungu tu linamtosha!

Walahi uislamu raha sana!
Tuko pamoja maalim.
 
Last edited by a moderator:
Al shariff Ritz naona nguchiro wote wamerudi mashimo!
Sasa naomba rukhsa kidogo nitoke hewani.
Inshallah baadae!
Nakuachia rungu wewe na ma ulamaa wengine humu !
Wala hakuna cha nimekoma! We wape za vichwa tu!
Fii amani lllah.
 
Last edited by a moderator:
Al shariff Ritz naona nguchiro wote wamerudi mashimo!
Sasa naomba rukhsa kidogo nitoke hewani.
Inshallah baadae!
Nakuachia rungu wewe na ma ulamaa wengine humu !
Wala hakuna cha nimekoma! We wape za vichwa tu!
Fii amani lllah.
Teh teh teh! Walaahi nakupa ruksa mipini yako inabaki Mubashar.
 
Last edited by a moderator:

ndugu yangu Ritz hayo matusi si mazuri kwa baba wa taifa. Jadili kwa hekima na heshima.
Muacheni Nyerere apumzike,
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu Ritz hayo matusi si mazuri kwa baba wa taifa. Jadili kwa hekima na heshima.
Muacheni Nyerere apumzike,
Toa unafiki wewe wazee wetu, baba zetu wanatukanwa humu wanaitwa Stupid, wauza kahawa, wakaa vibarazani, akili za madrasa, Madhalim, mbona hauonekani kuwatetea.
 
Last edited by a moderator:

Al habib Ritz,

Huyo Nguruvi3 ni sawa na mfa maji tu teh teh teh!

Ni bingwa wa kuzua huyo kwi kwi kwi!!
 
Last edited by a moderator:

Dr. kahtaan,

Hiyo nondo uloshusha hapo inanikumbusha mbali sana teh teh teh teh!!

Hivi yule kiumbe anaitwa MaxShimba yuko wapi siku hizi? kwi kwi kwi!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…