CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 467
Ndio nakujibu!
Wewe Andiko la imani yako hulijui!
Vipi utaweza kujua habari ya SHIA NA SUNNI!
Hebu nikuulize maswali mawili tu!
Kwa mujibu wa andiko lako
1.Nini maana ya utatu mtakatifu?
2.Na je kuna taifa la kikristo lilishawahi kula kinyesi?
Hebu jibu fasta hapa kabla hujatuchafulia uzi!
Uislam umekataza kuuwa wala hauna historia hiyo labda tufahamishe kutoka kwenye Quran.Ritz, kahtaan.
Ukristo, uislamu , dini zote zimeua watu sana. Lakini ukristo umepitia reformation. Ndio maana hata nchi zenye asili ya kikristo hazitaki ukristo kwenye mambo ya serekali kwasababu watu walishirikisha ubongo kuangalia ukristo wakaona ibaki kuwa kitu cha mtu binafsi.
Nani kakwambia bibilia ni andiko langu. Jifunze kwanza kuruani kwakujibu maswali yangu. Angalia signature yangu. Swali: shia wanasema ali ndiye mrithi halali baada ya muahamadi kufa. Tena ameandikwa kwenya kuruani kuliko abubakari na omary. Na wanasema kuruani ilichakachuliwa ili kuuficha ukweli huo. Na ndio sababu ya ugomvi wenu waislamu. Je nikweli?
Hio signature yako mi sioni wala sina haja ya kuona!
We unasema vitu kutoka midomoni kwa watu! Mi naongea kwa ushahidi!
Nipe ushahidi wa maandishi! Wapi SHIA WANADAI HAYO MADAI ULIOANDIKA HAPO JUU??
Hizo ndio zile redio kifua! Na maneno ya kwenye vibaraza vya pombe za kienyeji!
Tafuta kitabu cha SHIA! soma ndio utaelewa tofauti ya hayo matabaka mawili!
Na kabla sijaendelea zaidi hebu jitambulishe hapa! Je wewe mgalatia? Au shia?
Manake nina mikoba mingi hapa! Nafanya kuchomoa chomoa tu.
Sasa nataka kujua wewe uko wapi ili niufungue woote jumla!
Haya fanya fasta!
Mr loooooong name!
Nani kakwambia bibilia ni andiko langu. Jifunze kwanza kuruani kwakujibu maswali yangu. Angalia signature yangu. Swali: shia wanasema ali ndiye mrithi halali baada ya muahamadi kufa. Tena ameandikwa kwenya kuruani kuliko abubakari na omary. Na wanasema kuruani ilichakachuliwa ili kuuficha ukweli huo. Na ndio sababu ya ugomvi wenu waislamu. Je nikweli?
Labda kukusaidia tu! Manake huenda hata unachotaka kufahamu hujui uanzie wapi!
Suala muhimu kama hili usiulize tu humu jf ukitegemea utapata majibu 100%! La hasha! Huenda unae muuliza ni SHIA AU SUNNI! Na jibu utakalopewa huenda likawa la upande mmoja!
Mwenye busara huanza kusoma kwanza! Halafu akauliza kile ambacho hajaelewa!
Sasa ukitaka kujua msimamo wa SUNNI nenda kasome Quraan.
Na ukitaka kujua msimamo wa SHIA tafuta kitabu kinachoitwa USUL LKAAFI.
Kaa chini soma kwa raha zako. Halafu njoo hapa uulize maswali yanayo kusumbua.
Sio kuskia maneno mtaani. Na wewe unakuja mbio hapa! Unaweza kupewa jibu ukaenda gombana na mkeo/mumeo bure!!
Nimekwambia nimeshafanya homework yangu. Nipe jibu lako wewe kama muislam. Au ndio inamajibu mawili?
KAHTAAN UNATISHA...
NA KAMA HAWATAUONA UKWELI HUU JAHANNAM NI MAREJEO YAO. EE...MUNGU WASAIDIE WAJA WAKO WAUONE UKWELI.
Aamin yaa rab!
Hio signature yako mi sioni wala sina haja ya kuona!
We unasema vitu kutoka midomoni kwa watu! Mi naongea kwa ushahidi!
Nipe ushahidi wa maandishi! Wapi SHIA WANADAI HAYO MADAI ULIOANDIKA HAPO JUU??
Hizo ndio zile redio kifua! Na maneno ya kwenye vibaraza vya pombe za kienyeji!
Tafuta kitabu cha SHIA! soma ndio utaelewa tofauti ya hayo matabaka mawili!
Na kabla sijaendelea zaidi hebu jitambulishe hapa! Je wewe mgalatia? Au shia?
Manake nina mikoba mingi hapa! Nafanya kuchomoa chomoa tu.
Sasa nataka kujua wewe uko wapi ili niufungue woote jumla!
Haya fanya fasta!
Mr loooooong name!
Hakiyamungu nimecheka sana,
Umesema hapo ulipo una mikoba mingi??
Kwaiyo ajitambulishe ili ujue unachomoa mkoba gani siyo??
Teh Teh Teh...😎😎
Teh teh teh! Walaahi nakupa ruksa mipini yako inabaki Mubashar.Al shariff Ritz naona nguchiro wote wamerudi mashimo!
Sasa naomba rukhsa kidogo nitoke hewani.
Inshallah baadae!
Nakuachia rungu wewe na ma ulamaa wengine humu !
Wala hakuna cha nimekoma! We wape za vichwa tu!
Fii amani lllah.
Nguruvi3,
Ukichelewa kutufahamisha alokunyofoa govi lako hapa...sisi itabidi tuingie upande wa "Baba Wa Taifa"!? Kwi! Kwi! Kwi!
Si unajua Mwalimu alikua yale mambo flani ivi hajaondoa kwa miaka mingi mpaka Wazee Wetu wakampeleka kufanyiwa pale Tuangoma kwa Marehemu Mzee Mbonde Bin Shaaban!? kwi! Kwi! Kwi!
Huyo Mzee wa Kingindo,ndo alokua Nyakanga wa Mwalimu Nyerere,na pesa ya shughuli hiyo ililipwa na Sheikh Abdallah Bin Kau Bin Kunyamale! Kwi! Kwi! Kw!
Mimi binafsi ninayo picha ya Sheikh Abdallah Kau,kapiga na yule Nyerere!...kama Sheikh Mohamed Said ataihitaji nitampatia aweke kwenye toleo lijalo la kitabu chetu!? Kwi!" Kwi ! Kwi!
Ahsanta.
Toa unafiki wewe wazee wetu, baba zetu wanatukanwa humu wanaitwa Stupid, wauza kahawa, wakaa vibarazani, akili za madrasa, Madhalim, mbona hauonekani kuwatetea.ndugu yangu Ritz hayo matusi si mazuri kwa baba wa taifa. Jadili kwa hekima na heshima.
Muacheni Nyerere apumzike,
Nguruvi3.
Watu hawataki hadith za Bulicheka na mke wake Elizabeti.
Umesema pesa za mradi darul islam kibaha zimeliwa na Waislam ambao walikuwa kwenye kama na ushahidi unao JF siyo sehemu ya porojo tuwekee huo ushahidi.
Usipouweka nakuweka kwenye list yangu ya wazee wa mipasho wa JF.
Cc: Dr. kahtaan mujitahid Tayeb.
Wanajamvi. Amani ya mungu iwe juu yenu wote!
NAOMBA RADHI.
Mi nataka kutoka nje ya mada kidogo.
Unajua toka mwanzo bwana Nguruvi3 na mwenzake Mag3 wamekua wakipeenda sana kutumia maneno kama "inshallah" jazakallah" assalamu alaikum" na meengi ambayo kwa.watu wasio wajua unaweza kupumbaika Wakadhani hawa na WAISLAMU!
Kumbe maskini za mungu bado wako ktk ukafiri!
(Tafadhali msiseme ukafiri ni kashfa! La hasha! Hiki ni cheo)
Sasa mi ushauri wangu ni kuwa, kwa nini wasiingie jumla tu! Wakawa na wao ktk mufaizuun! Tena hasa huyu Nguruvi3 manake wabondei kumfundisha quraan ni kazi ya ziada lkn huyu anaonekana amekaa sana na wadigo! Zile lahja za kiislamu anazo tena kwa wingi tu!
Sasa mimi bwana Nguruvi3 nakukaribisha ktk UISLAMU bwana!
Huku kaka hakuna cha kubatizwa wala kunyweshwa sijui damu ya bwana wala ya mwana!
We ikifika ramadhani si unaona mwenyewe!? Mambo ni faluda. Mihamri. Vibibi, futari za nazi. Na mengi mengineyo!
Wachana na hayo ma kitimoto na uchafu mingine.
Au unasemaje?? Hata kama hujatiwa sunnah (hujatairi) unakaribishwa hivo hivo!
Tutakutahiri mbele ya safari.TENA BURE!
Na kama huna jiko! Basi nasema hadharani hapa kuwa gharama za harusi juu yangu.
Haya ofa hio utaikubali??