CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 467
Ndio nakujibu!
Wewe Andiko la imani yako hulijui!
Vipi utaweza kujua habari ya SHIA NA SUNNI!
Hebu nikuulize maswali mawili tu!
Kwa mujibu wa andiko lako
1.Nini maana ya utatu mtakatifu?
2.Na je kuna taifa la kikristo lilishawahi kula kinyesi?
Hebu jibu fasta hapa kabla hujatuchafulia uzi!
Nani kakwambia bibilia ni andiko langu. Jifunze kwanza kuruani kwakujibu maswali yangu. Angalia signature yangu. Swali: shia wanasema ali ndiye mrithi halali baada ya muahamadi kufa. Tena ameandikwa kwenya kuruani kuliko abubakari na omary. Na wanasema kuruani ilichakachuliwa ili kuuficha ukweli huo. Na ndio sababu ya ugomvi wenu waislamu. Je nikweli?