Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


Ahsante sana kwa kunialika kuchangia yatuhusuyo wanawake, ingawa sipendi kutoka nje ya mada ya mjadala huu, kwa mualiko inanilazim kidogo kwani inagusia wanawake.

Naomba kuwawekea kipande kidogo cha video kuhusu moja ya swali linalowatatiza sana wanawake wasio Waislaam ambalo kwa mwanamke wa Kiislaam ni kitu cha kawaida na wala hakifikirii:

[video=youtube_share;v6kR2XvZqgI]http://youtu.be/v6kR2XvZqgI[/video]
 
As salam aleykum Sheikh Mohamed Said

Wallahi ni bakti njema sana kwetu sote na hasa kwangu kila napojaaliwa kupita hapa na kukuta ilm hii muhimu
kuhusu wazee wetu walokua mstari wa mbele kwenye kuleta uhuru wa Taifa hili.

Waislam na Uislam bado tutabaki katika kumbukumbu za historia ya vita vya maji maji watake wasitake hawa wagalatia!

Ahsante Sheikh Mohamed Said kwa hii ilm hapa chini!

 
Last edited by a moderator:
Kweli FaizaFoxy mikoba yote mbona tumeishamkadhi Dr kahtaan.
 
Last edited by a moderator:
Ahh baba upako! Umerudi na majibu yako ya mtari moja!

Teh teh teh teh.

Wacha longalonga hapa!

Hebu jibu swali hapo! UKATOLIKI NI NINI?

Ungekuwa na akili angalau kidogo ungeona namna huyo maamuma mwenzako alivyochemsha
Lakini kwa sababu mmejiandaa kulindana kwa gharama yoyote hata ya uchizi unacheka tu na kufumbia macho!
 

Dr. kahtaan,

Salaam Maalim wangu!

Hakika mimi sina cha kuongeza hapo juu kwenye hizo bayana zako, kwani tayari umeshamaliza kwa kupigilia msumari wa kichwa teh teh teh! Watoto wa mjini wanasema lazima wakae kwi kwi kwi!!

Ahsante!
 

Ukhti FaizaFoxy I am honoured! Na nitafurahi sana kama mtaniachia hawa waparoko na wagalatia niwapakie kwenye hili lori langu!
Na mimi nawaahidi nitawafikisha tu huko tunakokwenda! But it will be a bumpy ride!
I promise! 😀😀😀😀.

Lile rungu la Shariff Ritz pia ninalo hapa just in case nguchiro wakizidi!
 
Last edited by a moderator:

Ahsanta mkuu gombesugu.

Nakusoma ustaadh.

Dada'angu FaizaFoxy naamini atakua na mchango mzuri.

Endeleeni kutuelimisha juu ya historia, sie wengine ndo twajifunzia hapa.

Allahu barik na Al jumaa kariim.

Cc: Mohamed Said
FaizaFoxy
@ Dr kahtaan
Tayeb
THE BIG SHOW
Na. Ritz
 
Last edited by a moderator:

Umeonge point.

Allahu barik
 
Hilo swali ulitakiwa ulijibu wewe maana hizo kopi nzako zinazungumzia hiyo kitu!

Muchungwaji Eiyer,

Nakupa kazi ya ziada, tafuta bandiko langu lenye kukutaka wende kujifunza kusema kwanza, ukishasoma pengine ukapata faida nilikua nakusudia nini hasa kukuambia vile!
 
Last edited by a moderator:
Dr. kahtaan,

Salaam Maalim wangu!

Hakika mimi sina cha kuongeza hapo juu kwenye hizo bayana zako, kwani tayari umeshamaliza kwa kupigilia msumari wa kichwa teh teh teh! Watoto wa mjini wanasema lazima wakae kwi kwi kwi!!

Ahsante!

Ndugu yangu al akhiy Tayeb I am soo pleased to see you my brother!

Tunafurahi kukuona umekuja na bashasha zako!
Tuko hapa na waparokia tukijaribu kuwakumbusha kidogo!

Shukran maalim.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu al akhiy Tayeb I am soo pleased to see you my brother!

Tunafurahi kukuona umekuja na bashasha zako!
Tuko hapa na waparokia tukijaribu kuwakumbusha kidogo!

Shukran maalim.

Shukran Doctor kahtaan,

Tuko pamoja, naona unaendelea kuwapa chembe kidevu hao waparokia wa kigango cha wasojua teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa na akili angalau kidogo ungeona namna huyo maamuma mwenzako alivyochemsha
Lakini kwa sababu mmejiandaa kulindana kwa gharama yoyote hata ya uchizi unacheka tu na kufumbia macho!

Teh teh teh teh teh!
Tunalindana?
We umeskia sisi tunafanya kazi TRA au TANROD au wale mamwela wanao uza ushahidi halafu wakagawana maganji!
Teh teh teh teh!

We huna lolote ilijualo! Al muadham maalim gombesugu Umekuuliza swali dooogo tu!!

Je UKATOLIKI NI NINI!?

Ukaanza kujiwehusha!! Ohhh mimi sio makatoliki! Ohhhh mimi nimetahiriwa!...bla ...bla..bla..

Sisi Tunafahamu KUWA WEWE SIO MKATOLIKI NA UMESHASEMA WAKATOLIKI NI WAABUDU MASANAMU NA HAWAFAI!
LKN hii sio sababu ya kujizungusha kujibu swali!!

Unaleta Stori nyiiiiingi!

KWANI NI DHAMBI KUSEMA HUJUI??

We kama ukiulizwa kitu hujui sema tu SIJUI! baaas na swali linafia hapo hapo.

Baba paroko mzee wa kupakwa we!
Na Usipo shtukia watakupaka hivo hivo mpaka kiama!

Teh teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni dhahabi/sect ipi sasa...maana mimi nina mipini ya kila aina hapa,ok!?
Mimi ni mkristo
Au wewe ni Atheist,Agnostic,Animist,Mormon,Jehova Witness,Hindu,Budhist!?
Mbona unaanza kuassume mambo?
Au wewe ni mganga wa kienyeji?

Uliza swali ujibiwe sio unaanza kuwa kama wale jamaa zenu wanaowatabiria nyota
Wewe si uliamua kuacha mada/history,umetaka mazingaombwe!?
Leta ushahidi wa hili kama mimi ndie nilieanza kutoka nje ya mada
...kwanini unaukana Ukatoliki!?...

Ni wapi niliwahi kusema mimi ni mkatoliki?
je wewe hujawahi kuwa Mkatoliki!?

Niliwahi kusema hili wapi?
Narejea tena;Ukatoliki ni nini,
Wewe ndie ulieanza kuleta copy and paste zinazohusiana na ukatoliki,hilo swali ni lako na lijibu tafadhali
na je una tafauti ipi na madhahabi mangineyo ya Ukristo!?

Tofauti ziko nyingim sana
Wao wanaweka sanamu kanisani madhehebu mengine hayaweki
Wao wanasali jumapili lakini kuna wengine hawasali siku hiyo
Wao makao makuu yao ni Vatcan lakini mengine sio huko
Kiongozi wao ni Papa na wengine sio

Hizo tofauti zinakutosha
Ahsanta.
Ps; "Mpaka hapo vumbi litakapotuama,ndipo tutaweza kupembua farasi ni yupi na punda ni yupi" - By Ulamaa Boko Haram.
Haihitajiki
Hata kwa sauti zao wanajulikana tu!
 

Daktur kahtaan, mimi nimeona wewe hao unawagaragaza vizuri sana na wala haina haja ya sisi sote kuwaumiza zaidi kwani umeshawajeruhi vya kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mkristo
!

Teh teh teh teh!
We huna haja ya kumwambia mtu wewe ni mkristo!
Harufu peke yake inajulisha kuwa wewe umesha pakwa !😀😀😀

Swali hujajibu!
UKATOLIKI NI NINI?

Na kama hujui sema!
Mchungwaji nuksi wewe!!
Teh teh teh
 

Al akhy umemjibu vizuri sana huyu kilaza wao wanaisoma Quran kibubusa wakikuta aya za jihad wanazibeba hivyo hivyo bila kufanya utafiti.

Ushauri wangu kwao sio kila unaloliona kwenye hadithi ni sawa kuna hadithi sahihi na dhaifu na vyote vinataka ilmu sio una copy na kupaste na kuleta huku.
 
Teh teh teh teh teh!
Tunalindana?
We umeskia sisi tunafanya kazi TRA au TANROD au wale mamwela wanao uza ushahidi halafu wakagawana maganji!
Teh teh teh teh!
Hapa ndipo ulipoishia kufikiri?
We huna lolote ilijualo! Al muadham maalim gombesugu Umekuuliza swali dooogo tu!!
Umejuaje hili
Je UKATOLIKI NI NINI!?
Hivi mbona mnakuwa kama hamnazo nyie watu?
Au hamjui kusoma kuwa niliwaambia hilo ni swali lenu?
Ukaanza kujiwehusha!! Ohhh mimi sio makatoliki! Ohhhh mimi nimetahiriwa!...bla ...bla..bla..
MNAPENDA SANA KUASSUME MAMBO EEEH!
Sisi Tunafahamu KUWA WEWE SIO MKATOLIKI NA UMESHASEMA WAKATOLIKI NI WAABUDU MASANAMU NA HAWAFAI!
Sasa ni kwanini unaniuliza kama unajua hawanihusu?
LKN hii sio sababu ya kujizungusha kujibu swali!!
Moja:Ukatoliki na wakatoliki hawanihusu
Pili:Sikua wa kwanza kuleta hoja yoyote hapa inayohusiana na ukatoliki au wakatoliki hivyo siwezi kujihusisha na mambo ambayo mwanzilishi wake sio mimi

Hivyo sio jukumu langu kujibu hilo
Unaleta Stori nyiiiiingi!
Anaeleta story ni yule anaezungumza kitu asichojua hata ni kitu gani
KWANI NI DHAMBI KUSEMA HUJUI??
Kwako wewe mtu akisema hajibu kwa sababu swali halimuhusu anakuwa amesema hajui jibu?
We kama ukiulizwa kitu hujui sema tu SIJUI! baaas na swali linafia hapo hapo.
Nimeshakuambia kuwa swali hilo halinihusu mbona huelewi?
Baba paroko mzee wa kupakwa we!
Hii umeitoa wapi?
Na Usipo shtukia watakupaka hivo hivo mpaka kiama!
Nini?
Teh teh teh teh teh!
Kama kawaida yako ya kuchekacheka hovyo
Au tayari??????
 
Teh teh teh teh!
We huna haja ya kumwambia mtu wewe ni mkristo!
Harufu peke yake inajulisha kuwa wewe umesha pakwa !😀😀😀

Swali hujajibu!
UKATOLIKI NI NINI?

Na kama hujui sema!
Mchungwaji nuksi wewe!!
Teh teh teh

Umesahau kuwa huyo maamuma mwenzako aliniuliza na wewe ukashabikia?
Au umeshasahau?
Au huyo maamuma mwenzako hana pua ya kunusa hiyo harufu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…