Sijapanic kwa sababu yeyote nyie ujinga wenu mkiulizwa kitu kingine nyie mnakuja na majibu tofauti... siku mkielimika na mkawa na majibu sawia ya maswali husika mbona tutaelewana sana... kuitwa kwenu magaidi ni kwa ukaidi wenu pia Dunia ikienda hivi nyie mnakuwa tofauti.. ila ni sababu ya Mafundisho yenu kwenye Dini zenu ambayo haiwezi kuapply kwenye Dunia hii ni Maka tu ndio pengine yawezekana... nje ya huko ni mmekuwa mnafanya fujo tu kwa kutoelewana na Watu wa Dunia... mmebakia kuita watu Makafiri huku mkijua maana yake.... kuwa ukimuta mtu hivyo na huku wajua ana imani ya Mungu aliye hai unakuwa wewe ndie kafiri.... Mie na wish mbakie hivyo hivyo mpotee kabisa
Mlaleo,leo umekula nin ndug yangu??
Mbona unakwenda mbele kisha unarudi nyuma??
Naona hapo sasa umejijibu mwenyewe,kama uislam ungekuwa unaamrisha vurugu na matatizo kwanin tusingeziona pale kwenye kitovu haswa kama makah??wewe hujiulizi tuh??
Ni watu gani wa dunia tusioelwana nao??waislam wapo dunia nzima,.au wewe unapumbazwa na propaganda na marekani na vurugu zake anazozifanya huko middle east?au wewe unadhan ya kwamba huko middle east hakuna ukristo na wakristo??stuka achana na propaganda zilizopitwa na wakati,
Nimemuuliza jamaa yako pale juu naona kakimbia,naomba basi nawewe unipe majibu,mbona mmeweka miwan ya giza usoni??
Nakuuliza Joseph kony pale uganda ana karne nyingi sana anapigana vita msituni huku akichukuwa watoto wadogo na kuwaingiza kwenye mafunzo ya kijeshi ili akasimamishe amri kumi za mungu huku akiishia kubaka kina mama,kuua wanawake na watoto na kusababisha wakimbiz,je ni muislam yule??
Mbona unamkwepa kumzungumzia kwamba mafundisho yake ndiyo humpelekea kufanya vile??
Na sijaribu kumfananisha na uislam,kwan kwetu vitu kama hivyo havipo isipokuwa ni ujinga wenu wa kumeza kila mnachoambiwa na marekan na washirika wake,pole sana