Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Pole sana,naona ushapanic...

Hata ukituita magaidi ni sawa tuh,wewe sio wa kwanza kusema hivyo na sio wa mwisho,

Vumilia tuh,ukweli ndivyo ulivyuo,huwa unachoma choma ndug yangu...

Pole sana
Sijapanic kwa sababu yeyote nyie ujinga wenu mkiulizwa kitu kingine nyie mnakuja na majibu tofauti... siku mkielimika na mkawa na majibu sawia ya maswali husika mbona tutaelewana sana... kuitwa kwenu magaidi ni kwa ukaidi wenu pia Dunia ikienda hivi nyie mnakuwa tofauti.. ila ni sababu ya Mafundisho yenu kwenye Dini zenu ambayo haiwezi kuapply kwenye Dunia hii ni Maka tu ndio pengine yawezekana... nje ya huko ni mmekuwa mnafanya fujo tu kwa kutoelewana na Watu wa Dunia... mmebakia kuita watu Makafiri huku mkijua maana yake.... kuwa ukimuta mtu hivyo na huku wajua ana imani ya Mungu aliye hai unakuwa wewe ndie kafiri.... Mie na wish mbakie hivyo hivyo mpotee kabisa
 
Wewe kauzu kweli unachanganya uarabu na uislam, wewe kila muarabu kwako ni muislam.

Vita vinavyoendelea Congo mbona vitapiganwa na Wakirsto watupu. Kagame, Kabila, Museveni, hawa wote marais wakirsto vipi dini yao ndiyo imewatuma wapigane vita wagombanie madini.
mkuu mnatatizo la kujimilikisha majibu ya quran kana kwamba nyinyi ndio msikiti ama mecca. inashangaza kuona kuwa unajaribu kudanganya hapa eti museven, kagame, kabila ni wakristo.
unadhani ukristo ni kutokuwa mwislamu ama jina?
 
Nguruvi3

Haya sasa njoo ushuhudie matusi huku
Nadhani hujui nini maana ya Matusi... Katafute Kamusi.... jaribu uwe unasoma kabla ya kuongea yaelekea ndio watu kama nyie mmempoteza Raisi wenu hadi akaja na Hotuba yake ya Mwezi na maneno Nimeambiwa....Nimeelezwa...!

Wacha nikalale Tukijaaliwa Kesho nitakujieni kama hajatosheka
 
Pole sana,naona ushapanic...

Hata ukituita magaidi ni sawa tuh,wewe sio wa kwanza kusema hivyo na sio wa mwisho,

Vumilia tuh,ukweli ndivyo ulivyuo,huwa unachoma choma ndug yangu...

Pole sana
Maulana THE BIG SHOW.

Siku zote bayana zetu zinakwenda kwa ushahidi chukuwa hii.

Utafiti uliofanywa na Kevin Brice wa Chuo Kikuu cha Swansea, inakadiriwa kuwa mwaka 2010 kulikuwa na Waingereza (Wazungu) 100,000 waliosilimu Uingereza leo mwaka 2013 idadi inaongeza sema ALLAH AKBAR.

Muache aendelee kupiga ngumi hewani wakati watu wanazidi kuitambua haki.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana,naona ushapanic...

Hata ukituita magaidi ni sawa tuh,wewe sio wa kwanza kusema hivyo na sio wa mwisho,

Vumilia tuh,ukweli ndivyo ulivyuo,huwa unachoma choma ndug yangu...

Pole sana
Maulana THE BIG SHOW.

Siku zote bayana zetu zinakwenda kwa ushahidi chukuwa hii.

Utafiti uliofanywa na Kevin Brice wa Chuo Kikuu cha Swansea, inakadiriwa kuwa mwaka 2010 kulikuwa na Waingereza (Wazungu) 100,000 waliosilimu Uingereza leo mwaka 2013 idadi inaongeza sema ALLAH AKBAR.

Muache aendelee kupiga ngumi hewani wakati watu wanazidi kuitambua haki.
 
Last edited by a moderator:
Sijapanic kwa sababu yeyote nyie ujinga wenu mkiulizwa kitu kingine nyie mnakuja na majibu tofauti... siku mkielimika na mkawa na majibu sawia ya maswali husika mbona tutaelewana sana... kuitwa kwenu magaidi ni kwa ukaidi wenu pia Dunia ikienda hivi nyie mnakuwa tofauti.. ila ni sababu ya Mafundisho yenu kwenye Dini zenu ambayo haiwezi kuapply kwenye Dunia hii ni Maka tu ndio pengine yawezekana... nje ya huko ni mmekuwa mnafanya fujo tu kwa kutoelewana na Watu wa Dunia... mmebakia kuita watu Makafiri huku mkijua maana yake.... kuwa ukimuta mtu hivyo na huku wajua ana imani ya Mungu aliye hai unakuwa wewe ndie kafiri.... Mie na wish mbakie hivyo hivyo mpotee kabisa


Mlaleo,leo umekula nin ndug yangu??
Mbona unakwenda mbele kisha unarudi nyuma??

Naona hapo sasa umejijibu mwenyewe,kama uislam ungekuwa unaamrisha vurugu na matatizo kwanin tusingeziona pale kwenye kitovu haswa kama makah??wewe hujiulizi tuh??

Ni watu gani wa dunia tusioelwana nao??waislam wapo dunia nzima,.au wewe unapumbazwa na propaganda na marekani na vurugu zake anazozifanya huko middle east?au wewe unadhan ya kwamba huko middle east hakuna ukristo na wakristo??stuka achana na propaganda zilizopitwa na wakati,

Nimemuuliza jamaa yako pale juu naona kakimbia,naomba basi nawewe unipe majibu,mbona mmeweka miwan ya giza usoni??

Nakuuliza Joseph kony pale uganda ana karne nyingi sana anapigana vita msituni huku akichukuwa watoto wadogo na kuwaingiza kwenye mafunzo ya kijeshi ili akasimamishe amri kumi za mungu huku akiishia kubaka kina mama,kuua wanawake na watoto na kusababisha wakimbiz,je ni muislam yule??

Mbona unamkwepa kumzungumzia kwamba mafundisho yake ndiyo humpelekea kufanya vile??

Na sijaribu kumfananisha na uislam,kwan kwetu vitu kama hivyo havipo isipokuwa ni ujinga wenu wa kumeza kila mnachoambiwa na marekan na washirika wake,pole sana
 
Maulana THE BIG SHOW.

Siku zote bayana zetu zinakwenda kwa ushahidi chukuwa hii.

Utafiti uliofanywa na Kevin Brice wa Chuo Kikuu cha Swansea, inakadiriwa kuwa mwaka 2010 kulikuwa na Waingereza (Wazungu) 100,000 waliosilimu Uingereza leo mwaka 2013 idadi inaongeza sema ALLAH AKBAR.

Muache aendelee kupiga ngumi hewani wakati watu wanazidi kuitambua haki.


Sub'hana allah,

Allahu Akbar..!!

Siku zote kwenye haki na batwil,hakika batwil itakuwa ni yenye kujitenga tuh
 
Nadhani hujui nini maana ya Matusi... Katafute Kamusi.... jaribu uwe unasoma kabla ya kuongea yaelekea ndio watu kama nyie mmempoteza Raisi wenu hadi akaja na Hotuba yake ya Mwezi na maneno Nimeambiwa....Nimeelezwa...!

Wacha nikalale Tukijaaliwa Kesho nitakujieni kama hajatosheka


Ona ulivyo mpuuz,

Nani kakuambia kikwete ni Rais wa waislam,si kapigiwa kura na waislam na wasio waislam??

Nilikua sijui kumbe najadiliana na kanyaboya kias hiki??

We kalale zako,iyo kesho ujaliwe usijaliwe hauna tena qualifications za kukaa kitako na mimi,

Thinking Capacity yako iko chini sana,very very ridiculous...
 
You have to raise your vibrations,mature your childhood stories and grow up from ethno-centred consciousness...it's a good place to start!

Ahsanta.
Your post is devoid of substance. Next time engage fully your faculties to come up with anything, atleast something sensible.
 
Nadhani hujui nini maana ya Matusi... Katafute Kamusi.... jaribu uwe unasoma kabla ya kuongea yaelekea ndio watu kama nyie mmempoteza Raisi wenu hadi akaja na Hotuba yake ya Mwezi na maneno Nimeambiwa....Nimeelezwa...!

Wacha nikalale Tukijaaliwa Kesho nitakujieni kama hajatosheka
Teh teh teh! Kumbe mfuasi wa Chadema ndiyo maana anautukana Uislam.

CC: CHAMVIGA gombesugu Mag3 Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Chukuwa hii kutoka gazeti la St. Petersburg Time kila mwaka Marekani, takriban watu 20, 000 wanaingia katika Uislam.

"Idhaajaa anasrullahi wal'fatihah,wara'aita n'nasii yadukhuluuuna fii'dini llahi afuwajaah""

Tulishaambiwa hayo sheikh,nadhan yanatimia sasa,
 
mkuu mnatatizo la kujimilikisha majibu ya quran kana kwamba nyinyi ndio msikiti ama mecca. inashangaza kuona kuwa unajaribu kudanganya hapa eti museven, kagame, kabila ni wakristo.
unadhani ukristo ni kutokuwa mwislamu ama jina?
Mie ninao ushahidi kama Kagame, Museveni, Kabila, ni Wakristo safi.

Kabla sijakuwekea huo ushahidi tuambie wewe kama siyo Wakirsto ni dini gani?
 
Back
Top Bottom