Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Sasa nimefahamu lengo lako!!
Sasa kumbe kuzunguka kooote huko! Kumbe unatafuta mume??
Teh teh teh teh!
Mutaa my foot!

Unfortunately hapa sisi woote tumeshaoa!
Mjaribu Nyakageni huenda hajaolewa/hajaoa!!
Na kama nilivyokwambia mwanzo , kiswahili pia ni tatizo kubwa kwako!

We unaweka maelezo ya ajabu halafu unaniuliza swali!

Mimi nikakwambia ukitaka kuelewa jaribu kusoma hata kidogo kabla ya kuja humu!!
Sasa unaniambia ETI USOME MAVITABU YETU KWA AJILI YA NINI!!

teh teh teh teh teh!

Au unapokuja humu JF unakuwa umeshavuta ile maneno!!?
Manake nyie msio na elimu hamchezi mbali na bangi!!

La mwisho hiki kitu unachorudia rudia ukikiita kuruani mi sikijui!! Hebu jaribu kutafuta jina kamili.

Kbd ya kuanza kubwabwaja nenda KASOME KWANZA!

NA KAMA WE KIPOFU!! BASI JAPO KASIKILIZE!

Mutaa! mutaa! mutaa!

Stori nyiiiingi kumbe unatafuta buzi!! Nenda vingunguti wamejaa pale!

Teh teh teh teh teh!.

Kwasababu nyinyi vichwa ni vigumu. Ngoja niwawekwee swali la kuchagua

Ulisema kuruani ipo kamili.
Na nimekuja na hoja ya mutah au pleasure marriage( yaani kuoa mwanamke kwa siku moja kwaajili ya kujifurahisha ) je nihalali?

Chagua jibu moja
a) nikweli
b)sikweli
c) mimi kilaza sijui jibu.
d) na maasira naenda kuchukua jambia

cc wabara faizafoxy
 
Last edited by a moderator:
Sasa we mtoto!
Mbona unapenda kulalamika kama mke aliyetishiwa talaka??

Unalalamiiiika ovyo! Hueleweki unacholalamikia ni nini!
Hebu funguka kidogo! sisi tunafahamu kwamba WEWE SIO MSOMI ILA NI MBWABWAJAJI!

NINI TATIZO LAKO. Hebu sema usaidiwe ili utupe nafasi tuwahudumie wengine!
Basi haya maradhi yako hayaishi??

Au hii kaswende sugu nini??
Teh teh teh teh!


Huyu hako tayari kuacha nafasi wenziwe pia wahudumiwe nadhani Dr. Kahtaan isikupe shida kumfahamu, huyu ni katika waleee wa ukanda wa .........,
Tangu lini wakawa na upendo kwa wasio kanda yao....?!

Ndo mropokaji mmoya kupitia yake maandishi hapa mkekani akaropoja kwa wino wake katika kulithibishia neno langu, ati akaandika AFADHALI UKABILA KULIKO DINI..!

Sasa ndo huyo asotaka achia fasi kwa wangine,

Pana kitu hapo.....?!
 
Na log off kwa muda enyi wagala ntakuijieni baadaye,

Ngoja nitumie fursa hii kutoa huduma kwengine,

Kwi kwi kwi .....,
 
Dr. Kahtaan,

Assalaamu alaykum,

Yaani asswaahibal waqt kana kwamba nilikuwa nimefungwa kumfahamu huyo mla nguruwe nini ahitajia,
Yaani hapa nimepariwa kwa kicheko,

Kwi kwi kwi ....,

teh teh teh...!

Mie japo bado pana nafasi ya kuongeza wawili lakini kama ndo kwa style hiyo sidhani kama itanipitikia bahati mbaya kumpa staha na nusra,

Teh teh teh....,

Teh teh teh teh!
Al habib akhiy wabara wanasema waswahili subira yavuta kheri!
Huyu muabudu mtu amezunguuka muda! Mi simuelewi hassa lengo lake!
Nimemuuliza mara chungu mzima! Analengo gani kuuliza haya mambo!
Anajibu ohhh bora ukabila kuliko dini!!!
Sasa ya rabi hilo ndo jibu??
Ohh nyie sunni bla..bla..bla..bla.. ahhhh!

Wallahi mi nakashangaa! Leo KAFIRI APENDE SHIA HALAFU ACHUKIE SUNNI??
Nikawa namsubiri tu! Na yule swahiba yake ( jina kapuni) akaanza khabari ya mutaah!
Mara ghafla na huyu kibwengi nae "" mutaah!
Na mimi nikachukua 1+1= mutaah!!

Teh teh teh teh!!

Kumbe hawa wote waliambiana waje kuchafua huu uzi halafu watafute waume humu!
Teh teh teh teh!
Wana laaana hawa shekh wangu!
Ahsanta.
 
Last edited by a moderator:
Kwasababu nyinyi vichwa ni vigumu. Ngoja niwawekwee swali la kuchagua

Ulisema kuruani ipo kamili.
Na nimekuja na hoja ya mutah au pleasure marriage( yaani kuoa mwanamke kwa siku moja kwaajili ya kujifurahisha ) je nihalali?

Chagua jibu moja
a) nikweli
b)sikweli
c) mimi kilaza sijui jibu.
d) na maasira naenda kuchukua jambia
E) akili zangu zanitosha mwenyewe na pia NATAFUTA MUME.
cc wabara faizafoxy


MI NIMECHAGUA "E".
je nimepatia?
 
kwa hiyo mtu yeyote asieamini kwenye kile unachoamini wewe basi hawezi kuwa ndugu yako? that is how low you can think?!
kazi ipo! hongera kwa kufikiria ufikiriavyo.
Then andate first thing I want to say is I AM SORRY FOR NOT UNDERSTANDING YOU WELL!
MI nilikuwa nadhani wewe ni miongoni mwa wale wanaoabudu MTU badala ya MUNGU MMOJA!
By saying that JESUS IS NOT GOD NOR A SON OF GOD, mimi tayari ni NDUGU YAKO LABDA MAMA ZETU TU TOFAUTI!
teh teh teh teh teh!

From now on IF YOU REMAIN WITH THAT BELIEVE I WILL TREAT YOU LIKE A BROTHER!

I want miss King'asti to see this, THAT I HAVE CALLED YOU "NDUGU YANGU" Na sababu kuu ni kuwa UNAAMINI NINACHO AMINI! and I welcome you to Detroit! if you ever pop up in this side of the planet!

Peace bro!!
 
Dr. kahtaan.

Naona unamkoma nyani girabu, kudadadeki, nakusoma sana tena kwa ushui.

Teh teh teh teh!
Al shariff Ritz hawa vimburu wanatuchafulia uzi! Wanataka kutuletea mambo ya ohio street!

Afanaa alaik! 😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Mimi nisielewe kivipi wewe.... nchi hii imepata Uhuru na watu mbali mbali na wengine hawakuwa na Dini... huo ushindani usio na ukweli wa Mohammed saidi ndio unachafua hali ya hewa na ndio nakikataa humu... kwani kuleta idadi ya watu ambao wengi hawapo ambao pia walichangia kwa namna moja au nyingine ya Uhuru wa Tanganyika... kibaya mwataka kuonesha waislam ndio walikuwa wengi katika huo ukombozi hilo halikubaliki katu... nitapinga sana historia haiwezi kubadilishwa na watoto wa juzi juzi ambao hawajui uchungu wa nchi.... Uislam ulikuwa zaidi Pwani... wapigania uhuru walikuwepo Tanganyika nzima... kila eneo alilokuwepo Mkoloni wapigania uhuru walikuwepo.... mkileta zenu na sisi tutaleta zetu ili Historia ibaki vile vile tu Uhuru umeletwa na Watanganyika... na sio Uislam wla Ukristo... Mambo ya Nyerere kuwa mkatoliki ni kivyake mwanzoni hakuwa hivyo aliingia kwenye huo ukatoliki akaitwa Julius. kama wewe jina lako pengine linaweza kuwa Chausiku... au Mwanakhamis.... Hivyo Ukatoliki wake Julius si kwamba ndio ulileta Ukombozi ulioleta ukombozi ni Utanganyika wake....

Mlaleo,
Kilichonisukuma mie kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika ni pale nilipoona walioandikia
historia hiyo kuna mengi ya muhimu na lazima wameacha.

Mathalan vipi utaandika historia ya TANU umuache Abdu Sykes?
Ndipo nikaamua kunyanyua kalamu.

Sasa suala la Waislam hili halikuweza kukwepeka maana ukilikwepa unavuruga historia nzima.
Ni haya tu kwa uchache.
 
Swali langu umelijibu kwa Jibu ambalo si Sahihi kwahiyo Umefail na umepata zero.... Mulugo atakupa Division 5...

ungejua kuwa mimi si mfuasi wa Vatican ungeumia sana....kwa maudhi unayowapa wahusika.... am not a Sunday Keeper

Bla..bla..bla..!

Mbulula mliwa leo! We sabato sio!?

Wale wakiswali wanapiga kelele kama wanapepo wa ngono!

Teh teh teh teh teh!

Unasema uingereza nchi ya dini ya kikristo!!? Nimekuonyesha hapo juu kuwa SERIKALI YA UINGEREZA IMEPITISHA SHERIA YA WATU WA JINSIA MOJA KUONA!! NA QUEEN AMETIA SAINI!!

Halafu eti unaita hivyo ni VIOJA!

TATIZO LAKO ELIMU HUNA!!

Hio lugha ya wale waaanzilishi wa ugalatia pia huijui!

Teh teh teh teh!

Ndio sababu ukasema SHERIA ZA WALIBERALI KUONA NI VIOJA VYA MITAANI!!

kwi kwi kwi kwi kwi!
 
Mimi nisielewe kivipi wewe.... nchi hii imepata Uhuru na watu mbali mbali na wengine hawakuwa na Dini... huo ushindani usio na ukweli wa Mohammed saidi ndio unachafua hali ya hewa na ndio nakikataa humu... kwani kuleta idadi ya watu ambao wengi hawapo ambao pia walichangia kwa namna moja au nyingine ya Uhuru wa Tanganyika... kibaya mwataka kuonesha waislam ndio walikuwa wengi katika huo ukombozi hilo halikubaliki katu... nitapinga sana historia haiwezi kubadilishwa na watoto wa juzi juzi ambao hawajui uchungu wa nchi.... Uislam ulikuwa zaidi Pwani... wapigania uhuru walikuwepo Tanganyika nzima... kila eneo alilokuwepo Mkoloni wapigania uhuru walikuwepo.... mkileta zenu na sisi tutaleta zetu ili Historia ibaki vile vile tu Uhuru umeletwa na Watanganyika... na sio Uislam wla Ukristo... Mambo ya Nyerere kuwa mkatoliki ni kivyake mwanzoni hakuwa hivyo aliingia kwenye huo ukatoliki akaitwa Julius. kama wewe jina lako pengine linaweza kuwa Chausiku... au Mwanakhamis.... Hivyo Ukatoliki wake Julius si kwamba ndio ulileta Ukombozi ulioleta ukombozi ni Utanganyika wake....

Unasema "mkileta zenu na sisi tutaleta zetu"
Hebu lete basi tukusome! Kazi kushuta tu!

Teh teh teh teh teh!

Utasema kushuta pia huelewi!?
Muulize Nguruvi3 amekaa sana pwani lzm anafahamu!
😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Naomba kukuuliza pale lilipo jengo la Ushirika Lumumba, ilikuwa nyumba ya mama yao Ally Sykes ni kweli.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said

Naomba kukuuliza pale lilipo jengo la Ushirika Lumumba, ilikuwa nyumba ya mama yao Ally Sykes ni kweli.

Shariff Ritz,
Ni kweli kwenye kona ya Kipata Street (sasa Kleist Sykes Street) na New Street (sasa Lumumba Street)
ilikuwa nyumba ya mama yake Abdu Sykes Bi. Mluguru biti Mussa.

Nyumba hii Kleist Sykes alimjengea mkewe Bi Mluguru.

Wakati wa harakati za kudai uhuru Bi. Mluguru alikuwa anaweza akakaa pale nje katika baraza yake na
kufuatilia mikutano ya TANU chini ya kuvuli cha nyumba yake bila bughdha yoyote.

Baada ya uhuru kupatikana siku moja Nyerere akiwa Government House (sasa Ikuku) akampigia simu
Abbas Sykes wakati ule Mkuu wa Mkoa ofisi yake iko Ilala Boma akamwambia, ''Abbas mwambie mama
serikali inamuomba aiuzie nyumba yake ya Kipata na Lumumba na sisi tutampa fedha zozote atakazotaka.''

Alipoelezwa habari zile Bi. Mluguru akajibu akasema, ''Huyu ni rafiki yenu mimi siwezi kumkatalia.''

Kwa hakika Bi. Mluguru akalipwa fedha alizosema na nyumba ile ikachukuliwa na Serikai na pale pakajengwa
Cooperative Building.

Nikiwa mtoto mdogo labda wa miaka 12 tulikuwa tukipanda ngazi za jumba lile zile za nje hadi juu kabisa.
Kwa wakati ule lile ndilo lilikuwa moja ya majumba marefu Dar es Salaam.

Shariff Ritz,
Kwa kweli sijui kwa nini umeniuliza swali hili.
Nini kimejificha nyuma yake?

Unataka kujua ukaribu wa Nyerere na bibi yetu au kitu gani?
Maswali haya yananikumbusha mbali sana.

Wakati naandika radio yangu katika mtandao Sophisticated Easy Sound kutoka Washington inapiga nyimbo
moja ''Twilight Time.''

Hii nyimbo ilipgwa na Platters ni nyimbo tukizisikia wazee wetu wakizipiga katika gramophone.

Hii ilikuwa 1957.

Umenipeleka mbali sana.
 
Shariff Ritz,
Ni kweli kwenye kona ya Kipata Street (sasa Kleist Sykes Street) na New Street (sasa Lumumba Street)
ilikuwa nyumba ya mama yake Abdu Sykes Bi. Mluguru biti Mussa.

Nyumba hii Kleist Sykes alimjengea mkewe Bi Mluguru.

Wakati wa harakati za kudai uhuru Bi. Mluguru alikuwa anaweza akakaa pale nje katika baraza yake na
kufuatilia mikutano ya TANU chini ya kuvuli cha nyumba yake bila bughdha yoyote.

Baada ya uhuru kupatikana siku moja Nyerere akiwa Government House (sasa Ikuku) akampigia simu
Abbas Sykes wakati ule Mkuu wa Mkoa ofisi yake iko Ilala Boma akamwambia, ''Abbas mwambie mama
serikali inamuomba aiuzie nyumba yake ya Kipata na Lumumba na sisi tutampa fedha zozote atakazotaka.''

Alipoelezwa habari zile Bi. Mluguru akajibu akasema, ''Huyu ni rafiki yenu mimi siwezi kumkatalia.''

Kwa hakika Bi. Mluguru akalipwa fedha alizosema na nyumba ile ikachukuliwa na Serikai na pale pakajengwa
Cooperative Building.

Nikiwa mtoto mdogo labda wa miaka 12 tulikuwa tukipanda ngazi za jumba lile zile za nje hadi juu kabisa.
Kwa wakati ule lile ndilo lilikuwa moja ya majumba marefu Dar es Salaam.

Shariff Ritz,
Kwa kweli sijui kwa nini umeniuliza swali hili.
Nini kimejificha nyuma yake?

Unataka kujua ukaribu wa Nyerere na bibi yetu au kitu gani?
Maswali haya yananikumbusha mbali sana.

Wakati naandika radio yangu katika mtandao Sophisticated Easy Sound kutoka Washington inapiga nyimbo
moja ''Twilight Time.''

Hii nyimbo ilipgwa na Platters ni nyimbo tukizisikia wazee wetu wakizipiga katika gramophone.

Hii ilikuwa 1957.

Umenipeleka mbali sana.
Mohamed Said

Unajua unavyotoa historia za hawa wazee mimi huwa nakuwa mkiwa sana kutokana na baadhi ya hawa wazee nimewaona.

Hivi Mwalimu Nyerere alipokuwa rais alikuwa anamtembelea Bi Mluguru Kariakoo.

Najua kipindi hicho Abdulwahid Sykes alikuwa ameishafariki.
 
Last edited by a moderator:
Moulaan gombesugu,

Naziona zako bayana kwa wale waletao mambo ya kusikia ati mwafulani kanena,

Hapa bahati mbaya sana si pahala pa kuja na maneno ya kusikia la hasha,

Hizo B52 nasubiri mrejezo wake nini itafamika,

Shukran llaka.




Mujitahid Wabara,

Bismi natakadam,naishika kalam,nijaalia yako fursa kukupa zangu salaam.

Nami pia hukoshwa kwa bayanazo,Wallahi nina hakika wawatupa mbali mno,hawa mafata'ani kwa hiyo misamiati na bayana zako za ki-Chongoleani,Vibambani,Baraste Kipande na Mwangarani yake!? Kwi! Kwi!

Hawa majibu ya maana/hoja hawana asilan!...yaani wafanzacho hapa na walichotumwa ati ni kuja kuichafua tu hii thread...lakini naona matokeo yake sasa wamechafuliwa wao! Laanak'um!

Wao hawawezi kujibu,mpaka wapitie kwa Aunt yao Miss Google,or their step Mummy aka Wikipedia! Kwi! Kwi!

Mfano ni kama jamaa yetu Mag3,anatwambia ati ana shughuli "nyingi mno" na hana muda wa kujibu baadhi ya Wanajamvi hapa,lakini kwenye zile thread za ule utumbo wa Chadema hakosekani...tena kama dasturi yake anaweka yale mabandiko yake ya cartoons!? Kwi! Kwi!

Inastaajabisha,tangia lini Pensioner akawa na "mashughuli" mangi mno ya kumzidi kimo!?

Nakusomeni vizuri Maulamaa nyoote...

Naona pia kuna Aunt fulani nakhis ni mstaarabu tu anaitwa Miss King'asti...taratibuni nae,msimkere mno.

Nafikiri yeye King'asti na Maulana Dr Kahtaan...italazim tuwafungulie thread yao wao wawili tu peke yao,maana yaelekea wajuana uzuri,wapendana mno na pia wametoka mbali!? Kwi! Kwi!

Ahsanta.
 
kwa hiyo mtu yeyote asieamini kwenye kile unachoamini wewe basi hawezi kuwa ndugu yako? that is how low you can think?!
kazi ipo! hongera kwa kufikiria ufikiriavyo.

Dada kingasti asemayo daktuur kahtaan ni sadakta. hayo ndio mafundisho yetu kutoka kwa alyekiumba wewe, mbingu na ardhi. Hatuna uwezo wa kuyabadilidha
 
Mohamed Said

Unajua unavyotoa historia za hawa wazee mimi huwa nakuwa mkiwa sana kutokana na baadhi ya hawa wazee nimewaona.

Hivi Mwalimu Nyerere alipokuwa rais alikuwa anamtembelea Bi Mluguru Kariakoo.

Najua kipindi hicho Abdulwahid Sykes alikuwa ameishafariki.

Shariff Ritz,
Wamesema wahenga.

Tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
Historia ya Nyerere na wazee wetu inahitaji siku nzima kuihadithia.

Ndiyo hivi leo tuko hapa tunabishana kwa jambo ambalo halistahili
kuwa hivyo.

Kuwa anatajwa Mzee Mshume watu wanamdhihaki.
Anatajwa Abdu Sykes anakataliwa kuwa yeye siye aliyeasisi TANU.

Huu ndiyo ukweli unaotukabili.

Ila tushukuru kuwa tumeeleza historia ya wazee wetu na haitoweza
kupotea kamwe.

Kwa hakika ukitazama sana unaweza kusema hali ya mambo katika
TANU
ilianza kuchafuka baada ya Mkutano wa Tabora wa 1958 uliopitisha
Kura Tatu.

Kufikia hapo TANU ikawa inanguvu sana na uhuru ulikuwa upo karibu
sana.

Ndani ya TANU ukaingia uongozi mpya na taratibu wazee wetu kwa
haraka sana wakaanza kupoteza nguvu zao ndani ya chama.

Uhuru ulipofika ikawa hata ule mwaliko waliopewa wazee wetu kwenda
kuhudhuriasherehe za uhuru wao nafasi yao walipangiwa kwenye majani
siyo jukwaani ''main stand'' wakae na Nyerere.

Pale jukwaani walikuwa viongozi wapya.

Ndipo pale Mzee Haidari Mwinyimvua aliposema kuwa ile ndiyo siku kwa
masikitiko nilipomkumbuka Sheikh Suleiman Takadir alipotuambia kuwa,
''Ndugu zangu Insha Allah iko siku mtakuja kuikumbuka.''

Ilipofika mwaka 1963 Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU rasmi.

Wazee wetu wakarudi majumbani kwao na mmoja baada ya mmoja wakawa
wanakufa kimya kimya mpaka wote wakaisha.

Ama kisa cha Nyerere na rafiki yake Abdulwahid Sykes hiki ni kisa kirefu na
kinamuhusu na mama yake Bi. Mluguru biti Mussa.

Nadhani tumalizie hapa ikiwa utaona unahitaji zaidi Insha Allah tutazungumza
lakini nadhani haya niliyoeleza yanaeleza mambo yalivyokuja kugeuka baada ya
uhuru kupatikana mwaka 1961.
 
Shariff Ritz,
Wamesema wahenga.

Tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
Historia ya Nyerere na wazee wetu inahitaji siku nzima kuihadithia.

Ndiyo hivi leo tuko hapa tunabishana kwa jambo ambalo halistahili
kuwa hivyo.

Kuwa anatajwa Mzee Mshume watu wanamdhihaki.
Anatajwa Abdu Sykes anakataliwa kuwa yeye siye aliyeasisi TANU.

Huu ndiyo ukweli unaotukabili.

Ila tushukuru kuwa tumeeleza historia ya wazee wetu na haitoweza
kupotea kamwe.

Kwa hakika ukitazama sana unaweza kusema hali ya mambo katika
TANU
ilianza kuchafuka baada ya Mkutano wa Tabora wa 1958 uliopitisha
Kura Tatu.

Kufikia hapo TANU ikawa inanguvu sana na uhuru ulikuwa upo karibu
sana.

Ndani ya TANU ukaingia uongozi mpya na taratibu wazee wetu kwa
haraka sana wakaanza kupoteza nguvu zao ndani ya chama.

Uhuru ulipofika ikawa hata ule mwaliko waliopewa wazee wetu kwenda
kuhudhuriasherehe za uhuru wao nafasi yao walipangiwa kwenye majani
siyo jukwaani ''main stand'' wakae na Nyerere.

Pale jukwaani walikuwa viongozi wapya.

Ndipo pale Mzee Haidari Mwinyimvua aliposema kuwa ile ndiyo siku kwa
masikitiko nilipomkumbuka Sheikh Suleiman Takadir alipotuambia kuwa,
''Ndugu zangu Insha Allah iko siku mtakuja kuikumbuka.''

Ilipofika mwaka 1963 Nyerere akavunja Baraza la Wazee wa TANU rasmi.

Wazee wetu wakarudi majumbani kwao na mmoja baada ya mmoja wakawa
wanakufa kimya kimya mpaka wote wakaisha.

Ama kisa cha Nyerere na rafiki yake Abdulwahid Sykes hiki ni kisa kirefu na
kinamuhusu na mama yake Bi. Mluguru biti Mussa.

Nadhani tumalizie hapa ikiwa utaona unahitaji zaidi Insha Allah tutazungumza
lakininadhani haya niliyoeleza yanaeleza mambo yalivyokuja kugeuka baada ya
uhuru.




Sheikh Mohamed Said,

Tafadhali,Al Akhiy kipata fursa japo kiduchu...

Embu tujuze kuhusu huyu Sheikh Haidar Bin Mwinyimvua alotajwa kwenye huo ufunguzi wa hii thread,ndiye yule anaesali pale Msikiti wa Mwinyikheir Akida, Barabara ya Bibi Titi Bint Mohammed!?

Je bado yuhai huyu Mzee Wetu!?

Alikua na nguguye pia akiitwa Bwana Haidar,aliekua na nyumba opposite ya Mwananyamala Primary School!?

Kama ndie yeye,basi huyo Bwana khabar zake ni ndefu mno na pia nasikia yakuwa ni msomi mzito mno!?

Nilipata kusikia khabar na sifa zake toka kwa Sheikh Mahdi Bin Muharam...yule kijana Imam wa pale Masjid Mwinyikheir Akida.

Je pana khabar zozote za hawa Mwamwinyi/Landowners wa hiyo D'salam na viunga vyake zama hizo...naona raha kila mara kuwasoma hawa Wazee Wetu,waliotakapotoshwa kwa makusudi na ile maluni ya historia ya Kivukoni;

Mwinchande Bin Kidato,MwinyiKhamis Wa Dodo,Mwinyikhamis Bin Meno,Mtumwa Wa Mkenge,Maalim Bin Salim Bin Awadh,Miraj "Mzuri" Bin Jahazmy,Abdallah Bin Ramadhan Bin Lofa,Abdilbary Bin Diwani Wa Gombe,Maembe Bin Mzaham,Ali Bin Keis Bin Ali na wengineo wengi labda mie siwajui!?


Ahsanta.
 
Mbulula nilikuonya kuwa kuongea bila elimu utakuja adhirika!

UMETAJA Uingereza na Vatican kuwa NI NCHI ZA KIKRISTO SIO?
Kwanza VATICAN SIO NCHI ANYWAY!
LK tuchukulie ni nchi!

Tuanze na hio hio VATICAN;-
HII HAPA NI HUKUMU YA WALIBERALI NDANI YA BIBLIA!

Andiko hili hapa-
"Mambo ya walawi 20:13-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

SASA ANGALIA VITU HUYO PAPA ANAVYOFANYA VATICAN!

Pope: Church Should Accept Gays 'With Respect'

Says Vatican has been 'small-minded,' can't be 'obsessed'




By Evann Gastaldo, Newser Staff


Posted Sep 19, 2013 12:00 PM CDT

(Newser) – More unexpected comments about homosexuality from Pope Francis: In a new interview with a Jesuit journal, he says the church cannot "interfere spiritually" in the lives of gays and lesbians, CNN reports. He's gotten letters from gays and lesbians who felt "socially wounded" by the church, "but the church does not want to do this," the pope said. Yes, the catechism condemns homosexuality, but gays and lesbians must still be "accepted with respect, compassion, and sensitivity," he continued. "Religion has the right to express its opinion in the service of the people, but God in creation has set us free: It is not possible to interfere spiritually in the life of a person." More:


• His answer to the question of whether he approves of homosexuality is another question: "'Tell me, when God looks at a gay person, does he endorse the existence of this person with love, or reject and condemn this person?' We must always consider the person. Here we enter into the mystery of the human being."
• He also addressed criticism that he hasn't gotten all that political, seeing as he doesn't talk much about gay marriage, birth control, or abortion. But the church's teachings on all of the above are already clear, he said, and "it is not necessary to talk about these issues all the time."
• Further: "The church's pastoral ministry cannot be obsessed with the transmission of a disjointed multitude of doctrines to be imposed insistently. We have to find a new balance; otherwise even the moral edifice of the church is likely to fall like a house of cards, losing the freshness and fragrance of the Gospel."
• CNN notes that none of the pope's comments broke with Catholic doctrine, but did signal a shift to a more accepting approach; Francis himself said he wants to change the church's "attitude," since it sometimes gets "locked ... up in small things, in small-minded rules." He continued, "The people of God want pastors, not clergy acting like bureaucrats or government officials."
• Sorry, though, no female priests: Francis was quite clear that the "door is closed" on women being ordained.
The AP has more highlights from the wide-ranging interview.


SASA BIBLIA INASEMA UA!
PAPA ANASEMA "AAAA" WALIBERALI KARIBUNI NDANI!
BADO KUNA UKRISTO HAPO!!?

NCHI YA KIKRISTO MY FOOT!

Mkuu nilikuwa sijakusoma... Umesema Vatican si nchi????? na kuhusu ukristo uuzungumziao hapo mbona haviendani na mambo ya nchi zifuatazo mfumo wa kidini? Ukristo ulikuja baada Yesu na Uislam ndio nadhani wa mwisho mwisho ulikuwa ukiitwa Wapinga Kristo..

Tizama hapa Uhusiano wa Irani na Vatican
PressTV - Iran?s new ambassador to Vatican holds meeting with Pope
 
Back
Top Bottom