Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle

Madhali umeanza kwa kutoa kasoro za Uislaamu kwa mifano hapo juu,
Utakuwa hujatenda haki upande wa pili,
Hebu nitajie japo kiduchu mapungufu ya rukristo japo najua itakuia muhali, ili kuanzia hapo ionekane umefanye haki katika dini yako,

Na mie sasa ntakufungua pale ambapo umepotokwa/potoshwa kuelewa,

Kwani siamini kama ungeliiacha huru yako akili ingelikufika hiyo tabu ya ufahamu,

Ok fine... Here we go!!!! Kasoro ya kwanza ni mgawanyiko ktk ukristo.... Haiwezekani sote tutumie BIBLIA MOJA halafu tukatofautiana ktk misimamo na imani.... Hiyo ni kasoro ya kwanza....

Mbili; Fundisho la Utatu.... Unaposema kwamba Mungu ni utatu inashangaza sana.... Hakuna mahali Biblia inafundisha kwamba Mungu ni utatu.. Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kama kweli Mungu ni utatu.. Kwamfano, Yesu alipokufa it means ktk hizo siku tatuipokua ktk usingizi wa kifo hapakua na Mungu ktk ulimwengu... Ninachojaribu kuuliza hapa ni kwamba... Miungu mi3 ktk Mungu mmoja inafafanulika kua mmoja akifa na wengine wanakufa..... Haya ukitafakari tena Yesu alimuita Mungu ni baba tena akaongeza zaidi kua ni mkuu kuliko yeye...Sasa tangu lini watu wa namna hiyo wakawa kitu kimoja ktk umoja??? Ila ukichimba zaidi unakutana na wazo kuwa haya yaliletwa na wapagani na yaliwekwa ktk ukristo ili ukubalike na watu wengi.... Hapo pananifanya nione kasoro yazo....

Haya kuukubali ushoga ktk ukristo bado ni kasoro kubwa sana kwakua inapingana na NENO LA MUNGU TAKATIFU- BIBLIA.....

Tukigeukia mambo mengine kama KRISMASI bado inashangaza kuona wakristo wanaadhimisha sikukuu hiyo wakati siyo agizo la Mungu kufanya hivyo... Na zaidi ukifanya utafiti na kutafakari unagundua kua Yesu hakuzaliwa december 25.. Sasa kwanini wakristo tunaadhimisha?? Unaambiwa ililetwa ili kuwafanya wapagani waukubali ukristo kwakua ulipoteza umaarufu...

Yapo mambo mengi sana Mengine ni ya ndani sana ktk ukristo siwezi kukwambia coz hautoelewa chochote... Ila point hapa ni kwamba ktk ukristo kuna kasoro.. Tena nyingi tu..

Lakini sasa tukivuka kuja upande wenu naona nyinyi mnakasoro zaidi tena zisizovumilika.... Me napenda uwe muwazi tu usimung'unye maneno mkuu... Na wala hamna haja ya kuongea kishabiki... Usipepese macho... Niambie kwanini mna imani kali sana kuelekea dini ambayo kwa maneno inaonekana ni ya KIMUNGU Ila inamkana kwa matendo yake... Tiririkaaaaaaaaaa
 
Hapo ndo uwezo wake umegota wa kufikiri,
Pole sana japo huenda hustahiki hiyo pole,

Na si utuambie Wahenga wahenga,

Na kwa taarifa yako shika kanuni hii kabla hujaropoka hapa : - Misemo haifasiri kwa misemo bali hufasiriwa/ huchukuliwa maana,

Kapumzike na hii : -

Ada ya mja hunena muungwana ni vitendo,
Lete tafsiri ya hapo juu,

Kisha kutokana na tafsiri hiyo ujiandae kwa maswali na nnakusihi usikimbie.

Hiyo Methali tunaiweka ktk kundi moja na hii matendo hukidhi maridhawa kuliko maneno.... Sasa inatumikaje???? Twende paragraph ya pili.

Najikita kutafsri hiyo kulingana na muktadha wa mada husika mezani kati yangu mimi na wewe..... Waislamu wamekua wakipigania haki zao miaka mingi sana..... Inasikitisha harakati hizo zimeishia ktk mauaji mengi bila kuzaa matunda yanayopatana na nguvu-wekezwa. Kwa mantiki hiyo waislamu wamekua wakitafuta mbinu nyingi za kuwafanya angalau nao waonekane wanamchango ktk taifa letu... Hii inatia ndani kuanzisha shule na taasisi mbalimbali...

Kwamfano ukienda bank hushangai kukuta kuna matangazo ya akaunti za kiislamu.... Hata mmepiga hatua zaidi kwa kufungua bank za kiislamu.... Na wakati mwengine nimesikia na kuona mkidai sana mahakama ya kadhi(sina uhakika na matamshi hayo ila ushan'fahamu nazungumzia nini).. Haya yote yanafanywa ili kuhakikisha kuwa uislamu unajipenyeza na uonekane ktk ulimwengu wa leo...

Sasa kwanini nimesema chema chajiuza kibaya chajitembeza?? Fikiria mfano huu mdogo... Wanawake wamekuana jitihada nyingi za kujikomboa na kuleta usawa baina yao na yetu.. Hali hiyo imepelekea kuanzisha bank za kike... Umoja wa wanawake matabibu... Wanahabari.. Wanasheria na kadharika wa karidhika.... Ingeshangaza sana ikiwa wanaume nao wangeanzisha mambo hayo.. Hii ni kukwakua wanaume tumezaliwa tukiwa ni viongozi kwaasili. Hata siku moja huwezi kusikia bank ya kina baba...!!! And we are proud for that... Najua wajua..

Sasa hali tajwa ktk paragraph ya juu inafanana sana na uwepo wa dini yenu na yetu... Sisi hatushindani na nyinyi... Sisi tunashindana na SHETANI... Nyinyi mnashindana na UKRISTO... Ndiyo sababu kila uchwao mnaanzisha mambo yenu yanayolenga kutoa huduma kwa waislamu pekee.. Tukija ktk mzizi wa mada yetu.. Mara zote huwa tunazungumzia jitihada za watu ktk harakati za uhuru... Lakini nyinyi mnataka kuzungumzia jitihada za dini yenu ktk harakati za uhuru.. Ni sawa tu na vile wanawake wanavyopigania tutambue mchango wao ktk jamii yetu... Naweza kusema kuwa ni kama hawajiamini kuwa tunaona jitihada zao. Same to you guys... Hamjiamini ndiyo sababu kila kukicha mnataka kudraw attention... Hii inamfanano wa wafanyabiashara wawili wanaotoa bidhaa zifananazo... Asiyejiamini atatumia nguvu nyingi sana kujitangaza wakati mwenye kujiamini hata hajisumbui kwa kuwa anajua bidhaa yake ni ya ukweli hivyi wateja watakuja tu (chema chajiuza kibaya cha jitembeza).... Ada ya mja ni vitendo siyo maneno.....

Haya chukua na hii tena... Shati bovu si mgongo wazi
 
MI NIMECHAGUA "E".
je nimepatia?

Shehe ubwabwa kahtaan.
Jitihada zako za kukataa kujibu nikwasababu unafahamu kuruani haija kamilika. Na mfano mkubwa ni mutah(kuchukuwa malaya) ndio ilikuwa tabia ya waislamu wakati wa muhamad. Na hakuna maali kwenye kuruani muhammad amekataza hiyo tabia. Ila nyie sunni mnajifanya ni haramu kwa kutumia hadith. Nido maana nasema kuruani haija kamilika
 
Let me make this very clear! MIMI SIWEZI KUWA NA UNDUGU NA KAFIRI!! ABADDAN.
Na hii sio kashfa! Bali ni kanuni ya maisha ambayo NIMEAHIDI KUIFUATA!

Mimi nasema MUNGU MMOJA!
Wewe na wenzako mnasema miungu WATATU!!
SASA HUO UNDUGU UTATOKA WAPI??
MANAKE KWENYE DAMU HAUMO! NA KWENYE IMANI HAUMO VILEVILE!

Mi sio mnafiki kama nyerere! Anatuita NDUGU WATANZANIA! HALAFU ANADHULUMU MALI ZA WAZEE WA WATU.
Mi nakwambia kabisa kama ww unasema miungu wengi au mungu ni mzungu! Basi WEWE NA MIMI NA MBINGU NA ARDHI!.
Now keep off galatian.

Watu kama wewe huwaga maisha yahapahapa duniani yanawatia adabu. Siu aona wenzako syria wameamua kuhalalisha kula ngurue. Sikuombei lakini siku ukitokea ukaitaji mkristo akuchangie figo baada ya kupata kidney failure tuone kama utasema hutaki figo la mkristo kwasababu sio ndugu yako.
 
Shehe ubwabwa kahtaan.
Jitihada zako za kukataa kujibu nikwasababu unafahamu kuruani haija kamilika. Na mfano mkubwa ni mutah(kuchukuwa malaya) ndio ilikuwa tabia ya waislamu wakati wa muhamad. Na hakuna maali kwenye kuruani muhammad amekataza hiyo tabia. Ila nyie sunni mnajifanya ni haramu kwa kutumia hadith. Nido maana nasema kuruani haija kamilika

Kuruani!! Teh teh teh teh!
We sikiliza! Kama shida yako mutaa! Mbona wako wengi tu wanataka na wako tayari!
Umeshasema "nyie sunni mmeifanya haramu..."
Sasa kama sisi ni haramu. We unatutafuta wa nini!?

Mbulula wa aina yako ni bora mtu kuwa na mbuzi! Ataleta japo nusu lita ya maziwa!!
Teh teh teh teh! Kuruani my foot!!
 
Haya ni mazingaombwe?



Yaani wewe kweli ni kauzu wa kutupwa!

Duh!...sasa yale yoote niliyokuwekea,huoni yakuwa ni mazingaombwe!?...Wanajamvi "wenye akili zao" wanakusoma na watapembua wenyewe kwa kadri ya uelewa wao na mantik zao as individuals.

Kwa kifupi,wewe tangia umeingia hapa kwenye hili jamvi/mnakasha,hujaleta hoja yoyote ile ya kihistoria kama mada ilivyojionyesha,zaidi ya kuendeleza tu zile Islamophobia zako...ambazo ni old tunes,tumeshazisikia saana na ni utumbo mtupu tu!

Ahsanta.
 
Watu kama wewe huwaga maisha yahapahapa duniani yanawatia adabu. Siu aona wenzako syria wameamua kuhalalisha kula ngurue. Sikuombei lakini siku ukitokea ukaitaji mkristo akuchangie figo baada ya kupata kidney failure tuone kama utasema hutaki figo la mkristo kwasababu sio ndugu yako.
Anichangie figo! We uliskia mimi mlevi wa damu ya bwana!
Hio figo kula wewe! Na kwenye suala la ubinaadamu mi siangalii dini ya mtu!
I am a working on health services dept!! and I am a registered blood donor!

Hapa tunaongelea IMANI INAYOSABABISHA WATU WAITANE NDUGU!
MIMI SINA UNDUGU NA GALATIANS! and thats that! Lkn nikiona anakufa njaa chakula ntampa na kama ikibidi figo ntatoa!
Huo unaitwa UTU! SIO UNDUGU!!

We kiswahili pia ni matatizo!
 
Anichangie figo! We uliskia mimi mlevi wa damu ya bwana!
Hio figo kula wewe! Na kwenye suala la ubinaadamu mi siangalii dini ya mtu!
I am a working on health services dept!! and I am a registered blood donor!

Hapa tunaongelea IMANI INAYOSABABISHA WATU WAITANE NDUGU!
MIMI SINA UNDUGU NA GALATIANS! and thats that! Lkn nikiona anakufa njaa chakula ntampa na kama ikibidi figo ntatoa!
Huo unaitwa UTU! SIO UNDUGU!!

We kiswahili pia ni matatizo!

swahiba daktuur kahtaan nakusoma kwa umakini mkubwa
 
Yaani wewe kweli ni kauzu wa kutupwa!

Duh!...sasa yale yoote niliyokuwekea,huoni yakuwa ni mazingaombwe!?...Wanajamvi "wenye akili zao" wanakusoma na watapembua wenyewe kwa kadri ya uelewa wao na mantik zao as individuals.

Kwa kifupi,wewe tangia umeingia hapa kwenye hili jamvi/mnakasha,hujaleta hoja yoyote ile ya kihistoria kama mada ilivyojionyesha,zaidi ya kuendeleza tu zile Islamophobia zako...ambazo ni old tunes,tumeshazisikia saana na ni utumbo mtupu tu!

Ahsanta.

hata mimi nashangaa naona umemuwekea mambo mazito kule lakini anajifanya hayaoni.
 
Mbona waislamu wanahangaika hivi kuonyesha potential yao ktk harakati za uhuru wetu??? Ninachojua mimi kazi/jitihada za mtu au watu zinaonekana bila hata kutumia nguvu kama hizi... Wahenga walinena "chema cha jiuza kibaya chajitembeza"

Ndio maana mkaamua kuchoma makanisa yenu ili mpate attention sio??
Mnfnsssssssss!
Galatians ni nuksi sana.
 
Hawa waislamu huwa hawanaga hata kueleweka nini. Kila kitu akisema mwislam wanakishikia bango. Sijui hii dini ni nini tu jamani.

We ndo umeandika nini apa?

We unayo dini unayoiamini? Jee dini yako ni nini?
 
Shariff Ritz,
Ni kweli kwenye kona ya Kipata Street (sasa Kleist Sykes Street) na New Street (sasa Lumumba Street)
ilikuwa nyumba ya mama yake Abdu Sykes Bi. Mluguru biti Mussa.

Nyumba hii Kleist Sykes alimjengea mkewe Bi Mluguru.

Wakati wa harakati za kudai uhuru Bi. Mluguru alikuwa anaweza akakaa pale nje katika baraza yake na
kufuatilia mikutano ya TANU chini ya kuvuli cha nyumba yake bila bughdha yoyote.

Baada ya uhuru kupatikana siku moja Nyerere akiwa Government House (sasa Ikuku) akampigia simu
Abbas Sykes wakati ule Mkuu wa Mkoa ofisi yake iko Ilala Boma akamwambia, ''Abbas mwambie mama
serikali inamuomba aiuzie nyumba yake ya Kipata na Lumumba na sisi tutampa fedha zozote atakazotaka.''

Alipoelezwa habari zile Bi. Mluguru akajibu akasema, ''Huyu ni rafiki yenu mimi siwezi kumkatalia.''

Kwa hakika Bi. Mluguru akalipwa fedha alizosema na nyumba ile ikachukuliwa na Serikai na pale pakajengwa
Cooperative Building.

Nikiwa mtoto mdogo labda wa miaka 12 tulikuwa tukipanda ngazi za jumba lile zile za nje hadi juu kabisa.
Kwa wakati ule lile ndilo lilikuwa moja ya majumba marefu Dar es Salaam.

Shariff Ritz,
Kwa kweli sijui kwa nini umeniuliza swali hili.
Nini kimejificha nyuma yake?

Unataka kujua ukaribu wa Nyerere na bibi yetu au kitu gani?
Maswali haya yananikumbusha mbali sana.

Wakati naandika radio yangu katika mtandao Sophisticated Easy Sound kutoka Washington inapiga nyimbo
moja ''Twilight Time.''

Hii nyimbo ilipgwa na Platters ni nyimbo tukizisikia wazee wetu wakizipiga katika gramophone.

Hii ilikuwa 1957.

Umenipeleka mbali sana.


Shukran sana Moh Said,

Tunazid kufyonza ilmu...
 
Uislamu haujanyooka mkuu... Kuna doughts nyingi sana ktk hiyo dini... Tatizo ni mafundisho yake hayapatani na akili kwa mfano kuuwa mijusi... Kuoa wanawake wengi... Kuua non- muslims... Kutumia hadithi za mtume badala ya neno lenyewe takatifu... Uislam na misimamo yake kuhusu majini.... Kung'ang'ana sana na kiarabu wakati duniani kuna lugha nyingi... To me mambo haya yananipa mkanganyiko sana kuukubali uislamu.

Ni kweli ktk ukristo pia kuna mambo mengi ya ajabu ambayo sometimes mimi binafsi yananishangaza pia ila naona mlengo wenu nyinyi uko kinyume sana na utu na hisia za Mungu mwenye upendo... Mimi binafsi bila hata kuihusisha dini naamini MUNGU ANATUPENDA SANA BINADAMU... Na kwa mantiki hiyo basi Mungu anaupendo wa hali ya juu sana.. Sasa wazo hilo nikilipeleka ktk uislamu halipatani nao... Yaani yanayotendeka na kuaminika ktk UISLAMU ni kwamba MUNGU ANATISHA NA NIMKATILI HAILEZEKI...

Kwa hayo machache nasema uislam unakasoro

Jitahidi kukaa na wanazuoni wa kiislawu sikumoja utakuja pata mwanga na kujua kuwa islamu hauna sehemu yenye dout hatamoja.
 
Uislamu haujanyooka mkuu... Kuna doughts nyingi sana ktk hiyo dini... Tatizo ni mafundisho yake hayapatani na akili kwa mfano kuuwa mijusi... Kuoa wanawake wengi... Kuua non- muslims... Kutumia hadithi za mtume badala ya neno lenyewe takatifu... Uislam na misimamo yake kuhusu majini.... Kung'ang'ana sana na kiarabu wakati duniani kuna lugha nyingi... To me mambo haya yananipa mkanganyiko sana kuukubali uislamu.

Ni kweli ktk ukristo pia kuna mambo mengi ya ajabu ambayo sometimes mimi binafsi yananishangaza pia ila naona mlengo wenu nyinyi uko kinyume sana na utu na hisia za Mungu mwenye upendo... Mimi binafsi bila hata kuihusisha dini naamini MUNGU ANATUPENDA SANA BINADAMU... Na kwa mantiki hiyo basi Mungu anaupendo wa hali ya juu sana.. Sasa wazo hilo nikilipeleka ktk uislamu halipatani nao... Yaani yanayotendeka na kuaminika ktk UISLAMU ni kwamba MUNGU ANATISHA NA NIMKATILI HAILEZEKI...

Kwa hayo machache nasema uislam unakasoro

Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!
SASA TUMUULIZE SISTER King'asti JE ATAIKUBALI HII SHERIA?? AU KAMA VIPI AOLEWE NA MUISLAM TU!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.
 
Last edited by a moderator:
Kijana Tatizo lako elimu!
Kama hujausoma uislamu huwezi kuuelewa! Na sio lzm uende shule kuubwa kufahamu basic concept ya uislamu.
Hayo mambo ya mijusi sijui kupenda kiarabu na mengineyo uliyosema hayahusiani hata kidogo na UISLAM HALISI.
Na inavyoonekana UKRISTO PIA HUUJUI!
We hushangai ni kwanini biblia kila siku inaregebishwa na kufutwa au kuongezwa sheria?
Tuangalie mfano wa ULAJI WA NGURUWE!!

Biblia ya ASILI inasema

" Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
(Mambo ya Walawi 11.7-8)

Kwa hiyo naliwaambia wana wa Israeli, Msile damu ya mnyama wa aina yo yote; kwa kuwa uhai wa wanyama wote ni katika hiyo damu yake; atakayeila awaye yote atakatiliwa mbali. Tena kila mtu atakeykula nyamafu, au nyama aliyeraruliwa na wanyama, kama ni mzalia, kama ni mgeni, atafua nguo zake, na kuoga majini, naye atakuwa najisi hata jioni; ndipo atakapokuwa safi.(Walawi 17.14-15)

Halafu angalia KITABU HICHOHICHO KILIVYO CHAKACHULIWA!

PAULO ANASEMA;-

Msikieni:Kila kitu kiuzwacho sokoni kuleni, bila kuuliza-uliza, kwa ajili ya dhamiri; maana Dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.
.(1 Wakorintho 10.25-26)

Hapa ukiuliza kwa nini kitabu kimoja KINA SHERIA MBILI TOFAUTI.
YA KWANZA ASEME MUNGU!
YA PILI ASEME PAULO.

Halafu wakristo woote WAMEAMUA KUMFUATA PAULO NA KUMPUUZA MUNGU??
Unajibiwa kuwa hio ya MUNGU NI YA ZAMANI! Na hio ya PAULO NDIO YA SASA!!

MFANO WA PILI;- ULIBERALI

Biblia ya ASILI INASEMA:-

Mambo ya walawi 20:13
-"Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.

ANDIKO HILO HILO LINASEMA'

""Usimuhukumu mtu maana na wewe usije Hukumiwa!"

NA WIKI KAMA 3 ZILIZOPITA YULE POPE kiongozi wa wakatoliki ametangaza rasmi kuwa WALIBERALI HAWAFAI KUHUKUMIWA NA YEYE HANA MATATIZO YYT NAO!!

Na MALKIA WA UINGEREZA AMBAE NDIO MUWAKILISHI WA KANISA AMETIA SAINI SHERIA YA WALIBERALI KUOANA MAKANISANI NA SEHEMU YYT NA NDOA YAO IKUBALIKE KI SHERIA.

SASA UNAONA WAZI KABISA KUWA BIBLIA IMECHAKACHULIWA KUSUDI ILI IONEKANE INA UPENDO ZAIDI. lkn ukweli ni kuwa BIBLIA INA SHERIA ZA KIKATILI KULIKO QURAAN.

Na hapa chini NAKUWEKEA SHERIA ZA KIKATILI KABISA AMBAZO ZIMO NDANI YA BIBLIA LKN KWENYE QURAAN HAKUNA.!!!

Kill Witches-(WACHAWI WAUWAWE)

-You should not let a sorceress live.--(Exodus 22:17 )

Kill Fortunetellers---(WAPIGA RAMLI WAUWAWE)

-A man or a woman who acts as a medium or fortuneteller shall be put to death by stoning; they have no one but themselves to blame for their death.- (Leviticus 20:27 NAB)

-Death for Hitting Dad-(AMPIGAE BABA YAKE MZAZI AUWAWE)!

-Whoever strikes his father or mother shall be put to death.--(Exodus 21:15 NAB)

-Death for Cursing Parents---(MWENYE KUWALAANI WAZAZI WAKE AUWAWE)

-1)-If one curses his father or mother, his lamp will go out at the coming of darkness.--(Proverbs 20:20 NAB)--

- 2)-All who curse their father or mother must be put to death.- They are guilty of a capital offense.- (Leviticus 20:9 NLT)

Death for Fornication--(MZINIFU AUWAWE)

A priest's daughter who loses her honor by committing fornication and thereby dishonors her father also, shall be burned to death.- (Leviticus 21:9 NAB)-

HII HAPA NI SHERIA YA KUUA KILA ASIE KUWA MKRISTO!!

Death to Followers of Other Religions--

Whoever sacrifices to any god, except the Lord alone, shall be doomed.--(Exodus 22:19 NAB)-

Kill Nonbelievers---

Hii inasema kina Kiranga na Ibambasi na wapagani wasio amini mungu yyt LAZIMA WAUWAWE.

-They entered into a covenant to seek the Lord, the God of their fathers, with all their heart and soul; and everyone who would not seek the Lord, the God of Israel, was to be put to death, whether small or great, whether man or woman.- (2 Chronicles 15:12-13 NAB)-


HII HAPA WEWE PAMOJA NA Nyakageni NA 2013 NA Mlaleo NA Eiyer HAWA WOTE WALITAKIWA WAFE! Ni MANABII WA UONGO!

Kill False Prophets----

If a man still prophesies, his parents, father and mother, shall say to him, "You shall not live, because you have spoken a lie in the name of the Lord."- When he prophesies, his parents, father and mother, shall thrust him through.--(Zechariah 13:3 NAB)-


HII HAPA ITABIDI MUUE WATU WA MIKOA YOTE HUKO TZ KWA SABABU KUNA DINI NYINGINE KAMA ZA KIHINDU WANAZO ABUDU MIUNGU WENGINE!!

Kill the Entire Town if One Person Worships Another God--

--Suppose you hear in one of the towns the LORD your God is giving you that some worthless rabble among you have led their fellow citizens astray by encouraging them to worship foreign gods.- In such cases, you must examine the facts carefully.- If you find it is true and can prove that such a detestable act has occurred among you, you must attack that town and completely destroy all its inhabitants, as well as all the livestock.- Then you must pile all the plunder in the middle of the street and burn it.- Put the entire town to the torch as a burnt offering to the LORD your God.- That town must remain a ruin forever; it may never be rebuilt.- Keep none of the plunder that has been set apart for destruction.- Then the LORD will turn from his fierce anger and be merciful to you.- He will have compassion on you and make you a great nation, just as he solemnly promised your ancestors.- "The LORD your God will be merciful only if you obey him and keep all the commands I am giving you today, doing what is pleasing to him."- (Deuteronomy 13:13-19 NLT)-

HII INASEMA KILA ALIEOA AKAKUTA MKEWE SIO BIKRA BASI LZM AMUUE!!

Kill Women Who Are Not Virgins On Their Wedding Night---

-But if this charge is true-(that she wasn't a virgin on her wedding night), and evidence of the girls virginity is not found, they shall bring the girl to the entrance of her fathers house and there her townsman shall stone her to death, because she committed a crime against Israel by her unchasteness in her father's house.- Thus shall you purge the evil from your midst.-
(Deuteronomy- 22:20-21 NAB)


SASA Mgibeon nimekutajia sheria nyingi tu hapo ambazo ZIMO KWENYE BIBLIA LKN HAKUNA HATTA MOJA YA NAMNA HIZO NDANI YA QURAAN YA WAISLAMU.

Sasa kusema kwako kuwa"" MUNGU WA BIBLIA ANA UPENDO WA HALI YA JUU SANA"" ni UONGO ULIO WAZI KABISA!

NA KAMA UKIUSOMA UISLAMU BASI LZM USKIE RAHA TU!
JARIBU UINE MWENYEWE! WACHA KUSKILIZA MANENO YA MITAANI NA KWENYE TV NA RADIO.!!

Sasa TAZAMA WAGALATIA WATAKAVYO KUJA HAPA! NA YALE MANENO YAO YA KIPAROKO!
ohhh hizo sheria za wayahudi! Ohh hizo zimepitwa na wakati! Ohh Yesu kafundisha upendo!!
HAPO JUU UMEONA KUNA DALILI YOTE YA KUPENDANA??

Ahsanta.


<Prev Next>
 
Last edited by a moderator:
aiseee, duuh! Muumba wenu kiboko.
Mimi huwa sibishanii imani yangu. As long as imani yako inakusaidia, na inakuwezesha kuishi na viumbe vingine kwa amani hata kama unawaona wanyama basi dini yako inakufaa mwenyewe. yangu inanifaa sana na that is not for discussion.

Wewe ndio mfano mzuri wa BAD GALATIAN!
Andiko lina kwambia!

Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake-kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35).

-Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)

SASA UMEONA KAMA NA WEWE NUKSI eee!
 
Back
Top Bottom