Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

Mtauwa Wazanzibari wangapi kuulinda huo muungano? Kwa nini hamtaki kuungana na ndugu zenu wa Burundi au Wamakonde wenzenu wa Msumbiji mnang'ang'ania Zanzibar tuu? Zanzibar imewashinda, umaskini umeongezeka tangu mfanye uvamizi. Sasa faida ya huo muungano ni nini?
Mtauwa Wazanzibari wangapi kuulinda huo muungano? Kwa nini hamtaki kuungana na ndugu zenu wa Burundi au Wamakonde wenzenu wa Msumbiji mnang'ang'ania Zanzibar tuu? Zanzibar imewashinda, umaskini umeongezeka tangu mfanye uvamizi. Sasa faida ya huo muungano ni nini?
Kama hampendi asilimia 100 huo muungano kwanini msijitoe sasa kama mnaweza, mnachofanya ni kuleta fujo na chuki kwa watu wa upande wa pili ambao hawana makosa. Kama kulikuwa na makosa ni yenu kwanini mlikubali ninyi, si mlivue hilo koti linalowabana?
 
Kama hampendi asilimia 100 huo muungano kwanini msijitoe sasa kama mnaweza, mnachofanya ni kuleta fujo na chuki kwa watu wa upande wa pili ambao hawana makosa. Kama kulikuwa na makosa ni yenu kwanini mlikubali ninyi, si mlivue hilo koti linalowabana?

Ondoeni majeshi yenu ya uvamizi kwanza. Aliyekubali huo uvamizi ni Mnyasa Karume, siyo Wazanzibari. Ndiyo maana mpaka leo mnatumia nguvu ya dola kuulinda huo uvamizi.
 
Ondoeni majeshi yenu ya uvamizi kwanza. Aliyekubali huo uvamizi ni Mnyasa Karume, siyo Wazanzibari. Ndiyo maana mpaka leo mnatumia nguvu ya dola kuulinda huo uvamizi.
Tatizo ni kwamba ninyi hamuelewi mnachoongea muda wote, hayo majeshi yapo kwa mujibu wa sheria. Hivi mnafikiri ule muungano wa 1964 ulikuwa ni mchezo wa bao. Ni sawa sawa na kusema kuwa polisi waondoke mitaani ili wahuni kama wewe na wenzako mkaibe. Sijui mtaelewa lini, lakini siwalaumu sana, uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana. Kwani huyo Karume alikuwaje rais wakati ni Mnyasa? Kweli wewe huna ubongo, mpo hivyo hivyo, hambadiliki na wala uwezo wenu wa kufikiri haukui.
 
Tatizo ni kwamba ninyi hamuelewi mnachoongea muda wote, hayo majeshi yapo kwa mujibu wa sheria. Hivi mnafikiri ule muungano wa 1964 ulikuwa ni mchezo wa bao. Ni sawa sawa na kusema kuwa polisi waondoke mitaani ili wahuni kama wewe na wenzako mkaibe. Sijui mtaelewa lini, lakini siwalaumu sana, uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana.

Muungano gani huo wa kulazamishana na kumwaga damu za watu? Huo ni uvamizi wa nchi moja kukalia nchi nyingine. Tena ni ukoloni kabisa.
 
Hofu ya muungano ni mkataba kati ya sultan na mjeruman kua sultan achukue eneo la km kum kuja tanganyika kutoka katika pwan ya tanganyika hii ndio sababu kubwa ya kuwabembeleza wanzazibar maana wakiwa huru watataka sehem yao so bandar kurasin yote inakua yao ndio maana wamalaw wanataka ziwa lao maana mpaka ni ukingo wa ziwa malawi upande wa tz ila wananch waruhusiwe kuvua na kusafir
 
Mkuu field marshall1 , it's good ungeleta links, tukamsikia na sio hii hearsay uliyoleta. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Kuna ukweli kwenye hili, biashara ya utumwa ilikuwa na stages 3.
1. Wakamata watumwa, hawa hawakuwa Waarabu, hawa walikuwa wenyeji na machifu wetu, waliwakamata watu, miongoni mwao wahalifu na mateka, na kuwauzia Waarabu akina Tippu Tip ambao hao waliwanunua watumwa toka kwa wenyeji na kuwasafirisha mpaka soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko Kuu la Zanzibar.
2. Wachuuzi wa watumwa, hawa ndio Waarabu, waliwanunua Watumwa kwa wenyeji na kuwasafirisha hadi soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko kuu la Zanzibar.
3. Wanunuzi wakubwa wa watumwa, hawa pia sio Waarabu, ni Wahindi, Waarabu na Wazungu, waliokuja soko la Zanzibar na meli kubwa, kuwanunua watumwa na kwenda kuwauza masoko ya Europe, India na Arabia.

Hii sii kweli, Wenyeji halisi wa asili wa Zanzibar ni Wahadimu ambao asili yao ni huku bara, kiongozi wao aliitwa Mwinyi Mkuu. Wareno walivamia Zanzibar, hivyo Mwinyimkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kuwapiga Wareno, baada ya kuwashinda Wareno, ndipo mwaka 1732 Sultan Seyyid Said, akahamishia makao makuu ya Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kuvitwaa visiwa hivyo as if wameviokota, sijui walimfanya nini Mwinyimkuu, ila mwaka 1964 wajukuu wa Mwinyimkuu walilipiza kisasi na kuvirejesha visiwa hivyo kwa wenyewe kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

It's true, huwezi kutenganisha Zanzibar na Uislamu kwasababu ya Waarabu, baada ya Sultanate ya Oman kuhamia Zanzibar, Zanzibar iliyokuwa ni Islamic nation. Ni muungano wetu ndio umeifanya Zanzibar kuwa a secular state.

It's very true kuna watu wetu wakaichangamkia biashara hii akiwemo Tippu Tip, Baba Mwarabu na mama Mnyamwezi.QAaa

Anza na kutuletea huo ushahidi humu, tuna wataalamu wa kutosha wa ku ascertain criminal liabilities, tutashauri, na tuliwahi kushauri humu, kama tuhuma zozote zenye criminal liabilities, ukileta tuhuma humu lazima ulete ushahidi, ukileta tuhuma humu bila ushahidi, usitaje majina na kuchafua watu bure bila ushahidi. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho
P
Hiyo attachment ni moja tu.....isikilize natafuta nyingine inayo contents zote nilizotaja. Nitaendelea kuchambua moja hadi nyingine.
 
Ninao ushahidi, mbona kila analosema kipo dhahiri, mnadhani anaogopa huyo. Angalia mahojiano yake akichambua kitabu cha Thabiti Kombo Jecha. Labda waifute leo, lakini ipo na amesema na hana wasiwasi ila ukimwangalia macho yake utaona ana kaibu fulani. Nenda youtube na uende kwenye uchambuzi wa vitabu wa Ismael Jussa. acheni uvivu...kila jambo limeanikwa wazi.
Niwekee link mkuu
 
Tatizo ni kwamba ninyi hamuelewi mnachoongea muda wote, hayo majeshi yapo kwa mujibu wa sheria. Hivi mnafikiri ule muungano wa 1964 ulikuwa ni mchezo wa bao. Ni sawa sawa na kusema kuwa polisi waondoke mitaani ili wahuni kama wewe na wenzako mkaibe. Sijui mtaelewa lini, lakini siwalaumu sana, uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana. Kwani huyo Karume alikuwaje rais wakati ni Mnyasa? Kweli wewe huna ubongo, mpo hivyo hivyo, hambadiliki na wala uwezo wenu wa kufikiri haukui.
Sasa kama kuna malalamiko kwa nini isiandaliwe kura ya maoni kuhusu huo muungano kama wakiukataa wengi uvunjwe
 
u
Nimewahi kusikiliza online TV inaitwa Zanzibar Kamili, kuna mahojiano ya huyo anayeitwa Ismael Jussa ( Nadhani nimetaja jina lake la pili vizuri), huyo Jussa wakati akifanya uchambuzi wa vitabu, kuna sehamu amesema kuwa Nyerere alikuwa anawakandamiza viongozi wa ZNZ kuanzia wakati wa vuguvugu la Jumbe, Salmin Amour, na wengine, halafu akarejea kuwa pia alihusika wakati wa mapinduzi na wakati wa mauaji ya Karume.

Ninavyoelewa Karume aliuawa na Kanali Humudi na sababu wanazijua fika, kusema Nyerere kahusika ili aendelee kuinyonya ZNZ inahitaji ushahidi ambao kimsingi huyo Jussa na hiyo TV Kamili ya ZNZ wanapaswa kuuleta.

Kuna mengi yanaongewa ambayo yametiwa chumvi na hilo kundi la Jussa na wenzake akiwemo yule anayeitwa OMO, badala ya kufanya kazi ya kuijenga nchi ya Zinjibari anazunguka huko na huko kuichafua Serikali na Rais wa ZNZ.

Kuna kipindi kimoja Jussa alikaririwa akisema kuwa Waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa, akawatupia lawama wananchi Waafrika weusi, aka-justify kuwa Zanzibar ilikaliwa kwanza na Waarabu....yaani ndiyo first people. Wengine wote, yaani Waafrika weusi walikuja kutoka Bara na kuwa huwezi kutenganisha ZNZ na Uislaam, yaani Serikali na dini ni kitu kimoja....Ni ya kweli hayo?

Eti kuna mtu mweusi alikuwa akimiliki watumwa ndiyo moja ya justification kwamba kila mtu alihusika na biashara ya utumwa, lakini akikataa kuwa waarabu siyo wahusika...atuthibitishie hayo.

Lingine alisema kuwa Waingereza walishindwa kwenye vita vya SUEZ CANAL na misri ndiyo maana walikuwa na hasira na ZNZ, Wakati kila mtu anajua kuwa Egypt ilipigwa na mfereji ukafunguliwa kwa meli zote zipite hapo hadi leo hakuna anayethubutu kuufunga tena....Hata hajui hiyo ilikuwa ile vita iliyoitwa " Six day war" au Yom Kippur. Kwanini anatudanganya?

Kuna mengi ambayo anahitaji kuthibitisha....mpelekeni polisi akathibitishe, ila safari hii msimvunje miguu tena.
Kwanini mnaruhusu non-credible sources of information katika nchi hii iendelee kueneza uongo wa mtu mmoja au wawili wajinga
uhuru umepitiliza hasa a wazanzibari. nilimsikia hata fatma karume jana anasema Samia ni rais wa kwanza toka zanzibar, mwinyi sio Mzanzibar ni wa mkuranga. nilishangaa kwelikweli. akasahau kuwa babu yake alizaliwa malawi na alikuwa mmalawi. leo hii anajiona mzawa kuliko hata wazawa halisi.
 
Muungano gani huo wa kulazamishana na kumwaga damu za watu? Huo ni uvamizi wa nchi moja kukalia nchi nyingine. Tena ni ukoloni kabisa.
Yes inawezekana ni ukoloni kama unavyofikiri, nyiye mmeshadanganywa sana na Maalim Seif, Jussa na huyo domo mwingine OMO kuwa tunapata mamlaka kamili...Angalieni articles za muungano ulikuwa ukisema nini? Muungano siyo ndoa kama za huko kwenu unataliki asubuhi jioni una mke mwingine., Muungano unaangalia maslahi mapana ya walioungana. Huwezi kuamka asubuhi na kuanza kupiga makelele misikitini kuwa tunataka Zanzibar kamili, mbona hao wanaowaambia hawawezi kuwapa mamlaka kamili? Ndio maana nasema shule kwenu ni tatizo, mna midomo tu lakini vichwani mpo bwerere...hamna kitu, maboga tu.
Kuna makubaliano yaliyofanyika mwaka 1964, na anayevunja anatakiwa awe upande wa hasara....Ndiyo maana ya "binding agreement" Najua articles za muungano, lakini mpo tayari kupoteza kama articles za muungano zinavyosema? Ndiyo maana nakuelewesha kuwa usidhani muungano ni kama wanawake mnaowaoa huko wa kuwaacha asubuhi na kuoa tena jioni, hapa unaongelea maslahi ya nchi ambayo kwanza kujaribu kuyapinga ni kosa kubwa. HIYO NI TREASON, na unajua adhabu za treason case ni nini?
Mmedanganywa na mnaendelea kudanganywa na huyo OMO, Jussa na marehemu Maalim. Angalia historia ya nchi au sehemu zilizotaka kujitenga, mfano Marekani hadi kusababisha Civil war (Southerners walitaka kujitenga kupinga biashara ya utumwa kusitishwa).

Hao wanaowadanganya, hawawasaidii, masharti ya kuvunja miungano ni migumu, imefanyika kila mahali lakini imeshindwa.....Kuanzia USA, UK, Spain nk. Hivi ukiambiwa kuwa ili kuvunja muungano kunatakiwa kuwa na kura ya maoni ya asilimia 99.9...mtaipata hiyo? Ebu nenda kalale wewe, uamke kesho asubuhi ukatafute kazi...angalau itakusaidia kuliko kuwa na "wishful thinking".
 
Hofu ya muungano ni mkataba kati ya sultan na mjeruman kua sultan achukue eneo la km kum kuja tanganyika kutoka katika pwan ya tanganyika hii ndio sababu kubwa ya kuwabembeleza wanzazibar maana wakiwa huru watataka sehem yao so bandar kurasin yote inakua yao ndio maana wamalaw wanataka ziwa lao maana mpaka ni ukingo wa ziwa malawi upande wa tz ila wananch waruhusiwe kuvua na kusafir
Elimu yenu bado ndogo sana, Sultani yaani achukue eneo letu kwa mkataba gani? Kumbe ndivyo mnavyodanganywa...Duuh kweli bado mpo nyuma sana. Sultani wa wapi wewe Samaki wa urembo? Halafu kuhusu ziwa Nyasa kwa taarifa yako ile mipaka ilikuwa ikifahamika na pia kuna taratibu za mipaka kwenye sehemu za maji (waterbodies) aidha ziwa na mito, sheria inasema inakatisha maji si lazima ziwe kati kwa kati inaweza kuwa sehemu ndogo ya ziwa. Kwa taarifa yako sehemu yetu ya ziwa Nyasa meli za hao unaowasema huwa hazikanyagi hapo. Na miji ya Mbamba bay ipo ziwani na mingineo. Kwa hiyo jipe moyo na endelea kusikiliza uongo.
 
Sasa kama kuna malalamiko kwa nini isiandaliwe kura ya maoni kuhusu huo muungano kama wakiukataa wengi uvunjwe
Inategemeana kama upande huu mwingine utakubali, kitu ambacho ni ndoto. Hata huko wanakopiga kelele, wakiweza sana ni asilimia 55, kama kura ya maoni ya kutaka kujitenga ni asilimia 95, mtaifikia hiyo kaka? Siyo rahisi kama kutaliki mke huko uswahilini.
 
u

uhuru umepitiliza hasa a wazanzibari. nilimsikia hata fatma karume jana anasema Samia ni rais wa kwanza toka zanzibar, mwinyi sio Mzanzibar ni wa mkuranga. nilishangaa kwelikweli. akasahau kuwa babu yake alizaliwa malawi na alikuwa mmalawi. leo hii anajiona mzawa kuliko hata wazawa halisi.
Ndiyo maana nasema hawa watu kuna vitu kwenye vichwa vyao ambavyo havipo sahihi. Ni wabaguzi mno, uelewa mdogo, wana mentality za kitumwa yaani hawafundishiki. Yaani kweli kuna mzanzibari kumshinda mzee Mwinyi, wengi wanaomsema hawakuzaliwa kabla ya mzee Mwinyi....Uelewa mdogo sana. Hiyo ndiyo elimu inayotolewa na maimamu mimbarini....hao wabakaji masheikh uchwara.
 
Back
Top Bottom