Israel haikushindwa kwenye ujasusi

Ujinga wa kiwango cha lami kama wamefanya huvyo ubajuza gharma ya hii vita kwa Israeli kama unajua ,mpaka sasa ni waizraeli wwngapi wamehama nchi ,mfumuko wa bidhaa muhimu maana ametangaza kabisa yupo vitani amna mgeni atakayeend huko
 
Ni mahaba au mahbuuba. ,unajua athari za vita kwa nchi inayopenda neeema kama Israeli, unajua gharma za kurusha yale makombora.
 


Haya mwana Israel
 
We are on the same page. Hii Intel failure in part of Israel si kweli.
 
Una elimu Gani mkuu

Una justify ujinga ulionao ...... Israel haiwezi sacrifice raia wake 700 Kwa ujinga
Elimu yangu iache. Shughulika na hoja. Elimu siijui lakini nina uhakika ni ndogo kuliko ya kwangu. You can take that to Equity Bank
 
hata akili za kuvukia barabara huna.
kuwaangamiza Hamas ni mpaka utoe kafara askari na raia wako?,huo sio ujasusi utakua ni ujinga!.
Kwani HAMAS ni mbuzi?
HAMAS ni watu kama walivyo Israel sasa ili uwaangamize na kupora ardhi yao yote lazima uwe na sababu nzito hasa, Israel asingeweza kuamka asubuhi na kuivamia tu Palestina na kuanza kupora maeneo huku akiwaambia watu wahame Gaza bila sababu ya kushiba.
Sasa sababu ndo hiyo,unakataa nini mkuu?
 
Kitu VPN .....unadhani TCRA kutoa tishio lao la 5,000,000/- au ndani 12 months wamekurupuka la hasha, wametonywa!
 
in espionage world anything is possible... even presidents can get assassinated kama JFK kwajili ya maslahi ya nchi au taasisi
 
Una elimu Gani mkuu

Una justify ujinga ulionao ...... Israel haiwezi sacrifice raia wake 700 Kwa ujinga
Raia wanatolewaga kafara huwa ni kitu cha kawaida Sana kwenye warefare , unakimbuka pearl harbor surprise attack ?? Marekani alikua na msuguano na mjapan wa mda mrefu Ila alikosekana wa kuanza , mjapani akapanga shambulizi la kushitukiza Marekani akaliacha liende hvyo ili ipatikane sababu ya kuzichapa , sku mjapan anashambulia hakukuwa na Aircraft carrier yoyote maeneo Yale , ( aircraft carrier ndo zilikuwa nguzo mhimu Kwa Pacific war ) zaidi ya wamarekani 2500 waliuawa , Kwenye vita kutolewa kafara baadhi ni normal sana
 
Wakuu wa vitengo vya Jeshi na Ujasusi walikamatwa kama MATEKA na watu wa HAMAS.
 
Over-rated israhell ilipigwa tukio la hatar halikuwahi tegemea

Israhell wakiamua lao wale wauaji hua hawatafuti sababu hua wanaingia tu na kuua halaf wanaondoka

Kule west bank wanapoua nakuteka watu napo wamewafanya nini

Over-rated israhell ilikua inaonekana kama nini kumbe yakawaida sanaaaaaaaa sanaaaaaaaa sanaaaaaaaa
 
Duuuh [emoji1787][emoji3][emoji1787]

Mchafuzi uchwara
 
[emoji81][emoji81][emoji81]hili li nchi linawapa sana tabu kuli tetea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…