Israel haipigani tena na Hamas.Inaua watu kinyama.Dunia isimame kabla janga kuliko corona halijatokea.Tanzania kwa uchache iitishe maandamano kulaani

Ni wewe tena? Umechanganyikiwa
 
Acha maneno ya kimbea hayo.Umeambiwa Hamas wameyeyuka na hawajapatikana.Kama ni furaha wameshaondoka nayo.Sasa hatutaki vilio vya watoto.
muizrael mmoja akifa wanakufa wapalestina 100 mbona huelewi. wakifika wapalestina 15000 basi vita hakuna tena mbona ni mahesabu ya kawaida
 
Acha maneno ya kimbea hayo.Umeambiwa Hamas wameyeyuka na hawajapatikana.Kama ni furaha wameshaondoka nayo.Sasa hatutaki vilio vya watoto.
Watoto wanakufa kimaigizo Israel hakuna wajinga wa kudanganywa.. tulia Dawa ikuingie si mmefurahia kifo cha mtanzania pia nyie magaidi.. Vita ikisimama inamaana Israel imekubali kumalizwa... Karibu Gaza yote ilifurahia vifo vya Waisrael so wote wale ni magaidi alafu wamevua magwanda wote so wakiuliwa ni raia wanalia wakiuwa wao wanajisifu Al jazeera anawaponza sana... kawaponza hadi Al Shifa Israel kawafurumusha wote Hospitalini wakatafute habari mitaani walengwe nao pia karma
 
Nenda huko
Acha maneno ya kimbea hayo.Umeambiwa Hamas wameyeyuka na hawajapatikana.Kama ni furaha wameshaondoka nayo.Sasa hatutaki vilio vya watoto.
Palestina kawazuie waisrael hapa unapiga kelele zisizosaidia chochote
 
Tudai fidia za 100 mil dolla wanafamilia wagawane na nyengine ziingie mfuko wa maafa.Israel inapaswa kutulipa kwa sababu wao ndio walimuweka maeneo hatarishi wakijua wana vita na wapalesina daima.
Hamas ndio waliomteka na kusasabisha kifo chake ila lawama kwa Israeli?!
Hiyo chuki mliyopandikizwa huko madrasa sio ya kawaida
 
Dozi iendelee mpaka magaidi yateme bungo. Wametuulia Mtanzania mwenzetu kijana msomi, aliekua katika harakati za kujifunza kilimo cha kisasa kabisa kutoka Israeli..
 
Usiwapangie mayahudi cha kufanya.Wao ndio waasisi wa kanuni ya an eye for ana eye.Wacha kutu ile chuma
 
Inaobyesha upo karibu sana na eneo la tukio.....hemu tujuze wewe upo Syria, Lebanon Egypt au Jordan? Maana unajua mambo mengi kuliko Israel wenyewe na swaiba wao US,UK, GERMAN NA FRANCE.
 
Ukitaka adui yako aumie unatakiwa uumize au uue kabisa watu wa karibu yake kama wazazi,mke,watoto nk.
 
hamas wanakimbia wanaachi waliwachagua kuwalinda
Unafahamu maana ya kujitowa mhanga? Kama huelewi ni kupigana mpaka kufa:

Your browser is not able to display this video.
 
Wewe kama binadamu unaunga mkono malengo hayo.
Ndiooo tunaunga mkono! Hamas, Hezbollah, alshabab,janja widi,Isis,boko haram and the like wafutiliwe mbali. MUNGU WETU ANAUWEZO SANA WAKUJIPAMBANIA MWENYEW BILA KUTUMIA HAYO MAGENGE YA WAHUNI WANAOWAZA MABIKIRA 72. Hayo magaidi yakijitoa muhanga huwa yanawaweka kando watoto na wajawazito pembeni wasizulike?
 
hamas wamejificha mashuleni na hospitalini. Kinachotokea ni kwamba, israel wanalnga pale magaidi walipo. Kuhusu kuyeyuka hizo ni kauli za kishamba.
 
October 7 mlifurahia kuuawa kwa wayahudi mkaita mafuriko ya al aqsa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mtasema tu na Bado !
 
Inaobyesha upo karibu sana na eneo la tukio.....hemu tujuze wewe upo Syria, Lebanon Egypt au Jordan? Maana unajua mambo mengi kuliko Israel wenyewe na swaiba wao US,UK, GERMAN NA FRANCE.
France anajuwa sana na canada na wengi wengineo na wote wameona na kuiambia Israel iache kuuwa watoto na kujpiga shule wala hawakuwataja Hamas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…