Israel hostages looks happy and healthy

Israel hostages looks happy and healthy

Mbona Jamii Kubwa ya watu wanaenda kutafuta Maisha Bora huko kwa watu wenye Roho mbaya Unayosema Mbona hawaendi kwa hao Unaowaita wana Roho Nzuri Oman,Iran,Iraq,Egypt kila Siku Tunasikia Watu Wana lia Kwa Kunyanyaswa na hao Waarabu Unaowapenda kwa mihemko Yako
Nenda mwenyewe usidanganywe na mitandao. Hizo kesi ndogo ndogo hata huku bongo zipo, ma house girls na house boys wapo wanaonyanyasika hata bongo
 
Mateka waliochwa leo kutoka kwa hamas wameonekana wakiwa kwenye afya nzuri hali inayoashiria walikua sehemu salama na walikua wakiishi vizuri, tofauti na wapalestina waliochwa kutoka jela za waisrael ukiwaona tu unajua wametoka kwenye mateso.

Huu ni mfano bora kuwa waislamu ni watu wema, na Mazayuni mungu awalaani wao ndio chanzo cha matatizo yote haya.
unaweza tamani hata utekwe tena...
 
Sasa faida Gani wamepata wapalestina wangapi wamekufa hapo
Resistance movement against colonialist na coloniasm haijalishi kiasi Gani watu watakufa, ama watateseka but lengo la resistance Kwa upande mmoja ama mwingine ni kuhakikisha Kwa sadaka ya damu mkoloni hafanikiwi kuishi Kwa amani! Pale Gaza watakufa wengi lakini hawataacha movement hizi!
Kama ni mfuatiliaji umeona jinsi ambacho licha ya vita Hamas ni wengi Wana Furaha isiyo ya kuigiza na support ya kutosha kutoka Kwa Wana Palestine.
From the land to the sea Palestine will be free
 
Mateka waliochwa leo kutoka kwa hamas wameonekana wakiwa kwenye afya nzuri hali inayoashiria walikua sehemu salama na walikua wakiishi vizuri, tofauti na wapalestina waliochwa kutoka jela za waisrael ukiwaona tu unajua wametoka kwenye mateso.

Huu ni mfano bora kuwa waislamu ni watu wema, na Mazayuni mungu awalaani wao ndio chanzo cha matatizo yote haya.
unaweza tamani hata utekwe tena...
 
Muhammad alibaka kabint ka miaka 9 usisahau
Kabla ya kumtusi mtukufu wa watu kwanza mjue alivo kwa undani wake.
Mtume Muhammad (s.a.w) ndie aliyetoa mafundisho ya kuwa "Wafanyieni wema mateka wa vita". Pia ndio yy aloweka sheria za vita ya kuwa "wanawake, watoto na wazee wasiuawe. Miti isikatwe, wanyama wasiuliwe. Vyanzo vya maji visiharibiwe." n.k.
Nakuonea huruma sana kwa hayo machafu ulotamka. Hakika unajichafua ww mwenyewe sababu hata ukiidhihaki na kuikashifu nyota iliyopo angani, bado itaendelea kung'ara tu milele daima. Jitafakari.

Mada ilyopo ni mateka wa Israel kutoka upande wa Palestine hali yao ni nzuri sana ukilinganisha na upande wa pili.
 
Wewe angalia thamani yao. Muisrael mmoja sawa na wapalestina 50! Yaani wamebadilishana waisrael 4 magaidi 200.
thamani ya mwanadamu kapewa Mola muumba wewe ata ukidharau haisaidii lolote, Israel ina wafungwa wengi sana wa kipalestina, hamas wako na waisrael wachache ndio maana walikubaliana 1 kwa 50 na kuendelea

wewe upo upo tu hufahamu lolote
 
Muhammad alibaka kabint ka miaka 9 usisahau
Ata kama huna dini au ni dini yako ni ukiristo, jaribu kuweka akiba katika nafsi yako hujui nini kitakutokea baadae, hakuna muislamu ambaye amekuja hapa na kukutukana, ni muhimu sana ulimi wako kuuchagulia maneno ya kuongea
 
Itachukia miaka 16+ kuijenga Gaza mpya.
Nothing mkuu, kwani Marekani itachukua miaka mingapi kuijenga na kuirejesha Los Angeles ilivyokua
dunia pia itakwisha itafika siku itakuwa vumbi tupu ata milima itakuwa kama pamba
 
Mind kwamba wayahudi wamezungukwa na maadui zao. Si kwamba wana fujo na hao majirani zao ila hujihami na hao maadui zao wasiacha kuwachokoza
 
Nothing mkuu, kwani Marekani itachukua miaka mingapi kuijenga na kuirejesha Los Angeles ilivyokua
dunia pia itakwisha itafika siku itakuwa vumbi tupu ata milima itakuwa kama pamba
💯, hakuna atakayeishi milele
 
Israel hostages look instead of looks.

English has rules folks.
 
Kwani uongo. Nenda kachukue katoto ka miaka tisa popote halafu uone kitakachofuata.
Kwa misingi ya kiislamu mwanamke akibalehe tu anaruhusiwa kuolewa na ndo maana iraq wamepitisha sheria ya miaka 9, tofuati na hapo uzinzi hauwezi kuisha. Bi aisha aliolewa na mtume aliwahi kubalehe na alikua ana mwili mkubwa wa kisichana ndo maana hakukuwa na tatizo.
 
Vita hivi vimajaa propaganda,Imani za hovyo za watu kulishwa matango pori,wakati huo imani hizo ni tofauti na imani za watengeneza propaganda
Tukiacha imani interm of humanity tu inaonesha mzayuni hana ubinadamu
 
HAPA.MAYAHUDI WAMEAIBIKA SANA .PROPAGANDA ZAO ZOTE KWAMBA HAMAS NI MAKATILI ZIMEFELI, KINYUME CHAKE WAFUNGWA WA KIPALESTINA WANARUDISHWA WAKIWA WAGONJWA, WALEMAVU AU WAKIWA HAWANA MARINDA , HALAFU ANATOKEA MGALATIA KUTOKA MAKAMBAKO ANAKUAMBIA ISRAEL NI TAIFA TEULE
WanaChanganya sana mafile bora waitukuze ile ardhi ya pale Israeli na ofcourse ile ardhi ni ardhi tukufu ila sio wale viumbe hawana wema hata kwao wenyewe
 
Inaaikitisha sana. Na so hivo tu, inaogopesha.
Halafu ni wazuri kwa propaganda. Ninawapa mamia ya makumi, wanaweza mchezo wa kuspini maneno/narrative.

Tuwaombee mateka wote, haijalishi kutoka upande gani, warudi kujiunga na familia zao.
Sahihi mateka hawana hatia kabisa.
 
Back
Top Bottom