Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

Israel (IDF) ni Nchi (jeshi) ambao wako Very Overhyped. Hawana Uwezo Wowote

UWEZO WAKO WA KUPAMBANUA MAMBO UNAONEKANA MDOGO, HAMAS NI WANAHARAKATI TU HAWANA JESHI KAMILI WALA HAWANA NCHI , WAMEZUNGUKWA NA ADUI PAMOJA NA VIBARAKA WAO, HAWANA JIRANI WALA WATU WA.KUWAPA MSAADA, WAPO KATIKA ENEO DOGO LA KIJIOGRAFIA AMBALO LINA FENSI KILA KONA,.HAWANA JESHI LA MAJINI WALA ANGA , LAKINI WAMEIDINDISHIA ISRAEL MPAKA IMEKUBALI MASHARTI YAO,.HUU NI USHINDI MKUBWA NA AIBU KWA ISRAEL NA MASHOGA ZAKE MAREKANI NA UENGEREZA.

HALAFU KITU CHENGINE HAMKIJUI WALE JAMAA HAWAOGOPI.KIFO KAMA MAYAHUDI NDIO MAANA WAMESHINDA KWA KISHINDO
Hakuna mahali nimesema hamas ni jeshi , punguza mkurupuko. Weka hisia pembeni weka facts and logic

Ulisema wako well organized while in reality they are not. Wao ndio wana attempt kupigana na well organized army, hawatokaa washinde

Is why nika recommed wanahitaji kujipanga zaidi

suala la hawaogopi kufa, mamalalamiko uya nini wakati IDF wanashambulia?
 
Israel kazungukwa pande zote na wapumbavu ambao lengo lao kubwa ni kuifuta kwenye ramani ya Dunia kwahiyo Iko pale kutokana na uimara wa IDF laiti wangekuwa legelege ingeshafutika zamani tu.

Kilichowasaidia Hamas ni Gaza kuwa landlocked, si mmeona Lebanon shughuli ilivyoisha mapema Kwa Hizbullah?
Kazungukwa na wapumbavu wewe mnunua udongo itakuwa ujielewi yani wazayuni wenyewe waje ktkt ya mwarabu wakae apo afu ww useme wamezungkwa akili izi kweli nchi imebeba mizigo mingi sana!!!! Waisrael ndio wapumbavu kwenda kukaaa seeem katikati ya Warabu na bado wanataka kujitanua wawanyang,anye ardhi Warabu afu ww umeshiba migebuka unakuja uwongo wako!!!
 
Na pickups ni mpya kabisa jiulize walikua wamezipaki wapi?
Swali zuri sana vita hii ina mambo mengi nyuma yake tusiyajua na wala hatutaweza kuyajua zaidi ya kubishana tu humu mtandaoni.
 
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
Ndugu kuna mambo mengi amabayo hatuwezi kuyaona ktk macho ya kawaida wanayajua wao na wanao pambana nao.
 
Kajizungusha mwenyewe kwa utash wake eneo lote lile ni la Warabu WAISRAEL fake wenyewe wameletwa kwa msaada wa UN wakamegewa kipande cha ardhi ya mwarabu mwaka 1948 leo udai wamezungukwa!!! Endelea kununua udongo aya mambo yapo juuu sana kwako!!
 
Kajizungusha mwenyewe kwa utash wake eneo lote lile ni la Warabu WAISRAEL fake wenyewe wameletwa kwa msaada wa UN wakamegewa kipande cha ardhi ya mwarabu mwaka 1948 leo udai wamezungukwa!!! Endelea kununua udongo aya mambo yapo juuu sana kwako!!
Hatari sana
 
Israel asee wanapewaga hype sana. Yani kupigana na magenge ya wahuni kama Kuluna (Hamas na Hezbollah) inawachukua karibu mwaka na nusu bila kufanikisha lengo lake la kuwakomboa mateka na kuifutilia mbali Hamas?

Pamoja na kusaidiwa kwa silaha, manuari, fedha na kaka zao NATO lakini wapi wameishia kuaibika na kidhihirisha kuwa hawana uwezo wowote zaidi ya propaganda za mainstream media na kelele za mazombie ya "taifa teule".


Leo hii Hamas wako Gaza wanashangilia juu ya pickups na mitutu juu.View attachment 3206235

Kwanza Gaza ni sehemu finyu sana na hao wahuni panya road wa Hamas wameweza kushikilia mateka mwaka na nusu huku Israel ikitumia mabilioni ya dollar kuua watoto na akina mama na kuharibu makazi na miundombinu bila kufanikiwa kukomboa mateka hata mmoja mpaka waje kusaidiwa na Qatar awabembeleze Hamas wawaachie mateka?

Mpaka tarehe 11 January Israel ilishatumia gharama ya zaidi ya Shekel billion 250 sawa na USD 67 billion sawa na Shillingi 169,504,037,000,000.00 za Kitanzania (Trillioni mia moja sitini na tisa na nusu +) bila kufanikiwa kwa chochote hapo Gaza.

Hamas wamechukua ushindi mkubwa sana hapo Gaza. Israel alichofanikiwa ni kuua wanawake na watoto tu hawana kingine chakujivunia.

Sasa tunamtaka 'Mentalnyau' ICC apigwe mvua zakutosha.

Nakala uipate myahudi wa Buza Maghayo Ghayo TheMongo Barbarian

Ritz
Kweli kabisa hakuna point ulio sema sio sahihi zote ni 💯
 
Facts nimeweka hapo. Kuwa

1. Israel kashindwa kuokoa mateka
2. Isreael wameshindwa kuimaliza Hamas
3. Israel wametumia dollar billion 67
4. Isreael walichofanikiwa kufanya Gaza ni kuua watoto na wanawake.
Kuna watu hawajui mambo yanavyoendelea huko Gaza.
1. Oct 07,2023 magaidi wa Hamas waliteka mateka 251 karibu wote wameachiwa kwa nią mbalimbali waliobaki ni 98 tu na huo ni Ushindi mkubwa kwa Israel!!
2..Kuimaliza Hamas ni process na mpaka huo bado unaendelea hata sasa baada ya usitishwaji wa mapigano hayo zwęzi la kuwamaliza hamas litaendelea.
3. Hizo takwimu sijui umezipata watu au umejitungia wewe mwenyewe?
4.Hilo la kuua wanawake na watoto hiyo ni Propaganda za kutafuta huruma kwa jumuia za kimataifa tu hazina ukweli wowote
 
Kuna watu hawajui mambo yanavyoendelea huko Gaza.
1. Oct 07,2023 magaidi wa Hamas waliteka mateka 251 karibu wote wameachiwa kwa nią mbalimbali waliobaki ni 98 tu na huo ni Ushindi mkubwa kwa Israel!!
2..Kuimaliza Hamas ni process na mpaka huo bado unaendelea hata sasa baada ya usitishwaji wa mapigano hayo zwęzi la kuwamaliza hamas litaendelea.
3. Hizo takwimu sijui umezipata watu au umejitungia wewe mwenyewe?
4.Hilo la kuua wanawake na watoto hiyo ni Propaganda za kutafuta huruma kwa jumuia za kimataifa tu hazina ukweli wowote
Kwamba napika takwimu? Hebu lete basi zako ambazo ni zakweli.

Kwamba Gaza wanawake na watoto hawajauwawa bali ni propaganda?

Kweli wewe inabidi upimwe mkojo tujue unatumia nini.
 
Kwamba napika takwimu? Hebu lete basi zako ambazo ni zakweli.

Kwamba Gaza wanawake na watoto hawajauwawa bali ni propaganda?

Kweli wewe inabidi upimwe mkojo tujue unatumia nini.
Jiulize tu wewe mwenyewe kwa nini watoto tu na wanawake tu ndiyo hayo mabomu yawaue wengine mabomu yanawakwepa?
 
Jiulize tu wewe mwenyewe kwa nini watoto tu na wanawake tu ndiyo hayo mabomu yawaue wengine mabomu yanawakwepa?
Uwe unaelewa basi acha kuwa na akili fupi. Idadi kubwa ya waliouwawa ni wanawake na watoto.

Halafu hilo ni kundi maalumu kwenye vita linalindwa kwakuwa wenyewe wako weak tofauti na wanaume.

Uwe unaelewa mambo.
 
Uwe unaelewa basi acha kuwa na akili fupi. Idadi kubwa ya waliouwawa ni wanawake na watoto.

Halafu hilo ni kundi maalumu kwenye vita linalindwa kwakuwa wenyewe wako weak tofauti na wanaume.

Uwe unaelewa mambo.
Uwe unaelewa Hamas ni Magaidi wanawafanya wanawake na watoto kama Kinga yao na ndiyo maana wanapiga kelele sana. Ki kawaida wanawake na watoto wakati wa vita huwekwa mbali lakini kwa Hamas kwao ni mtaji wa kupata huruma kutoka ujmują za Kimataifa.
 
Back
Top Bottom