Israel Iliitaarifu Iran Maeneo Itakayoyapiga, Lengo Lilikuwa Ni Nini?

Israel Iliitaarifu Iran Maeneo Itakayoyapiga, Lengo Lilikuwa Ni Nini?

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo lilikuwa ni nini? Maana ni sawa sawa mtu akuvizie ukapige kwenye mguu, ukaa kimya, halafu siku nyingine umtaarifu kuwa kesho nakuja kukupiga, nitakupiga usoni!!

Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.

NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.

Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"

US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".

Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia
 
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo lilikuwa ni nini? Maana ni sawa sawa mtu akuvizie ukapige kwenye mguu, ukaa kimya, halafu siku nyingine umtaarifu kuwa kesho nakuja kukupiga, nitakupiga usoni!!

Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.

NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.

Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"

US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".

Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia
Hammaz TUJITEGEMEE

Hawawezi kupatana hao kwa Sasa labda utawala wa mamullah wa Iran huko Tehran uanguke na mradi wa Nyuklia ufe
 
Hammaz TUJITEGEMEE

Hawawezi kupatana hao kwa Sasa labda utawala wa mamullah wa Iran huko Tehran uanguke na mradi wa Nyuklia ufe
Uliyemkoti ni mweupe kwenye haya masuala na sijawahi kumtilia maanani!

Issue ya Iran na Israel ni tofauti na unavyoifikiria. Kinachopiganiwa ni ukaka mkubwa wa middle east.

Kuhusu utawala wa Ayatollah kutolewa kwenye mamlaka Iran anagalia mfumo wa kiutawala wa Iran na mfumo wao wa kijeshi.

Kwa lugha nyepesi ni suala gumu kwa namna yake kwani Iran ipo tofauti na nchi nyengine kimamlaka.
 
Mkuu Bams kawaida una michango inayoonyesha kama vile wewe ni mtu mwerevu sana.

Contrary na mtu ambae anaetetea unnecessary loss of lives kwa minajili ya udini kama watu wa hovyo walivyo .

Hamas ni wapuuzi, kwenda kuuwa vijana wasio na hatia, huku wakijua mziki utakaofuata hawataweza umudu.

Shida ya Netanyahu ni gaidi la asili, huko Israel kesho ukiitwa uchaguzi ashidi kwa siasa zake, kila siku uingia madarakani kwa serikali za mseto.

Ni sawa kwa watu wenye elimu ndogo kushabikia haya mambo. Lakini kwa watu wanaojinasibu ni timamu kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia; shows how shallow you are.

Benjamin Netanyahu hata kesho ukiitishwa uchaguzi apati ushindi wa majority; maana yake kuna waisraeli wengi sana hawafurahishwi na kinachoendelea huko Middle East,

You are so shallow
 
Mkuu Bams kawaida una michango inayoonyesha kama vile wewe ni mtu mwerevu sana.

Contrary mtu yeyote anaetetea unnecessary loss lives kwa udini ni mtu wa hovyo.

Hamas ni wapuuzi, kwenda kuuwa vijana wasio na hatia, huku wakijua mziki utakaofuata hawataweza mudu.

Shida ya Netanyahu ni gaidi la asili, huko Israel kesho ukiitwa uchaguzi ashidi kwa siasa zake, siku uingia madarakani kwa serikali za mseto.

Ni sawa kwa watu wenye elimu ndogo kushabikia haya mambo. Lakini kwa watu wanaojinasibu ni timamu kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia; shows how shallow you are.

Benjamin Netanyahu hata kesho ukiitishwa uchaguzi apati ushindi wa majority; maana yake kuna waisraeli wengi sana hawafurahishwi na kinachoendelea huko Middle East,

You are so shallow
Kwa hiyo unadhani wa - Israel wangetaka serikali yao chini ya Ben Netanyau ingefanyaje...?

Kwamba ishambuliwe na Hammas na Hesbollah wakisaidiwa na Iran itulie tu bila kujilinda na hapo ndiyo wa - Israel wanaweza kumpa kura PM wao iwapo kungekuwa na uchaguzi...?

Honestly, nimekusoma na mwisho nikashindwa kukuelewa hoja yako inasimama na kutetea nini hasa...

IKO HIVI:

Kama hao Hammas/Lebanon na Iran wanataka wasiendelee kufa, waache kulichokoza taifa teule la Mungu - ISRAEL...

Mungu aliapa kwa kinywa chake kusema hivi katika Neno lake - Biblia👇👇👇

AMOS 1: 6 - 7

"....‬Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu; lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake..."

There's no way kuwa Gaza itapona....

Na watu au taifa jingine lolote linalojaribu kuitetea Gaza/Lebanon iwe ni Iran au yeyote, tambua kuwa nao watahesabiwa wakosa na hukumu hiyo ya Mungu nao itawaangukia/itawahusu pia....

Kwa hiyo ukiona vifo huko, tambua kuwa vimeamuliwa na Mungu na mwenyewe hivyo. Yeye anaumba/toa uhai na anaweza kubomoa au kuutwaa uhai huo pia....

Kwa hiyo hapo hoja yako ya kushabikia au kutoshabikia vifo wala hata haina maana yoyote maana kilichosemwa na Mungu ni lazima kiwe hivyo bila kujali mwanadamu ana mtazamo gani juu ya maamuzi yake.....!!
 
Kwa hiyo unadhani wa - Israel wangetaka serikali yao chini ya Ben Netanyau ingefanyaje...?

Kwamba ishambuliwe na Hammas na Hesbollah wakisaidiwa na Iran itulie tu bila kujilinda na hapo ndiyo wa - Israel wanaweza kumpa kura PM wao iwapo kungekuwa na uchaguzi...?

Honestly, nimekusoma na mwisho nikashindwa kukuelewa hoja yako inasimama na kutetea nini hasa...

IKO HIVI:

Kama hao Hammas/Lebanon na Iran wanataka wasiendelee kufa, waache kulichokoza taifa teule la Mungu - ISRAEL...

Mungu aliapa kwa kinywa chake kusema hivi katika Neno lake - Biblia👇👇👇

AMOS 1: 6 - 7

"....‬Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu; lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake..."

There's no way kuwa Gaza itapona....

Na watu au taifa jingine lolote linalojaribu kuitetea Gaza/Lebanon iwe ni Iran au yeyote, tambua kuwa nao watahesabiwa wakosa na hukumu hiyo ya Mungu nao itawaangukia/itawahusu pia....

Kwa hiyo ukiona vifo huko, tambua kuwa vimeamuliwa na Mungu na mwenyewe hivyo. Yeye anaumba/toa uhai na anaweza kubomoa au kuutwaa uhai huo pia....

Kwa hiyo hapo hoja yako ya kushabikia au kutoshabikia vifo wala hata haina maana yoyote maana kilichosemwa na Mungu ni lazima kiwe hivyo bila kujali mwanadamu ana mtazamo gani juu ya maamuzi yake.....!!
Hoja żako ni kutokana na hisia za udini not understanding how the world works.

Sina shida na how you think, it depends on so many factors.

As for me, kwa muda huu; my priority is James Harden trying to carry Clippers against Denver.

Poor, Harden. He declined big money contracts not to be the main guy, yet he goes into teams where he is supposed to be the main offence with little pay.

NBA is my main obsession.

Huko kwenye kulipuana ni common sense tu and humanitarian concerns. Otherwise I don’t sleep over that.
 
Israel ni kunguru muoga mashambulizi yake yote huwa ni kuvizia na kushambulia raia wasio na silaha kwahiyo kuhusu kuwa walitoa taarifa huo ni uongo, hawakutoa taarifa zozote ila shambulio lao limefeli
 
Uliyemkoti ni mweupe kwenye haya masuala na sijawahi kumtilia maanani!

Issue ya Iran na Israel ni tofauti na unavyoifikiria. Kinachopiganiwa ni ukaka mkubwa wa middle east.

Kuhusu utawala wa Ayatollah kutolewa kwenye mamlaka Iran anagalia mfumo wa kiutawala wa Iran na mfumo wao wa kijeshi.

Kwa lugha nyepesi ni suala gumu kwa namna yake kwani Iran ipo tofauti na nchi nyengine kimamlaka.
Wasomi wa Jamii forum wanaamini ni vita vya kidini kiukweli unabaki na mshangao
 
Tofauti ya mataifa yaliondelea na nchi maskini.

Mataifa yalioendelea yanapokuja maswala ya national security kila raia anatakiwa awe upande wa serikali (either unakubali au unaoinga maamuzi ya serikali) ilimradi maamuzi ya serikali ni kwa sababu ya taifa.

Na serikali inapoamua kutumia nguvu kwa madai ni maamuzi ya taifa (either unakubaliana nayo au laah), huna ruhusa ya kupinga zidi ya taasisi ya nchi au nchi inayopambana nayo.

Mbinu za serikali yako sahihi au laah, utakiwi kupinga hadharani. Sasa kama wewe ni raia ni raia wa Israel unakubaliana na maamuzi ya Netanyahu au laah; uwezi pinga hadharani.

Ni kama Magufuli (ningekuwa mimi ndio yeye, kwenye nafasi yake) ningeamuru Lissu, ashughulikiwe kipindi cha mjadala wa ACCACIA.

Na ningekuwa afisa usalama wa Tanzania, pia ningeamuru Magufuli ashughulikiwe kuzuia chanjo za COVID. Huwezi kuchukua majukumu kuwapangia watu, kisa una upawa wa kujenga nchi.

Shida ya Tanzania ni uwezo, it’s beyond me mtu kama Samia aliwezaje kuunga-unga hadi kuwa raisi wa nchi.

Samia hana uwezo hata wa kuendesha shule ya chekechea; huo ndio ukweli. Unajiuliza ilikuwaje hadi kufika nafasi za juu hivyo za kuendesha.

Samia hana, uwezo tuache kuongopeana. Binafsi uwa najiuliza kwenye one-to-one na viongozi wenzake huko nje ya nchi uwa anaingea nini.

Rahisi Samia akili hana kabisa, huo ndio uhalisia. Kafikaje hapo it’s beyond me.
 
Tofauti ya mataifa yaliondelea na nchi maskini.

Mataifa yalioendelea yanapokuja maswala ya national security kila raia anatakiwa awe upande wa serikali (either unakubali au unaoinga maamuzi ya serikali) ilimradi maamuzi ya serikali ni kwa sababu ya taifa.

Na serikali inapoamua kutumia nguvu kwa madai ni maamuzi ya taifa (either unakubaliana nayo au laah), huna ruhusa ya kupinga zidi ya taasisi ya nchi au nchi inayopambana nayo.

Mbinu za serikali yako sahihi au laah, utakiwi kupinga hadharani. Sasa kama wewe ni raia ni raia wa Israel unakubaliana na maamuzi ya Netanyahu au laah; uwezi pinga hadharani.

Ni kama Magufuli (ningekuwa mimi ndio yeye, kwenye nafasi yake) ningeamuru Lissu, ashughulikiwe kipindi cha mjadala wa ACCACIA.

Na ningekuwa afisa usalama wa Tanzania, pia ningeamuru Magufuli ashughulikiwe kuzuia chanjo za COVID. Huwezi kuchukua majukumu kuwapangia watu, kisa una upawa wa kujenga nchi.

Shida ya Tanzania ni uwezo, it’s beyond me mtu kama Samia aliwezaje kuunga-unga hadi kuwa raisi wa nchi.

Samia hana uwezo hata wa kuendesha shule ya chekechea; huo ndio ukweli. Unajiuliza ilikuwaje hadi kufika nafasi za juu hivyo za kuendesha.

Samia hana, uwezo tuache kuongopeana. Binafsi uwa najiuliza kwenye one-to-one na viongozi wenzake huko nje ya nchi uwa anaingea nini.

Rahisi Samia akili hana kabisa, huo ndio uhalisia. Kafikaje hapo it’s beyond me.
Unachanganya mambo, na kudanganya watu humo humo.

Hilo la Tundu Lissu, wewe utakuwa ni hayawani usiye elewa kitu. Hata sijui mara nyingine akili yako huotelea wai!

Hapa kwenye andiko lako hili ninakubaliana nawe kwenye swala la Samia tu basi; mengine yote huna hoja.
 
Mapicha picha kama yale ya WWE,Tunataka vita siyo maigizo.
 
Kama hao Hammas/Lebanon na Iran wanataka wasiendelee kufa, waache kulichokoza taifa teule la Mungu - ISRAEL...

Mungu aliapa kwa kinywa chake kusema hivi katika Neno lake - Biblia👇👇👇
Dah!
Kweli maajabu duniani hayakomi!

Kuna "taifa teule la Mungu"; na hayo mengine je?
Hata yakiwa na miungu wao; mataifa hayo hayawezi kuwa ndiyo "mataifa tele ya miungu hao?

Hivi kweli Tanzania haiwezi kuwa "taifa teule" wa Mungu (fulani)?
 
Kwa hiyo unadhani wa - Israel wangetaka serikali yao chini ya Ben Netanyau ingefanyaje...?

Kwamba ishambuliwe na Hammas na Hesbollah wakisaidiwa na Iran itulie tu bila kujilinda na hapo ndiyo wa - Israel wanaweza kumpa kura PM wao iwapo kungekuwa na uchaguzi...?

Honestly, nimekusoma na mwisho nikashindwa kukuelewa hoja yako inasimama na kutetea nini hasa...

IKO HIVI:

Kama hao Hammas/Lebanon na Iran wanataka wasiendelee kufa, waache kulichokoza taifa teule la Mungu - ISRAEL...

Mungu aliapa kwa kinywa chake kusema hivi katika Neno lake - Biblia👇👇👇

AMOS 1: 6 - 7

"....‬Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu; lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake..."

There's no way kuwa Gaza itapona....

Na watu au taifa jingine lolote linalojaribu kuitetea Gaza/Lebanon iwe ni Iran au yeyote, tambua kuwa nao watahesabiwa wakosa na hukumu hiyo ya Mungu nao itawaangukia/itawahusu pia....

Kwa hiyo ukiona vifo huko, tambua kuwa vimeamuliwa na Mungu na mwenyewe hivyo. Yeye anaumba/toa uhai na anaweza kubomoa au kuutwaa uhai huo pia....

Kwa hiyo hapo hoja yako ya kushabikia au kutoshabikia vifo wala hata haina maana yoyote maana kilichosemwa na Mungu ni lazima kiwe hivyo bila kujali mwanadamu ana mtazamo gani juu ya maamuzi yake.....!!
Naomba cku moja Mungu Atupe akili za kuzitumia wa Tanzania tuwe huru kama wa Tanzania na si vichwa vya kuhifadhia akil kama makabati ya vyombo
 
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo lilikuwa ni nini? Maana ni sawa sawa mtu akuvizie ukapige kwenye mguu, ukaa kimya, halafu siku nyingine umtaarifu kuwa kesho nakuja kukupiga, nitakupiga usoni!!

Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.

NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.

Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"

US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".

Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia
Ukiona hivo basi fahamu zikufanye utambue kua Israel haina jeshi lenye uwezo wa kupambana na jeshi, but uwezo wao ni wa level za kushindana na mgambo
 
Kwa hiyo unadhani wa - Israel wangetaka serikali yao chini ya Ben Netanyau ingefanyaje...?

Kwamba ishambuliwe na Hammas na Hesbollah wakisaidiwa na Iran itulie tu bila kujilinda na hapo ndiyo wa - Israel wanaweza kumpa kura PM wao iwapo kungekuwa na uchaguzi...?

Honestly, nimekusoma na mwisho nikashindwa kukuelewa hoja yako inasimama na kutetea nini hasa...

IKO HIVI:

Kama hao Hammas/Lebanon na Iran wanataka wasiendelee kufa, waache kulichokoza taifa teule la Mungu - ISRAEL...

Mungu aliapa kwa kinywa chake kusema hivi katika Neno lake - Biblia👇👇👇

AMOS 1: 6 - 7

"....‬Haya ndiyo asemayo BWANA; Kwa makosa matatu ya Gaza, naam, kwa manne, sitaizuia adhabu yake isimpate; kwa sababu waliichukua katika hali ya kufungwa kabila nzima, wawatie katika mikono ya Edomu; lakini nitapeleka moto juu ya ukuta wa Gaza, nao utayateketeza majumba yake..."

There's no way kuwa Gaza itapona....

Na watu au taifa jingine lolote linalojaribu kuitetea Gaza/Lebanon iwe ni Iran au yeyote, tambua kuwa nao watahesabiwa wakosa na hukumu hiyo ya Mungu nao itawaangukia/itawahusu pia....

Kwa hiyo ukiona vifo huko, tambua kuwa vimeamuliwa na Mungu na mwenyewe hivyo. Yeye anaumba/toa uhai na anaweza kubomoa au kuutwaa uhai huo pia....

Kwa hiyo hapo hoja yako ya kushabikia au kutoshabikia vifo wala hata haina maana yoyote maana kilichosemwa na Mungu ni lazima kiwe hivyo bila kujali mwanadamu ana mtazamo gani juu ya maamuzi yake.....!!
Wasoma magazeti ote akili zao ni butu kweli,
 
Back
Top Bottom