Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo lilikuwa ni nini? Maana ni sawa sawa mtu akuvizie ukapige kwenye mguu, ukaa kimya, halafu siku nyingine umtaarifu kuwa kesho nakuja kukupiga, nitakupiga usoni!!
Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.
NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.
Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"
US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".
Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia
Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.
NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.
Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"
US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".
Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia