Israel Iliitaarifu Iran Maeneo Itakayoyapiga, Lengo Lilikuwa Ni Nini?

Israel Iliitaarifu Iran Maeneo Itakayoyapiga, Lengo Lilikuwa Ni Nini?

Mkuu Bams kawaida una michango inayoonyesha kama vile wewe ni mtu mwerevu sana.

Contrary mtu yeyote anaetetea unnecessary loss lives kwa udini ni mtu wa hovyo.

Hamas ni wapuuzi, kwenda kuuwa vijana wasio na hatia, huku wakijua mziki utakaofuata hawataweza mudu.

Shida ya Netanyahu ni gaidi la asili, huko Israel kesho ukiitwa uchaguzi ashidi kwa siasa zake, siku uingia madarakani kwa serikali za mseto.

Ni sawa kwa watu wenye elimu ndogo kushabikia haya mambo. Lakini kwa watu wanaojinasibu ni timamu kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia; shows how shallow you are.

Benjamin Netanyahu hata kesho ukiitishwa uchaguzi apati ushindi wa majority; maana yake kuna waisraeli wengi sana hawafurahishwi na kinachoendelea huko Middle East,

You are so shallow
Asante.

Sijawahi kushabikia mauaji ya mtu yeyote, yawe ya mtu wa namna gani, labda mtu huyo awe hatari kwa uhai wa watu wengine. Ndiyo maana sijawahi kufikiria kuwa uharamia ule walioufanya Hamas dhidi ya raia wa Israrl lilikuwa ni jambo sahihi. Wapalestina wange-gain zaidi kupambania haki zao zozote zile kwa njia nyingine kuliko tendo lile la kishetani walilolifanya October mwakajana. Yawezekana kweli wapalestina walikuwa wakionewa huko Gaza, lakini kwa ugaidi ule waliokuwa wameufanya, umewasaidia au umewaangamiza zaidi?

Ni kweli kuwa Netanyahu ana upinzani mkubwa nchini mwake, siyo kwa sababu ya vita hii, bali hata kabla ya October mwakajana. Wapalestina wangekuwa na hekima, walitakiwa ku-explore hiyo oppourtunity kutetea agenda yao kwa njia ambazo zingewapa faida kuliko kupoteza.

Unapopambana na adui yako ni vema uujue udhaifu na nguvu zako vipo wapi. Kama ni kweli IDF ilikuwa inadhulumu uhai wa Wapalestina, na wao Wapalestina kama waliamua kupambana kwa mtutu wa bunduki, basi hata shambulio lao la mwakajana basi lingewalenga askari pekee bila ya kuua watoto na wasio wanajeshi. Hiyo ingewafanya kuungwa mkono zaidi na taasisi mbalimbali, hata za ndani ya Israel. Kitendo cha Hamas kumwua kila waliyeweza kumfikia, kilitoa sympathy kwa reaction ya Serikali ya Netanyahu. Ufahamu kuwa makundi ya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houth, yote yanachukiwa sana na nchi zote za kiarabu kwa sababu pia yana terrorize serikali za mataifa ya kiarabu. Kuyatumia makundi hayo katika kupigania haki za wapalestina, hutegemei kupata mafanikio.
 
Israel na Iran, zote zimekiri kuwa Israel, kabla ya kufanya shambulio dhidi ya Iran, kwanza iliitaarifu Iran juu ya muda na maeneo ambayo ingeyashambulia. U aweza kushangaa na kujiuliza, lengo lilikuwa ni nini? Maana ni sawa sawa mtu akuvizie ukapige kwenye mguu, ukaa kimya, halafu siku nyingine umtaarifu kuwa kesho nakuja kukupiga, nitakupiga usoni!!

Ilichofanya Israel ni uungwana wa hali ya juu katika vita. Inaonekana dhamira ya Israel ilikuwa kusiwepo na kifo cha mtu hata mmoja. Israel ilitaka maeneo itakayoyapiga, watu wote waondoke ili kusiwepo na maafa. Halafu ikaionya Iran kuwa isijibu, na kama itajibu basi Israel itafanya harsh attacks. Israel iliileza Iran kuwa haina haja ya vita na Iran kwa kuwa ipo busy na kuwamaliza Hamas na Hezbollah. Iran nayo ikajibu kuwa ina haki ya kujilinda inaposhambuliwa ndani ya nchi yake LAKINI inatambua wajibu wake wa kuhakikisha eneo la Mashariki ya Kati linakuwa na amani.
Hivi kuna jeshi lolote limewahi kufanya hivyo? Urusi iige ustaarabu wa IDF huko Ukraine.

NOTE: Kwa hali inavyoenda, kuna uwezekano Hamas na Hezbollah wakaachwa wapambane wenyewe bila ya msaada wa Iran. Kitendo cha Israel kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja, ni ishara ya kukaribiana zaidi, na uhasama mipngoni mwao unaanza kupungua. Siku ambayo Iran na Israel wakageuka na kuwa majirani wema, Mashariki ya Kati yote itatulia na kuwa na amani.

Tushukuru na kufurahia mahasimu wanapoanza kuwasiliana, maana ni ishara njema kwa siku za uson. Msisahau ule msemo wa wahenga wetu, 'wapiganao ndio wapatanao"

US outlet Axios reported that prior to the attacks, Israel sent Iran a message revealing certain details about the strikes, and warning Tehran not to respond.
That could be a sign Israel does not want to escalate the situation further - at least for now.
“We are focused on our war objectives in the Gaza Strip and Lebanon. It is Iran that continues to push for a wider regional escalation,” the IDF said in a statement.
A senior US official said "this should be the end of this direct exchange of fire between Israel and Iran".
Iran’s foreign ministry said it was "entitled and obligated to defend itself" and described the attack as a violation of international law.
But it also said that Tehran recognises its "responsibilities towards regional peace and security".

Kwa kauli hii ya Iran, haina mpango wa kuishambulia
lengo ni kutaka kujua na kujiridhisha juu ya nguvu na uwezo wa Iran wa kujilinda, kuzuia na kudhibiti mashambulizi ya Israel.

Infact,
walitaka Iran iactivate mifumo yake yote ya ulinzi ili iwe rahisi kwa Israel kuona aina tofauti ya mashambulizi yasiyoweza kuzuiliwa na mifumo hiyo active ya Iran 🐒
 
Israel ana ubinadamu huwa hataki kuua binadamu ila hutaka kuharibu miundombinu ya kivita na maghala ya silaha

Hivyo h8tangaza mapema ili binadamu yeyote aondoke hilo eneo atwange
.akibaki shauri yake atajamba cheche
Upo sahihi sn mkuu
 
Asante.

Sijawahi kushabikia mauaji ya mtu yeyote, yawe ya mtu wa namna gani, labda mtu huyo awe hatari kwa uhai wa watu wengine. Ndiyo maana sijawahi kufikiria kuwa uharamia ule walioufanya Hamas dhidi ya raia wa Israrl lilikuwa ni jambo sahihi. Wapalestina wange-gain zaidi kupambania haki zao zozote zile kwa njia nyingine kuliko tendo lile la kishetani walilolifanya October mwakajana. Yawezekana kweli wapalestina walikuwa wakionewa huko Gaza, lakini kwa ugaidi ule waliokuwa wameufanya, umewasaidia au umewaangamiza zaidi?

Ni kweli kuwa Netanyahu ana upinzani mkubwa nchini mwake, siyo kwa sababu ya vita hii, bali hata kabla ya October mwakajana. Wapalestina wangekuwa na hekima, walitakiwa ku-explore hiyo oppourtunity kutetea agenda yao kwa njia ambazo zingewapa faida kuliko kupoteza.

Unapopambana na adui yako ni vema uujue udhaifu na nguvu zako vipo wapi. Kama ni kweli IDF ilikuwa inadhulumu uhai wa Wapalestina, na wao Wapalestina kama waliamua kupambana kwa mtutu wa bunduki, basi hata shambulio lao la mwakajana basi lingewalenga askari pekee bila ya kuua watoto na wasio wanajeshi. Hiyo ingewafanya kuungwa mkono zaidi na taasisi mbalimbali, hata za ndani ya Israel. Kitendo cha Hamas kumwua kila waliyeweza kumfikia, kilitoa sympathy kwa reaction ya Serikali ya Netanyahu. Ufahamu kuwa makundi ya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houth, yote yanachukiwa sana na nchi zote za kiarabu kwa sababu pia yana terrorize serikali za mataifa ya kiarabu. Kuyatumia makundi hayo katika kupigania haki za wapalestina, hutegemei kupata mafanikio.
Siasa za M.E ni complicated ndio maana Netanyahu kwao hawezi shinda kwa majority.

Jews sio kama tunavyodhani sisi ni hawa waliotoka ulaya. La hasha hayo makabila 12 ni vurugu machi ndio maana wana uwezo wa kuingilia usalama wa nchi zozote M.E maana ni waarabu ambao uwezi jua, wa Iran uwezi jua na ndio walio wengi.

Jews kwa makabila yao they can infiltrate anywhere in the M.E ni imani tu na kulipuana.

Halafu huo Jews na Waisalamu (wako karibu kwenye kufanya ibada) kushinda Jews na Ukristo.

Jews na Islam wote wanafanya ibada kuelekea M.E (Jews kuangalia Jerusalem, waislamu kuelekea kwenye Kaaba). Wakristo wao hawajali kanisa linaelekea wapi.

Jews na waislamu maandishi yao yanatoka kulia kwenda kushoto, wakristo maandishi yao yanatoka kushoto kwenda kulia.

Jews na waislamu namna yao kuchinja mnyama ni moja (wachinjaji wa nyama wanayokula Jews ni waislamu) Jew hawezi kula nyama ilyochinjwa na mkristo.

Kwa kifupi ni hivi kita madini Jewish na Uislamu (unafanana) kuliko Christianity na Jewish. Embu jifunzeni hizi; Israel kuna Jews hadi kutoka Afghanistan. Kuna sehemu ambayo usalama wao haiwezi infiltrate M.E

Kwa mtu unaejinasibu kuelimika kuchukua upande kwenye hii mijadala ya dini, binafsi unanishangaza.
 
Tofauti ya mataifa yaliondelea na nchi maskini.

Mataifa yalioendelea yanapokuja maswala ya national security kila raia anatakiwa awe upande wa serikali (either unakubali au unaoinga maamuzi ya serikali) ilimradi maamuzi ya serikali ni kwa sababu ya taifa.

Na serikali inapoamua kutumia nguvu kwa madai ni maamuzi ya taifa (either unakubaliana nayo au laah), huna ruhusa ya kupinga zidi ya taasisi ya nchi au nchi inayopambana nayo.

Mbinu za serikali yako sahihi au laah, utakiwi kupinga hadharani. Sasa kama wewe ni raia ni raia wa Israel unakubaliana na maamuzi ya Netanyahu au laah; uwezi pinga hadharani.

Ni kama Magufuli (ningekuwa mimi ndio yeye, kwenye nafasi yake) ningeamuru Lissu, ashughulikiwe kipindi cha mjadala wa ACCACIA.

Na ningekuwa afisa usalama wa Tanzania, pia ningeamuru Magufuli ashughulikiwe kuzuia chanjo za COVID. Huwezi kuchukua majukumu kuwapangia watu, kisa una upawa wa kujenga nchi.

Shida ya Tanzania ni uwezo, it’s beyond me mtu kama Samia aliwezaje kuunga-unga hadi kuwa raisi wa nchi.

Samia hana uwezo hata wa kuendesha shule ya chekechea; huo ndio ukweli. Unajiuliza ilikuwaje hadi kufika nafasi za juu hivyo za kuendesha.

Samia hana, uwezo tuache kuongopeana. Binafsi uwa najiuliza kwenye one-to-one na viongozi wenzake huko nje ya nchi uwa anaingea nini.

Rahisi Samia akili hana kabisa, huo ndio uhalisia. Kafikaje hapo it’s beyond me.
Huna akili, Israel umewahi kusikia kuna wizi, rushwa, teuzi za kiukoo na ufisadi kama Tanzania?
 
Asante.

Sijawahi kushabikia mauaji ya mtu yeyote, yawe ya mtu wa namna gani, labda mtu huyo awe hatari kwa uhai wa watu wengine. Ndiyo maana sijawahi kufikiria kuwa uharamia ule walioufanya Hamas dhidi ya raia wa Israrl lilikuwa ni jambo sahihi. Wapalestina wange-gain zaidi kupambania haki zao zozote zile kwa njia nyingine kuliko tendo lile la kishetani walilolifanya October mwakajana. Yawezekana kweli wapalestina walikuwa wakionewa huko Gaza, lakini kwa ugaidi ule waliokuwa wameufanya, umewasaidia au umewaangamiza zaidi?

Ni kweli kuwa Netanyahu ana upinzani mkubwa nchini mwake, siyo kwa sababu ya vita hii, bali hata kabla ya October mwakajana. Wapalestina wangekuwa na hekima, walitakiwa ku-explore hiyo oppourtunity kutetea agenda yao kwa njia ambazo zingewapa faida kuliko kupoteza.

Unapopambana na adui yako ni vema uujue udhaifu na nguvu zako vipo wapi. Kama ni kweli IDF ilikuwa inadhulumu uhai wa Wapalestina, na wao Wapalestina kama waliamua kupambana kwa mtutu wa bunduki, basi hata shambulio lao la mwakajana basi lingewalenga askari pekee bila ya kuua watoto na wasio wanajeshi. Hiyo ingewafanya kuungwa mkono zaidi na taasisi mbalimbali, hata za ndani ya Israel. Kitendo cha Hamas kumwua kila waliyeweza kumfikia, kilitoa sympathy kwa reaction ya Serikali ya Netanyahu. Ufahamu kuwa makundi ya kigaidi kama Hamas, Hezbollah na Houth, yote yanachukiwa sana na nchi zote za kiarabu kwa sababu pia yana terrorize serikali za mataifa ya kiarabu. Kuyatumia makundi hayo katika kupigania haki za wapalestina, hutegemei kupata mafanikio.
Maelezo mengi Sana lakini wewe umetawaliwa na udini,hivi unyama wa Israel huuoni?, stupid man, endeleeni kujidanganya Israel ni taifa la mungu, pathetic
 
Hamas ni wapuuzi, kwenda kuuwa vijana wasio na hatia, huku wakijua mziki utakaofuata hawataweza mudu.
Je unatakiwa ufanyeje ukikaliwa kimabavu na majeshi ya wavamizi? Ni ajabu kuongelea October 7th unasahau miaka zaidi ya 60 hao wapalestina wanauawa ili kupisha makazi ya walowezi wa kiyahudi!!
 
Wapalestina wange-gain zaidi kupambania haki zao zozote zile kwa njia nyingine kuliko tendo lile la kishetani walilolifanya October mwakajana. Yawezekana kweli wapalestina walikuwa wakionewa huko Gaza, lakini kwa ugaidi ule waliokuwa wameufanya, umewasaidia au umewaangamiza zaidi?
Kwahiyo wangefanyeje ili watume ujumbe? Maana nao wameuwawa bila hatia kwa miaka minga hata bila uwepo wa vita. Mfano kuna walowezi laki 5 wamehamia mipaka ya palestina na wameua wapalestina wasio na hatia ili wajenge makazi yao je huo sio ukatili?

Pia haijawaangamiza zaidi maana hata bila vita kuanzia 2009 mpaka 2023 hao wapalestina walishauwawa zaidi ya maelfu na hakukuwepo vita. Ni ajabu sana mtu kuchukulia october 7 kama ndio chanzo cha mateso ya wapalestina wakati hata bila vita malaki walishauwawa na wayahudi huko westbank na gaza.
 
Israel ana ubinadamu huwa hataki kuua binadamu ila hutaka kuharibu miundombinu ya kivita na maghala ya silaha

Hivyo h8tangaza mapema ili binadamu yeyote aondoke hilo eneo atwange
.akibaki shauri yake atajamba cheche
Kumbe je huko westbank huwa anauwa wapalestina kwa sababu gani na hakunaga Hamas huko? Hao ni makatili acheni justification za kitoto humu. Wangekua na ubinadamu wasingefadhili makundi ya waasi huko Kivu kaskazini kuwachimbia cobalt.
 
Mkuu Bams kawaida una michango inayoonyesha kama vile wewe ni mtu mwerevu sana.

Contrary mtu yeyote anaetetea unnecessary loss lives kwa udini ni mtu wa hovyo.

Hamas ni wapuuzi, kwenda kuuwa vijana wasio na hatia, huku wakijua mziki utakaofuata hawataweza mudu.

Shida ya Netanyahu ni gaidi la asili, huko Israel kesho ukiitwa uchaguzi ashidi kwa siasa zake, siku uingia madarakani kwa serikali za mseto.

Ni sawa kwa watu wenye elimu ndogo kushabikia haya mambo. Lakini kwa watu wanaojinasibu ni timamu kushabikia mauaji ya watu wasio na hatia; shows how shallow you are.

Benjamin Netanyahu hata kesho ukiitishwa uchaguzi apati ushindi wa majority; maana yake kuna waisraeli wengi sana hawafurahishwi na kinachoendelea huko Middle East,

You are so shallow
Toa hoja usimshambulie Mtu. Hapo Ndipo unafeli Dogo
 
Je unatakiwa ufanyeje ukikaliwa kimabavu na majeshi ya wavamizi? Ni ajabu kuongelea October 7th unasahau miaka zaidi ya 60 hao wapalestina wanauawa ili kupisha makazi ya walowezi wa kiyahudi!!
Hamas walichofanya oct 7 waliwapa israel justification kuendeleza walipoishia na kutanua wigo wa makazi yake
Ila acha wapigwe naumia sana huyu mdogo wangu kuuwawa kikatili shame on you

View: https://x.com/DrewPavlou/status/1849878226195316876?t=0vwvm9pOTeJMKs-ehXFTWw&s=19
 
Kumbe je huko westbank huwa anauwa wapalestina kwa sababu gani na hakunaga Hamas huko? Hao ni makatili acheni justification za kitoto humu. Wangekua na ubinadamu wasingefadhili makundi ya waasi huko Kivu kaskazini kuwachimbia cobalt.
Hawa sio makatili sijaona sehemu yyte ukianzisha thread au kuchangia nyuzi kama uliguswa na kifo cha huyu kijana

View: https://x.com/DrewPavlou/status/1849878226195316876?t=0vwvm9pOTeJMKs-ehXFTWw&s=19
Udini umekujaa unaumia waarabu kufa kuliko mtanzania mwenzako mwenye rangi nyeusi kama ww tena na lafudhi kama yako
Bure kabisa wewe acha wavune walichokipanda

View: https://x.com/DrewPavlou/status/1849878226195316876?t=0vwvm9pOTeJMKs-ehXFTWw&s=19
 
Hamas walichofanya oct 7 waliwapa israel justification kuendeleza walipoishia na kutanua wigo wa makazi yake
Ila acha wapigwe naumia sana huyu mdogo wangu kuuwawa kikatili shame on you

View: https://x.com/DrewPavlou/status/1849878226195316876?t=0vwvm9pOTeJMKs-ehXFTWw&s=19

Hoja ni kwamba hata wasingefanya wangeuwawa tu? Huko westbank hakuna hamas wala magaidi ila wanakufa maelfu kila mwaka kwa risasi za wayahudi. So ni ujinga kudai vifo vya palestina ni sababu ya October 7?
 
Back
Top Bottom