Israel Iliitaarifu Iran Maeneo Itakayoyapiga, Lengo Lilikuwa Ni Nini?

Hoja ni kwamba hata wasingefanya wangeuwawa tu? Huko westbank hakuna hamas wala magaidi ila wanakufa maelfu kila mwaka kwa risasi za wayahudi. So ni ujinga kudai vifo vya palestina ni sababu ya October 7?
Unaenda kuchokoza nyuki aliejenga kwenye nyumba yako unategemea nini? Halafu nimeweka clip ya mdogo wako hapo sijaona kuguswa wala kurusha mate kama unavyofanya kwa hao wapalestina
 
Hawa sio makatili sijaona sehemu yyte ukianzisha thread au kuchangia nyuzi kama uliguswa na kifo cha huyu kijana
Mara nyingi tu nimesema Hamas wanakosea kuua raia kama tu Netanyahu anavyokosea labda kma umeanza kunisoma juzi. Nachosema ni kwamba kuuawa kwa wapalestina hakukuanza wala hakutaishia October 7 ni sawa na mwenye nyumba kumbaka housegirl alafu siku akivaa khanga moja aseme nimembaka kisa amenitega! Ndio maana nimekuuliza westbank hakuna magaidi mbona wanapigwa risasi kila siku?
 
Kama kuna magaidi hapo westbank kwanini wasiuwawe? Then mbona hao raia wa palestine wana infilitrate kuingia tel aviv na miji mingine kushambulia raia je ni jambo la kuchekea?
 
Kama kweli Mungu kahalalisha mauaji ya watu wasio na hatia, je, Unadhani Yesu angekuja leo angetumia upanga kuitafuta amani?
 
Unaenda kuchokoza nyuki aliejenga kwenye nyumba yako unategemea nini? Halafu nimeweka clip ya mdogo wako hapo sijaona kuguswa wala kurusha mate kama unavyofanya kwa hao wapalestina
Mbona nimeshasema ni kosa kuua innocent people hii nimekemea kwa hamas na Israel pia. Nachouliza huko westbank muisrael gani aliuwawa? Mbona nao wanapigwa risasi na mabomu kila kukicha
 
kama Magufuli (ningekuwa mimi ndio yeye, kwenye nafasi yake) ningeamuru Lissu, ashughulikiwe kipindi cha mjadala wa ACCACIA
Hujitambui kabisa, yaani unaacha kina chenge waliokula mabilion kupitisha mikataba mibovu unakuja kuua ambaye hajaonja hata buku ya hiyo mikataba mibovu? Hizi akili ndio maana Afrika haiendeleei.
 
kuna magaidi hapo westbank kwanini wasiuwawe?
Nitajie gaidi mmoja tu westbank? Hao Israel wanaua watu Westbank licha ya kwamba hakuna gaidi. Ndio uone ukatili wa Israel haujalishi unamshambulia au lah. Embu Google maana ya JEWISH SETTLERS ndio utaelewa nachoongea.
 
Nitajie gaidi mmoja tu westbank? Hao Israel wanaua watu Westbank licha ya kwamba hakuna gaidi. Ndio uone ukatili wa Israel haujalishi unamshambulia au lah. Embu Google maana ya JEWISH SETTLERS ndio utaelewa nachoongea.
Wewe umeandika west bank kuna magaidi na mimi nikamalizia kama wapo kwanini wasiuwawe? Au mimi niliandika west bank kuna magaidi?
Na hitishima as long as yule dogo wa SUA alikufa kikatili basi acha na hao palestinian wafe hivyo hivyo
 
Hata Russia huwa inapiga vituo vya kijeshi siyo Watu!
 
umeandika west bank kuna magaidi na mimi nikamalizia kama wapo kwanini wasiuwawe?
Sasa si uweke link hapa kwamba kuna magaidi westbank!! Mimi nachojua huko walowezi wa kiyahudi wanajitanua kwa kuua raia wasio na hatia. So hata bila October 7 hao wayahudi wanaua wapalestina bila hatia. So don't justify brutality kwa kigezo cha Mollel kwani hata hao Syria ambao kila siku wako bombarded na Israel walimuua Mollel?
 
Kumtaarifu hasimu wako kuwa unatinga kwake kwenda kumfanyia tukio na ukaenda kweli, ni mbinu ambayo hata majambazi zamani waliitumia kuwataarifu walengwa, wajitayarishe na watayarishe kiwango cha fedha kinachotakiwa, kweli walienda wakavamia na kutoka kwa heshima.

Ubabe wa namna hiyo huwa huyo mhalifu kajiandaa, kupeleleza na kujihakikishia usalama wake pindi anapoenda kufanya tukio kwamba upo 100%, ni ubabe tu.

Kwa mfano huo, Israel kumtaarifu Iran kuwa ajiandae inaenda kumpiga na ikatakeleza ujumbe huo, ni ubabe wa kuvuana nguo na si dalili ya urafiki hiyo.

Israel angehitaji mahusiano mema, asingeenda kulipiza kisasi na kuleta uharibifu mkubwa alioufanya, angelimezea na kumtaarifu Iran ama kumkalia kimya.

Kumtaarifu Iran na wakaenda kweli kupiga ni njia nyingine ya kuieleza dunia na kumweleza Iran kwamba hakuna njia ama mbinu yoyote inayoweza kumzuia Israel asitekeleze shambulio lake kwenye anga na ardhi ya Iran, hakuna kingine zaidi ya ubabe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…