Israel imeipiga Gaza kwa makombora yenye uzito mara 3 ya ule wa kombora la nuke lililopigwa pale Hiroshima

2006 kwa nini walikubali matakwa ya Hamas kubadilishana wafungwa baada ya kichapo heavy duty?

Unazungumzia Taifa limeanzishwa mwaka 1945, wanaojua vita ni nchi kama Russia, US, Germany, Japan n.k unapigwa mpaka askari wako wanaisha, ww2 ilikuwa ni vita mbaya kuwahi kutokea ili kusudi mmoja akubali kashindwa lazima uchapike hadi askari wako washindwe kuhimili mapigo na silaha ziishe.

Unakuta wilaya nzima ni maiti tupu acha kabisa.

Hao Israel kipindi hiko Hitler anawaua kikatili hata pa kuishi hawana, ndio wanaanza kupatiwa kaeneo kwa huruma kubwa lakini pasipo wanaume kupambana hao wangekuwa wamefutika chini ya Hitler.

Israel bado haijapigana vita. Usiwaone waJapan ni wakarimu kiasi kile wanajua vita ni nini.
 
Myahudi mmoja anakerwa na mwarabu mmoja,acha utumwa.
 
Nuke ya Hiroshima?
Ndio mzee, kwa bombs walizoteremsha pale Gaza ni sawa na nuke tatu za aina ile ya Hiroshima zishuke pale Gaza.

Mzee watu 33000 kupoteza maisha unafikiri ni mchezo? Ngoja niandike kwa maneno elfu thelathini na tatu.. hizo sio mbuzi ni watu mzee, mauaji ya kutisha mzee.
 
Wakati hamas wanaanzisha fujo hawakufikiria hayo kutokea?Kwa hiyo walifikiri waliowalenga wangewapongeza?Vita ina ujinga mmoja.Wakipigwa wapendwa wako ndiyo adui yako hufarijika.Piga panapouma.
 
Wakati hamas wanaanzisha fujo hawakufikiria hayo kutokea?Kwa hiyo walifikiri waliowalenga wangewapongeza?Vita ina ujinga mmoja.Wakipigwa wapendwa wako ndiyo adui yako hufarijika.Piga panapouma.
Israel ndiye ilianza kukamata raia wa Palestine hovyo kuwaua na kawafunga, kukataa wasitambulike kama taifa kuwapokonya ardhi yao kimabavu na kila aina ya ukatili na ubabe.
Shida zote hizo kaanzisha Israel.
 
Lini nuke ilipigwa Hiroshima?
 
Watakuambia Israel ndo taifa hatari na teule wajinga hawa[emoji1787]
Mutume wako na ala wako wanawajua vzr mayahudi ndio mana kitabu kizima wanawalaani wayahudi mana waliwapa kipigo kikali hadi leo vitukuu mmerithiswa uadui na wayahudi,tulie myahudi ndio baba wa vita,magaidi mna poleni sana
 
Upo sahihi
 
Magaidi yenu leo namba zinasoma 33,000 halafu Gaza pamefanywa majivu, wavaa dera/kanzu huwa mnachekesha sana.
Iran gaidi lenu kubwa ameshikwa hadi mapumbu ameshindwa cha kufanya...
 
Badala unishikuru nakutoa ujinga kichwani we unanitusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…