Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

Israel imewaua wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wa Poland, Australia, Ireland na Uingereza kimakusudi

#BREAKING Security sources tells Haaretz that the World Center Kitchen team was bombed 3 times.
 
Uzu

Uzuri wachunguzi huangalia kombora la nani na sio

Hawa jamaa huwa hawapigi bila kuchokozwa.. sio kama Mtume wenu Mohammad aliuwa Wayahudi wote kwenye mji wao wa Madina..

Vipi wajeshi wetu waliowaua waganda ?
Biden mwenyewe aliuwa Wa Vietnamese.. and huyu Askari anatakiwa aenjoy vilivyo kuwachapa Hamas tupo bado na majonzi ya Watanzania wetu waliouwawa na Hamas na Mwili wa Joshua bado wanapambana upatikane safi sana Kamanda wa IDF your always welcome here Zanzibar
Muisrael mweusi anasema Israel hawezi kupiga bila kiuchokozwa mabwana zao wamekiri kuwa wamewapiga🤣


View: https://x.com/naksbilal/status/1775148066539995143?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Alooo ewe mwanamume usisogeze kendee pandee hizoo... Alooo ewe mwanamkee usisogeze kinembee pandee hizoo... Mwana wa israel anajuaa kufagiaa tuu...
 
This is your top thinking capacity uliyonayo bongoni mwako? i thought Hamas ndio wana akili za kilevi kumbe hadi mashabiki wao Tz
🚨🇮🇱 “ISRAEL today is in the WORST SITUATION in the world since its creation; The world hates us, support for us is low, and anti-Semitism has reached a new high.” - Israel Channel 12
 
Dah Roho imenitetemeka Kuona binadam ametendewa unyama huo.
 
Back
Top Bottom