Tetesi: Israel kuishambulia Iran kwa jaribio la Mauaji ya Netanyahu

Tetesi: Israel kuishambulia Iran kwa jaribio la Mauaji ya Netanyahu

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran

Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?

Je ni preemptive strike?
 
Kwakweli kuonja nyama mtu huachi kanogewa eeh, huyo jamaa ni muhuni kweli eti kaidhinisha dola bilioni 2.1 makazi yake yatengenezwe hizbollah wameyaharibu kama sio kupiga hela za walipa kodi mamburula hahahah kashenz haka jamaa pesa ndefu sana hio
 
Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran

Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?

Je ni preemptive strike?
Kaa tayari ni muda wa Israeli kufutwa sasa
 
Back
Top Bottom