Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran gani? Mtu anauwa kwenye nyumba ya Rais kwa bomb la kutegwa?Iran sio Burundi
R.I.P Ayatollah hahaha aisee pakuanzia pamepatikanaBaraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?
Na wewe unajitambua umejifucha kwenye point gani?
Hizo porojo tu ndio maana Israel kutwa anabweka bweka, Iran ni jeshi kamili sio kikundi, HAKUNA ndege ilioingia anga la Iran, kwa taarifa yako Iraq amepeleka malalamiko yake UN kwa kitendo cha Israel kutumia anga lakeIran gani? Mtu anauwa kwenye nyumba ya Rais kwa bomb la kutegwa?
Na Israel ameenda ndani ya anga ya Iran kwa ndege zenye rubani na zote zimerudi. Hapo bado kuna kujiuliza?
Vita inataka akili kichwani. Hakuna albadili wala siasa za misimamo mikali
Hapa ushoga sio haramuUshoga ushoga ushoga. Ukishamaliza hapo unakimbilia kula Pilau na juice ya tende unafikiri umemkomoa mtu.
Mashoga wapo tena kwenye makabila, na dini zote. Ushoga ni haramu. Ila kujifanya ndio issue Israel na waarabu ni kujizima data. Waisrael wanasambaratisha middle east
Kwa mayahudi ushoga SI HaramUshoga ushoga ushoga. Ukishamaliza hapo unakimbilia kula Pilau na juice ya tende unafikiri umemkomoa mtu.
Mashoga wapo tena kwenye makabila, na dini zote. Ushoga ni haramu. Ila kujifanya ndio issue Israel na waarabu ni kujizima data. Waisrael wanasambaratisha middle east
Sawa Iran anamsubiria kwa hamu wameisha gundua ni US na Israeli fighter jets walitumia sehemu kule Iraq, iko chini ya US controlled airspace over Iraq. Je Iraq atamruhusu US afanye vile tena sababu Iran ataishambulia Iraq haswa base ya US. Pili hakuna hata Radar walizo piga waongo, wangepiga Radar wangeshambulia ndani ya Iran kwa ndege zao. Mara tatu walifanya waves za mashambulizi mbona hawakuingia Iran.Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?
SISI: Marekani iache kuisaidia Israel alafu tuone kichapo toka Iran.Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?
Kwa taifa teule la kikristo ushoga ni sifa we huoni ni kanisani tu ndio ndoa za kishoga zinafungwa 😄
Nadhani wanawapiga mkwara Iran ili iache kulipiza kisasa kwa kipigo cha Jumamosi!Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?
Ushoga ni ushetani na umeanzia hukohuko ktk nchi za kiislamu.Kwa taifa teule la kikristo ushoga ni sifa we huoni ni kanisani tu ndio ndoa za kishoga zinafungwa 😄
Iran ya TandahimbaIran ipi hiyo?
Ebu nionyeshe ni wapi Tanzania wasenge waliandamana hivyo? au ni wapi Iran au saudi Arabia wasenge walipiga haya maandamano? acha kujificha kwenye kichaka hii ndio gharama ya free world, haiwezekani nchi ya ahadi itoe vibali watu watangaze ushoga hadharani wakati unajua wazi watu wa Luti waliangamizwa kwa ufirajiHayo maandamano yako karibu kote Ulaya na Marekani. Ndio maana Sweden inasema waliokuja waondoke. Ila haina maana huku kwetu hakuna. yapo pia.
Kwahiyo point ya kusema ni mashoga haina mashiko. Sio kila mtu anafagilia ushoga kwenye hizo nchi mabzo mashoga wanaruhusiwa kuandamana
😂😂😂😂Kwa taifa teule la kikristo ushoga ni sifa we huoni ni kanisani tu ndio ndoa za kishoga zinafungwa 😄
Endelea kujifarijiBaada ya kuona jaribio lao kwanza juu ya Iran limefeli wanakuja na Maigizo Mengine.
Nyie si mnasema Mitume wote Wayahudi sa ushoga ulianzia huko kwa wakati wa LutUshoga ni ushetani na umeanzia hukohuko ktk nchi za kiislamu.
Hizo porojo tu ndio maana Israel kutwa anabweka bweka, Iran ni jeshi kamili sio kikundi, HAKUNA ndege ilioingia anga la Iran, kwa taarifa yako Iraq amepeleka malalamiko yake UN kwa kitendo cha Israel kutumia anga lake