Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Kwa mayahudi ushoga SI Haram
I think ni suala binafsi. Marekani mashoga wapo na wapo wasiotaka ushoga pia. Kama nchi nyingi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mayahudi ushoga SI Haram
Unaongea nini we mpuuzi,Ebu nionyeshe ni wapi Tanzania wasenge waliandamana hivyo? au ni wapi Iran au saudi Arabia wasenge walipiga haya maandamano? acha kujificha kwenye kichaka hii ndio gharama ya free world, haiwezekani nchi ya ahadi itoe vibali watu watangaze ushoga hadharani wakati unajua wazi watu wa Luti waliangamizwa kwa ufiraji
View attachment 3138169
www.india.com
Kwa mayahudi Hilo SI swala binafsi ni swala la kitaifaI think ni suala binafsi. Marekani mashoga wapo na wapo wasiotaka ushoga pia. Kama nchi nyingi nyingine
Ndivyo mnavyodanganyana huko makanisani??Iran saaiz ni toothless bull, mifumo yake ya ulinzi ishachakazwa
Kumbuka Iran ana Bavaar na Khordak.![]()
Israeli Strikes Knocked Out All Of Iran’s S-300 Air Defense Systems: Officials
The apparent destruction of the last three Iranian S-300s would pave the way for expanded Israeli airstrikes. The apparent destruction of the last three Iranian long-range S-300 systems would help pave the way for more Israeli airstrikes.www.twz.com
Usiropoke wewe.Iran gani? Mtu anauwa kwenye nyumba ya Rais kwa bomb la kutegwa?
Na Israel ameenda ndani ya anga ya Iran kwa ndege zenye rubani na zote zimerudi. Hapo bado kuna kujiuliza?
Vita inataka akili kichwani. Hakuna albadili wala siasa za misimamo mikali
ISRAEL IS CONSIDERING A PREEMPTIVE STRIKE ON IRAN IN THE VERY NEAR FUTURE!Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?
Sio kawaida paredi la mashoga huo ni ushetani, akifanya Sweden ni sawa maana ni nchi ambayo sio ya AHADI , ajabu ni nchi ya ahadi kuruhusu mashoga watangaze ushoga wao hadharani huku wakijiita nchi ya ahadi, Mungu gani wa ahadi walio nae wakati wanatangaza ufiraji ambao Biblia imeandika kuwa wakati wa Luti hasira za Mungu zilifyeka wafiraji wote? HAKUNA kawaida kwenye kutangaza ufiraji ni afadhali watu wangefanya kimya kimya lakini sio kuonyesha jamii kuwa ufiraji ni ruksaUnaongea nini we mpuuzi,
Sweden pride parade kila tar 19 june kawaida tu kila mwaka.
Utawakuta popote utakwenda.
Iwe bar,night club,mjini kote wamejaa utakwepa vipi?
Hadi buss na treni zina bendera ya upinde.
Uk ndo kabisaa ndugu zenu wa kiume wanaolewa mchana kweupe.
Israel kufanya hayo mambo ni kawaida tu.
Hapo nyumbani mishoga iko kila mahali utazuia vipi?
acha nilale ila sio kutetea wafiraji haoHaya endelea kulala usingizi wa pono
Jana tena yule msemaji pale Ikulu ya US analia lia kuwa Iran isiipige Israel😂😂😂You must be living in your own world😂😂😂😂😂
Mbona Wamefeli Syria?Wajinga wale! Nyumba ya Yakobo haina mapooza.