Tetesi: Israel kuishambulia Iran kwa jaribio la Mauaji ya Netanyahu

Tetesi: Israel kuishambulia Iran kwa jaribio la Mauaji ya Netanyahu

Ebu nionyeshe ni wapi Tanzania wasenge waliandamana hivyo? au ni wapi Iran au saudi Arabia wasenge walipiga haya maandamano? acha kujificha kwenye kichaka hii ndio gharama ya free world, haiwezekani nchi ya ahadi itoe vibali watu watangaze ushoga hadharani wakati unajua wazi watu wa Luti waliangamizwa kwa ufiraji

View attachment 3138169
Unaongea nini we mpuuzi,
Sweden pride parade kila tar 19 june kawaida tu kila mwaka.
Utawakuta popote utakwenda.
Iwe bar,night club,mjini kote wamejaa utakwepa vipi?
Hadi buss na treni zina bendera ya upinde.
Uk ndo kabisaa ndugu zenu wa kiume wanaolewa mchana kweupe.
Israel kufanya hayo mambo ni kawaida tu.
Hapo nyumbani mishoga iko kila mahali utazuia vipi?
 
Iran gani? Mtu anauwa kwenye nyumba ya Rais kwa bomb la kutegwa?
Na Israel ameenda ndani ya anga ya Iran kwa ndege zenye rubani na zote zimerudi. Hapo bado kuna kujiuliza?
Vita inataka akili kichwani. Hakuna albadili wala siasa za misimamo mikali
Usiropoke wewe.
Israel haikuingiza ndege katika anga la Iran bali ilishambulia kwa kutumia anga la Iraq na Syria.
Hakuna watoto humu usitudanganye.
Hiyo haitoshi ndege 100 zote zimeleta madhara ambayo ni sawa na hamna.
 
Baraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.

Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran

Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?

Je ni preemptive strike?
ISRAEL IS CONSIDERING A PREEMPTIVE STRIKE ON IRAN IN THE VERY NEAR FUTURE!
 
Unaongea nini we mpuuzi,
Sweden pride parade kila tar 19 june kawaida tu kila mwaka.
Utawakuta popote utakwenda.
Iwe bar,night club,mjini kote wamejaa utakwepa vipi?
Hadi buss na treni zina bendera ya upinde.
Uk ndo kabisaa ndugu zenu wa kiume wanaolewa mchana kweupe.
Israel kufanya hayo mambo ni kawaida tu.
Hapo nyumbani mishoga iko kila mahali utazuia vipi?
Sio kawaida paredi la mashoga huo ni ushetani, akifanya Sweden ni sawa maana ni nchi ambayo sio ya AHADI , ajabu ni nchi ya ahadi kuruhusu mashoga watangaze ushoga wao hadharani huku wakijiita nchi ya ahadi, Mungu gani wa ahadi walio nae wakati wanatangaza ufiraji ambao Biblia imeandika kuwa wakati wa Luti hasira za Mungu zilifyeka wafiraji wote? HAKUNA kawaida kwenye kutangaza ufiraji ni afadhali watu wangefanya kimya kimya lakini sio kuonyesha jamii kuwa ufiraji ni ruksa

EF71680F-12E7-4C22-96B1-38FE61093D70.png

USITUAMINISHE UJINGA, hili paredi ni la kishetani hakuna kawaida hapa
 
Back
Top Bottom