Kwaiyo mashoga waliojaa kwenye hio nyumba SI mapooza?Wajinga wale! Nyumba ya Yakobo haina mapooza.
Darari Teleza wa Tazala mkoani Tabola ariyekuwa mashuhuli kwa kutalaza na kudalizi reso za kitarii ametereza kwenye mtelemko mkari wa rami galini mwake na kureta hari ya dhalula aripopasua chupa za grasi zenye harua na hariudi aghari arizokuwa akimperekea Lais Suruhu Ikuru Dal es Saraam.yanajili
Kwaiyo mashoga waliojaa kwenye hio nyumba SI mapooza?
Iran ipi hiyo?Iran saaiz ni toothless bull, mifumo yake ya ulinzi ishachakazwa
Wapige sasa si mifumo ya ulinzi haifanyi kazi?Israeli Strikes Knocked Out All Of Iran’s S-300 Air Defense Systems: Officials
The apparent destruction of the last three Iranian S-300s would pave the way for expanded Israeli airstrikes. The apparent destruction of the last three Iranian long-range S-300 systems would help pave the way for more Israeli airstrikes.www.twz.com
Iran sio BurundiIran ni bora akaomba amani mambo yaishe, vinginevyo itadhalilishwa vibaya kwa kushambuliwa kirahisi mpaka dunia ishangae
Sio kwa Iran , labda DRC CONGOWajinga wale! Nyumba ya Yakobo haina mapooza.
Na wewe unajitambua umejifucha kwenye point gani?A very weak point. Ni mtu asiyejitambua tu ndio anajificha kwenye hii weakness ya ushoga
Mfadhili wa magaidi dunianiIran ipi hiyo?
Labda Iran ya BuzaMfadhili wa magaidi duniani
Kaa tayari ni muda wa Israeli kufutwa sasaBaraza la vita la Israel limepitisha azimio la kuishambulia Iran kutokana na shambulio la mauaji kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu.
Haya yanajili baada ya picha za satellite zilizoonesha kushambuliwa kwa ulinzi na mifumo ya ulinzi ya Iran
Je kwa sasa Israel itafanya kile ambacho wengi twategemea?
Je ni preemptive strike?