Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Somaliland 99.9% ni waislamu. Yahudi hawezi kuthrive hapo, atafurushwa na vijana wa kiislamu wasiotaka uharamia wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somaliland wamefanikiwa kuwadhibiti Magaidi wa Alshababu na ni marafiki wa Ethiopia.Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi
Waarabu wenyewe wana uhusiano na Israel wewe Mwafrika ambae hujui hata adui yako unajifanya Mujahidina.Afrika mashariki tusikubali
Wazanzibar watachie Tanganyika yetuMkuu i can understand your concern. Historia inaonyesha wasomali wako Djibouti, Somaliland, Somalia na parts of Kenya. Wakati wa ukoloni kulikuwa na French Somalia ( Djibouti) British Somalia (Somaliland) na Italy Somalia ( huku kwa akina Alishabab). Baada ya kupata Uhuru Somaliland iliamua iungane na Somalia. Hata hivyo hila za Wasomalia zilisababisha kukiukwa kwa makubaliano ya awali ya muungano. Hivyo kipindi chote cha Muungano Wasomaliland hawakuwa wameridhika na pia hawakuwa wanaunga mkono ideology za Kikomunists za akina Siad Barree. Political islam unayoisikia ya akina Alshabab haiko Somaliland. Aidha, wako na uhusiano mzuri na Ethiopia. Juzi juzi kule UK Wasomaliland walifanya Kongamano ambapo walipinga vikali kile waislam wengine wanafanya kuendeleza Agenda ya Political islam ndani ya nchi za magharibi. Nikutoe wasiwasi tu kuwa katika vita yetu dhidi ya Political islam zipo Serikali za nchi majority muslims ambazo zinaunga mkono mapambano haya. Nchi hizo kinara ni UAE. lakini zimejitokeza nchi nyingine ikiwemo Saudi Arabia, Bahrain, Egypt, Jordan. Kwa upande wa Israel wamekuwa na Ushirika wa karibu na Azerbaijan. Hivyo usishangae Somaliland kama Serikali ikaunga mkono jitihada hizi. Mbili usisahau kuwa Houthis ni Shia, wakati Wasomaliland ni Sunni. Hawa ni paka na chui
Malizia pia Palestine ni Sunni ambao ni paka na paka na Somaliland.Mkuu i can understand your concern. Historia inaonyesha wasomali wako Djibouti, Somaliland, Somalia na parts of Kenya. Wakati wa ukoloni kulikuwa na French Somalia ( Djibouti) British Somalia (Somaliland) na Italy Somalia ( huku kwa akina Alishabab). Baada ya kupata Uhuru Somaliland iliamua iungane na Somalia. Hata hivyo hila za Wasomalia zilisababisha kukiukwa kwa makubaliano ya awali ya muungano. Hivyo kipindi chote cha Muungano Wasomaliland hawakuwa wameridhika na pia hawakuwa wanaunga mkono ideology za Kikomunists za akina Siad Barree. Political islam unayoisikia ya akina Alshabab haiko Somaliland. Aidha, wako na uhusiano mzuri na Ethiopia. Juzi juzi kule UK Wasomaliland walifanya Kongamano ambapo walipinga vikali kile waislam wengine wanafanya kuendeleza Agenda ya Political islam ndani ya nchi za magharibi. Nikutoe wasiwasi tu kuwa katika vita yetu dhidi ya Political islam zipo Serikali za nchi majority muslims ambazo zinaunga mkono mapambano haya. Nchi hizo kinara ni UAE. lakini zimejitokeza nchi nyingine ikiwemo Saudi Arabia, Bahrain, Egypt, Jordan. Kwa upande wa Israel wamekuwa na Ushirika wa karibu na Azerbaijan. Hivyo usishangae Somaliland kama Serikali ikaunga mkono jitihada hizi. Mbili usisahau kuwa Houthis ni Shia, wakati Wasomaliland ni Sunni. Hawa ni paka na chui
Unawaza tu au tuamini ndiyo uhalisia?Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika
Mimi sina interest yeyote na waisrael wala wayahud wala waarabu mimi naangalia interest za dini yangu na kizazi changu wanaogusa maslahi ya dini apo kwangu ni adui direct, kwakua na wao ni washenzi lengo lao ushoga usambae kilazima islam haiwezi kukompromise na upuuzi huo anaoutaka Marekani na zayuni hivyo hata ukiniita mujahidina it's okey and am happyWaarabu wenyewe wana uhusiano na Israel wewe Mwafrika ambae hujui hata adui yako unajifanya Mujahidina.
Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika
Hawajakubaliwa kuweka kambi somali land bado ,ila wameombaHii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu.
Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia.....
=================================
Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in order to keep tabs on Yemen and the Bab al-Mandab Strait, Middle East Monitor, the Qatari state-funded news site reported on Tuesday.
According to the report, in exchange, Israel would establish relations with Somaliland, which controls northern Somalia but is not currently recognized by Israel.
Middle East Monitor noted that Somaliland is geographically strategic. It is a former British colony that borders Ethiopia, Somalia, and Djibouti. Somaliland was considered an autonomous region of Somalia that declared independence in 1991.
![]()
Israel eyes Somaliland base bid to counter threats from Yemen's Houthis, bolster security - report
Somaliland is positioned in the Gulf of Aden and near the entrance to the Bab al-Mandab Strait, through which nearly a third of the world's maritime cargo passes.www.jpost.com
ww mbona makanisaninwatu wanalawitiwa thus dini haikufainacvording to you mbona huachi kuwa mkristo so hata hao somaliland usiwasemeeSomaliland kukubali kuikaribisha Israel kutafanya Somaliland itambulike rasmi na jumuiya ya kimataifa kama taifa kamili.
Watu wanaangalia kinachowafaa kwa wakati husika na wala sio mambo ya dini ambayo hawayanufaishi na hii ndio maana mataifa ya kiarabu yanayojitambua yana uhusiano na Israel.
Sikiliza, msiwe mnadandia tu discussions kama vile una recite juzuu. Hapa Makamas ambayo ni branch ya muslim brotherhood wame hijack agenda yenu na wapalestina wenu wa mchongo. Baada ya muslim brotherhood kufukuzwa Egypt, Saudi Arabia na UAE Hamas wakajichanganya na Iran na Hezbollah ambao wote ni SHIA. hivyo Hamas katika macho ya Sunni wengi wa Mashariki ya Kati amekuwa ni adui.Malizia pia Palestine ni Sunni ambao ni paka na paka na Somaliland.
Wewe ndio hujui kabisa unachoongea, yaani Israel isambaratike kisa nini sasa..🤣🤣🤣Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika
Madrassat imekufanya usijue hata kuandika.😛😛ww mbona makanisaninwatu wanalawitiwa thus dini haikufainacvording to you mbona huachi kuwa mkristo so hata hao somaliland usiwasemee
wewe unaonaje kwani, ndio inaenda na maji tenaWewe ndio hujui kabisa unachoongea, yaani Israel isambaratike kisa nini sasa..🤣🤣🤣
Hiyo Dini uliyoletewa kwa Jahazi?!dini yangu
Na magaidi wengi ni wakenya walilipua waste gate wakachinja vibayaNingependa sana wailete huku ili mchakazwe, maana kunao mko sijui Kibiti, Mtwara na mumeingia mpaka Msumbiji.
Ulitaka niletetewe kwa treni nimeipima kwa akili zangu nimeona inanifaa na inamake sense kwahio usinpangieHiyo Dini uliyoletewa kwa Jahazi?!
Christian Ethiopia imepewa Base ya Navy pale Somaliland vipi Israel isipewe Base Somaliland ni Waislamu poa.Siamini kama wataruhusiwa maana hao Somaliland ni wale wale kwenye uzombi pia.