Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Itapigwa tu, vuta subira, kwa sasa mnafanyiwa psychological war, mnakaa mkiangalia angani muda wote hamjui mtashukiwa lini
Iran sio kikundi ile ni nchi kamili, acha kutishia nyau
 
Iran sio kikundi ile ni nchi kamili, acha kutishia nyau

Nchi hupigwa, sio mara ya kwanza, japo Iran huwa nawakubali maana kihistoria walikua vizuri sana kabla uzombi wa kidini kuwakwamisha.
 
Japo sio sahihi, ila tukipigania ardhi, ni kitu kinaonakena, ni raslimali, ina mantiki maana kila mmoja anataka afaidike
Lakini wewe maskini hapo unamchinja Mwafrika maskini kama wewe kisa uliambiwa na muarabu uabudu mungu ambaye hauwezi hata ukadhihirisha uwepo wake
Unataka ufaidike kwa gharama za maisha yetu ? Ardhi ni ya Ukraine wewe unaingiza Jeshi kuua watu halafu unasema kuna faida!! hakuna tofauti ya yeyote kote huko watu wasio na hatia wanawake kwa wanaume wanakufa kwa ugomvi
 
Saudi Arabia msimamo wake huko pale pale hawezi kurejesha mahusiano na Israel mpaka Palestina iwe huru, wewe unasema Saudi Arabia labda ya Buza

Saudi wanaendelea kustaarabika, leo hii wanawake wanaendesha magari, uzombi wa dini unawatoka.
 
Nchi hupigwa, sio mara ya kwanza, japo Iran huwa nawakubali maana kihistoria walikua vizuri sana kabla uzombi wa kidini kuwakwamisha.
Iran iko imara siku zote, Ndio hawa hawa walipigana na Sadam Huseni wakati ule kibaraka wa US
 
Unataka ufaidike kwa gharama za maisha yetu ? Ardhi ni ya Ukraine wewe unaingiza Jeshi kuua watu halafu unasema kuna faida!! hakuna tofauti ya yeyote kote huko watu wasio na hatia wanawake kwa wanaume wanakufa kwa ugomvi

Urusi imejaribu kwenda kupora ardhi ya Ukraine, hao Ukraine wanapigana na kujaribu kulinda ardhi yao.
Lakini nyie mnachinja watu na kulazimisha waabudu sijui nani huyo ambaye ukiulizwa sasa hivi udhihirishe uwepo wake utaanza kunitajia kitabu kilichoandikwa huko jangwani.
 
Iran iko imara siku zote, Ndio hawa hawa walipigana na Sadam Huseni wakati ule kibaraka wa US

Iran liinchi likubwa sana ilikua aibu kupambana na kataifa kama Iraq, yaani dini imewachelewesha sana.
 
Tuambie wewe mzushi lini Saudi Arabia amerudisha uhusiano na Israel?

Fuatilia taratibu, Saudi walishasema watacharuka tu pale Israel itachukua Mecca lakini sio huo upuzi wenu...
 
Wahuthi kichapo chao kinakuja, ngoja kwanza hamas, hesbollah na wenzao wasambaratishwe. Baba yao iran naye kifinyo chake kinakuja. Somaliland itakuwa stategic base kuwakabili waajemi adui wa israel
 
Wahuthi kichapo chao kinakuja, ngoja kwanza hamas, hesbollah na wenzao wasambaratishwe. Baba yao iran naye kifinyo chake kinakuja. Somaliland itakuwa stategic base kuwakabili waajemi adui wa israel
 
Wahuthi kichapo chao kinakuja, ngoja kwanza hamas, hesbollah na wenzao wasambaratishwe. Baba yao iran naye kifinyo chake kinakuja. Somaliland itakuwa stategic base kuwakabili waajemi adui wa israel
 
Wahuthi kichapo chao kinakuja, ngoja kwanza hamas, hesbollah na wenzao wasambaratishwe. Baba yao iran naye kifinyo chake kinakuja. Somaliland itakuwa stategic base kuwakabili waajemi adui wa israel
 
Fuatilia taratibu, Saudi walishasema watacharuka tu pale Israel itachukua Mecca lakini sio huo upuzi wenu...
Wewe acha uzushi mpaka Leo hakuna uhusiano wowote kati ya Saudi Arabia na Israel, bila kupepesa macho Saudi Arabia wamesema kama hakuna Palestina huru hakuna mahusiano na Israel
 
Iran liinchi likubwa sana ilikua aibu kupambana na kataifa kama Iraq, yaani dini imewachelewesha sana.
Iraq alikuwa na US si ndio alimpa mpaka silaha za kuangamiza watu na akatumia, kwahiyo Iran alipiga watu wawili Iraq na US wake
 
Urusi imejaribu kwenda kupora ardhi ya Ukraine, hao Ukraine wanapigana na kujaribu kulinda ardhi yao.
Lakini nyie mnachinja watu na kulazimisha waabudu sijui nani huyo ambaye ukiulizwa sasa hivi udhihirishe uwepo wake utaanza kunitajia kitabu kilichoandikwa huko jangwani.
Sasa mporaji unasemaje anafanya jambo la maana? yaani utoke huko uje unipore halafu wewe unataka kutudanganya ni jambo la maana? Unaua watu, unaharibu mali ili upore? wewe unashida sana
 
Back
Top Bottom