Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Acha kuyakataa mazombi ya kenya na Sasa ndo yanaikamata Kenya kila sector

Kuna mazombi yale ya sijui uamsho, hivi bado yapo jela huko? Yaani mlivyo mazombi ya kutupwa kule, juzi hapa mlishabikia kuona Watanzania wawili wanachinjwa Israel na mazombi wenzenu kule.
 
Jitu jeusi linafurahia mabeberu kuweka kambi ya kijeshi Afrika? Yaan unashabikia ukoloni kisa anayefanya ni Israel. No wonder nchi yenu inanika ufisadi maana hamna akili kabisa.

Jitu jeusi linaifurahia kuchinja weusi wenzake kisa dini, sasa Israel imejongea mtafuatwa mpaka huko Msumbiji huwa mnakwenda kuchinja Waafrika
 
Kuna mazombi yale ya sijui uamsho, hivi bado yapo jela huko? Yaani mlivyo mazombi ya kutupwa kule, juzi hapa mlishabikia kuona Watanzania wawili wanachinjwa Israel na mazombi wenzenu kule.
Na Kuna mazombi Yale yalichinjana 2007 bado yapo?
 
Kuna mazombi yale ya sijui uamsho, hivi bado yapo jela huko? Yaani mlivyo mazombi ya kutupwa kule, juzi hapa mlishabikia kuona Watanzania wawili wanachinjwa Israel na mazombi wenzenu kule.
Kuna Yale mazombi yaliuwa kule shakahola yapo?
 
Jitu jeusi linaifurahia kuchinja weusi wenzake kisa dini, sasa Israel imejongea mtafuatwa mpaka huko Msumbiji huwa mnakwenda kuchinja Waafrika
Nani kafurahia? Acheni ujinga kushabikia ukoloni. Huyo Israel mnamchekea siku akianza kudai na mto nile ni wake (Maana Bible inasema hivyo) mpigwe mabomu ndio akili zitawarudi
 
Na Kuna mazombi Yale yalichinjana 2007 bado yapo?

Kuna tofauti ya ugomvi wa kupigania ardhi au siasa, haya yapo kote hata leo tunashuhudia kule Ukraine na Urusi.
lakini ujuha wenu mnachinja watu kisa mungu wenu ambaye hamna namna yoyote hata ya kudhihirisha uwepo wake, ikumbukwe dini yenu ni ya juzi tu, ilikuta zingine.
 
Kuna Yale mazombi yaliuwa kule shakahola yapo?

Hao wa shakahola walijipeleka hivyo hao ni mazombi, lakini nyie mnakuta watu wanaishi kwenye imani zao mnaanza kulazimisha waabudu muarabu wenu, mnaanza kuchinja wasiokubaliana na uzombi wenu.
 
Nani kafurahia? Acheni ujinga kushabikia ukoloni. Huyo Israel mnamchekea siku akianza kudai na mto nile ni wake (Maana Bible inasema hivyo) mpigwe mabomu ndio akili zitawarudi

Mlisheherekea wakati Wayahudi wanachinjwa, humo walichinjwa hadi Watanzania na tulishuhudia nyuzi zenu humu mkishabikia, nasemaje, Myahudi ameshaanza kujongea, anaitwa Mosad, umeona vichwa vyenu vinavyoiwa kule, amebaki ayatollah
 
Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu.
Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia.....
=================================


Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in order to keep tabs on Yemen and the Bab al-Mandab Strait, Middle East Monitor, the Qatari state-funded news site reported on Tuesday.

According to the report, in exchange, Israel would establish relations with Somaliland, which controls northern Somalia but is not currently recognized by Israel.

Middle East Monitor noted that Somaliland is geographically strategic. It is a former British colony that borders Ethiopia, Somalia, and Djibouti. Somaliland was considered an autonomous region of Somalia that declared independence in 1991.
Hizi ni story za kwenye kahawa, Somaliland hawezi kukubali nchi yake iwe uwanja wa vita
 
Mlisheherekea wakati Wayahudi wanachinjwa, humo walichinjwa hadi Watanzania na tulishuhudia nyuzi zenu humu mkishabikia, nasemaje, Myahudi ameshaanza kujongea, anaitwa Mosad, umeona vichwa vyenu vinavyoiwa kule, amebaki ayatollah
Kelele za nini si wapige Iran?
 
Kuna tofauti ya ugomvi wa kupigania ardhi au siasa, haya yapo kote hata leo tunashuhudia kule Ukraine na Urusi.
lakini ujuha wenu mnachinja watu kisa mungu wenu ambaye hamna namna yoyote hata ya kudhihirisha uwepo wake, ikumbukwe dini yenu ni ya juzi tu, ilikuta zingine.
Kwahiyo wale wanao pigania ardhi wakifa wanafufuka tena? ugomvi ni ugomvi tu iwe wa ardhi au dini, mwisho wa siku watu wanauliwa acha justification za kitoto , kila siku tunasikia Ukraine na Russia kuwa watoto na wanawake wanauliwa
 
Somaliland ghafla kamegeuka kabinti karembo wanaume wanakagombania!

Egypt haitaki kuona kanai-favor Ethiopia ambayo inakataka; Somalia haitaki kuona kanasimama peke yake; na sasa Israel inakataka kwa udi na uvumba.

Kamkubali nani au kamkatae nani is up to her!
Kuna Puntland pia nayo inataka ijitegemee kutoka somalia
 
Kwahiyo wale wanao pigania ardhi wakifa wanafufuka tena? ugomvi ni ugomvi tu iwe wa ardhi au dini, mwisho wa siku watu wanauliwa acha justification za kitoto , kila siku tunasikia Ukraine na Russia kuwa watoto na wanawake wanauliwa

Japo sio sahihi, ila tukipigania ardhi, ni kitu kinaonakena, ni raslimali, ina mantiki maana kila mmoja anataka afaidike
Lakini wewe maskini hapo unamchinja Mwafrika maskini kama wewe kisa uliambiwa na muarabu uabudu mungu ambaye hauwezi hata ukadhihirisha uwepo wake
 
Hizi ni story za kwenye kahawa, Somaliland hawezi kukubali nchi yake iwe uwanja wa vita

Leo hii Saudi Arabia chimbuko la uzombi wenu anakula sahani moja na Israel.
 
Leo hii Saudi Arabia chimbuko la uzombi wenu anakula sahani moja na Israel.
Saudi Arabia msimamo wake huko pale pale hawezi kurejesha mahusiano na Israel mpaka Palestina iwe huru, wewe unasema Saudi Arabia labda ya Buza
 
Wamekua wakifa lakini hakuna miungu yoyote imeweza kufuta Israel, kabla ya ujio wa huyo wa kwenu walishinda miungu ya awali.
Hata wao waliambiwa kwenye kitabu chao kufuta watu wengine, kwahiyo na wengine kutaka kuwafuta ni SAWA
 
Back
Top Bottom