Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Siamini kama wataruhusiwa maana hao Somaliland ni wale wale kwenye uzombi pia.
uae ndio anamsaidia israel kuomba , uae ana mahusiano mazuri sana na somali land, sikuhizi watu wapo kimaslahi sana
Kwani morrocco si alikuwa upande wa israel kwenye six day war, ndio aliuza siri zote za mipango ya egypt na wenzake kwa israel
Duniani hapa usimuamini mtu
 
Ndio ufie Dini iliyomchukua Babu yako Utumwani?!
Mimi siangalii uafrica wangu au mabibi zangu mimi sio mbinafsi nimeamua kujiunganisha na dini tu na sio races, kwakua katika dini nitaungana na races tofauti na tutaongea na kuelewana kama tukutanapo mecca ni races
 
Farao Taharqa Mkushi
Taharqa_portrait,_Kerma_Museum.jpg
 
Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu.
Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia.....
=================================


Israel is interested in establishing a military base in northern Somalia in order to keep tabs on Yemen and the Bab al-Mandab Strait, Middle East Monitor, the Qatari state-funded news site reported on Tuesday.

According to the report, in exchange, Israel would establish relations with Somaliland, which controls northern Somalia but is not currently recognized by Israel.

Middle East Monitor noted that Somaliland is geographically strategic. It is a former British colony that borders Ethiopia, Somalia, and Djibouti. Somaliland was considered an autonomous region of Somalia that declared independence in 1991.
Uchumi wao unaruhusu hilo?....Alshaabab, Isis,Alqaeda watahamia rasmi Somaliland Ili kupambana na hao wazayuni na vibaraka wao.
 
Uchumi wao unaruhusu hilo?....Alshaabab, Isis,Alqaeda watahamia rasmi Somaliland Ili kupambana na hao wazayuni na vibaraka wao.
Sio kwamba Somaliland huwa haishambuliwi na Magaidi ukigoogle inaonyesha walishambuliwa mara moja lakini wameweza kuwadhibiti wasishambulie tena.

Mosad wanajua kuwa Somaliland ni kiboko ya Magaidi.
 
Sio kwamba Somaliland huwa haishambuliwi na Magaidi ukigoogle inaonyesha walishambuliwa mara moja lakini wameweza kuwadhibiti wasishambulie tena.

Mosad wanajua kuwa Somaliland ni kiboko ya Magaidi.
Haipo hivyo somaliland walijitenga na somalia sema hakuna nchi inaowatambua so far so hawana international recognition, minachofanyika ni kuloby kupitia mataifaa yenye nguvu ili wakukingie kifua utambulike
Israel na marekani wanatumia weakness hii kuweka base ya israel somaliland in exchange kuwa recognised kama nchi, ni kama morocco anavyoipora western sahara na mataifa makubwa yamekaa kimya kwa sababu ni puppet wao, angefanya nchi nyingine ambayo ipo tofauti na marekani ungesikia kelele dunia nzima
Unajua taleban wakati anapigana na russia ,alikuwa anapewa silaha na marekani na hakuitwa terrorist aliitwa freedom fighter
Ila marekani alivyopigana baadae na taleban baadae akageuzwa jina akaitwa terrorist
Unapoangalia haya mambo ya kimataifa uyaangalie kwa jicho pana sana toa ushabiki hutojifunza
 
Haipo hivyo somaliland walijitenga na somalia sema hakuna nchi inaowatambua
Somaliland ilipojichukulia Uhuru wake kutoka kwa Wakoloni wa Kiingereza Miaka ya 60 ilitambuliwa na Uingereza na Israel na Nchi nyingine 35.

Baadae wakajiunga na Somalia ya Kusini na kuwa Somali Republic huo Muungano wao ulifeli vibaya sana na Somaliland wakaamua kupigana na Udikteta wa Somalia kusini na na kujitenga.

Sasa hivi 🇪🇹 Ethiopia imepewa Naval Base na imeshakubaliana kuitambua na sasa Israel 🇮🇱 nayo na nasikia kuna mpango na USA 🇺🇸 nayo kupewa Base sasa hapo sijui Magaidi wa Ayatolah Houth sijui watakimbilia wapi?!😆😂
 
Somaliland ilipojichukulia Uhuru wake kutoka kwa Wakoloni wa Kiingereza Miaka ya 60 ilitambuliwa na Uingereza na Israel na Nchi nyingine 35.

Baadae wakajiunga na Somalia ya Kusini na kuwa Somali Republic huo Muungano wao ulifeli vibaya sana na Somaliland wakaamua kupigana na Udikteta wa Somalia kusini na na kujitenga.

Sasa hivi 🇪🇹 Ethiopia imepewa Naval Base na imeshakubaliana kuitambua na sasa Israel 🇮🇱 nayo na nasikia kuna mpango na USA 🇺🇸 nayo kupewa Base sasa hapo sijui Magaidi wa Ayatolah Houth sijui watakimbilia wapi?!😆😂
Yes in exchange for international recorgnition na ahadi nyingi za fedha na misaada ,wanaweza kuwapa base israel na marekani its very possible , na anayepika dili hilo ni UAE
IRan na waarabu hawajawahi kuwa marafiki tatizo linaanzia hapo, kwahiyo uae na wenzake wana hamu iran na magroup yake yatokomezwe huo ndio ukweli mchungu
Siasa za middle east ni very complex ,wote kwa sisi tunawaona ni wamoja ila wote wana maslahi tofauti sana na wapo after interest zao
 
Yes in exchange for international recorgnition na ahadi nyingi za fedha na misaada ,wanaweza kuwapa base israel na marekani its very possible , na anayepika dili hilo ni UAE
IRan na waarabu hawajawahi kuwa marafiki tatizo linaanzia hapo, kwahiyo uae na wenzake wana hamu iran na magroup yake yatokomezwe
Uko sahihi kabisa Ayatolah wa Iran ndie Mzizi wa Fitina katika eneo hilo.

Hebu angalia 🇾🇪 Yemen Nchi ya Makabila ya Kiarabu walikuwa hawana ugomvi na Mtu yeyote walikuwa kazi yao ni Kulima Kahawa Mirungi na Uvuvi na Ufugaji lakini Ayatolah kaenda kuwachonganisha na sasa wanauana wenyewe kwa wenyewe .

Dawa ni kumuondoa Ayatolah na Islamic Government yake ili Iran irejeshwe kwenye Usecular.
 
Ni wakati sasa hata AU itume fact finding mission huko Somaliland ili Nchi hiyo itambuliwe rasmi.
 
Na magaidi wengi ni wakenya walilipua waste gate wakachinja vibaya

Mtu akishajiunga kwenye huo uzombi wenu huwa hamna cha Ukenya au nini, ni majitu yasiyojua uzalendo, hata ndugu yangu wa damu akishahamia kwa hayo mavitu yenu namkana kabisa afe tu.
 
Hata makenya wengi na mazombi kama Yale lamu na kina logo

Binadamu akishajiunga kwenye huo uzombi wenu huwa hamna cha Ukenya au nini, ni majitu yasiyojua uzalendo, hata ndugu yangu wa damu akishahamia kwa hayo mavitu yenu namkana kabisa afe tu.
 
Binadamu akishajiunga kwenye huo uzombi wenu huwa hamna cha Ukenya au nini, ni majitu yasiyojua uzalendo, hata ndugu yangu wa damu akishahamia kwa hayo mavitu yenu namkana kabisa afe tu.
Acha kuyakataa mazombi ya kenya na Sasa ndo yanaikamata Kenya kila sector
 
Hii ni kwa ajili ya kupambana na magaidi wa Houthi wenye mlengo wa uislamu.
Japo sijajua imekaa vipi maana huko Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi pia.....
Jitu jeusi linafurahia mabeberu kuweka kambi ya kijeshi Afrika? Yaan unashabikia ukoloni kisa anayefanya ni Israel. No wonder nchi yenu inanika ufisadi maana hamna akili kabisa.
 
Back
Top Bottom