Israel kuweka kambi ya kijeshi Somaliland ili itumie kushambulia Houthi

Somaliland si ndio wale wale ambao wameathirika na uzombi
Somaliland wamefanikiwa kuwadhibiti Magaidi wa Alshababu na ni marafiki wa Ethiopia.
Sio Watu wenye misimamo mikali ya Kidini.
 
Wazanzibar watachie Tanganyika yetu
 
Malizia pia Palestine ni Sunni ambao ni paka na paka na Somaliland.
 
Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika
Unawaza tu au tuamini ndiyo uhalisia?
 
Waarabu wenyewe wana uhusiano na Israel wewe Mwafrika ambae hujui hata adui yako unajifanya Mujahidina.
Mimi sina interest yeyote na waisrael wala wayahud wala waarabu mimi naangalia interest za dini yangu na kizazi changu wanaogusa maslahi ya dini apo kwangu ni adui direct, kwakua na wao ni washenzi lengo lao ushoga usambae kilazima islam haiwezi kukompromise na upuuzi huo anaoutaka Marekani na zayuni hivyo hata ukiniita mujahidina it's okey and am happy
 
Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika

Israel imekuwepo hata kabla uzombi wenu haujabuniwa, leo nini kipya mtafanya kuifuta, mnauawa tu kila siku.
 
Hawajakubaliwa kuweka kambi somali land bado ,ila wameomba
 
ww mbona makanisaninwatu wanalawitiwa thus dini haikufainacvording to you mbona huachi kuwa mkristo so hata hao somaliland usiwasemee
 
Malizia pia Palestine ni Sunni ambao ni paka na paka na Somaliland.
Sikiliza, msiwe mnadandia tu discussions kama vile una recite juzuu. Hapa Makamas ambayo ni branch ya muslim brotherhood wame hijack agenda yenu na wapalestina wenu wa mchongo. Baada ya muslim brotherhood kufukuzwa Egypt, Saudi Arabia na UAE Hamas wakajichanganya na Iran na Hezbollah ambao wote ni SHIA. hivyo Hamas katika macho ya Sunni wengi wa Mashariki ya Kati amekuwa ni adui.
 
Wanataka kuimaliza somalia, hao saudia mavi kitambaani kwa kuwa watumwa wa US, ikitokea hivyo makundi ya kiislam yatazidi na ndipo hali itakapochafuka zaidi, Israel hatafika muda huo itakuwa ishasambaratika
Wewe ndio hujui kabisa unachoongea, yaani Israel isambaratike kisa nini sasa..🤣🤣🤣
 
ww mbona makanisaninwatu wanalawitiwa thus dini haikufainacvording to you mbona huachi kuwa mkristo so hata hao somaliland usiwasemee
Madrassat imekufanya usijue hata kuandika.😛😛
 
Ningependa sana wailete huku ili mchakazwe, maana kunao mko sijui Kibiti, Mtwara na mumeingia mpaka Msumbiji.
Na magaidi wengi ni wakenya walilipua waste gate wakachinja vibaya
 
Siamini kama wataruhusiwa maana hao Somaliland ni wale wale kwenye uzombi pia.
Christian Ethiopia imepewa Base ya Navy pale Somaliland vipi Israel isipewe Base Somaliland ni Waislamu poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…