Ona huyu FALA anazungumza nini!!
Wewe nani kakwambia mzozo wa Israel na Palestina ni wa kidini!??
Unazidi kudhihirisha UFALA NA UPUMBAVU KICHWANI MWAKO UNAVYOZIDI KUROPOKA.
Na una ushahidi gani kama Hamas aliua wanawake na kubaka wanawake Oktoba 7!?
Je unajua chanzo cha Oktoba 7!?
Unajua nani kaanza kati ya Hamas na Israel!??
Sio unakurupuka kuandika kama umetiwa ujiti wa makalioni na kuita watu majina yasiyofaa pasi na kujua chanzo cha mzozo.
Kama angekua ameanza Hamas basi BRAZIL,SPAIN,CUBA,BELGIUM,COLOMBIA wasingevunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuwaita Israel magaidi.
Muwe munafuatilia vitu sio kuropoka tu kama mmelishwa sembe.