Israel kwafukuta. Natenyahu akabiliwa na upinzani kila kona!

Israel kwafukuta. Natenyahu akabiliwa na upinzani kila kona!

Ngamia wa biriani weye nenda msikitini ukaendelee kulishwa matango pori na ustaadh wako
Hiyo maana yake umekosa hoja.

Niliwacha kuwashangaa kondoo zamani sana.

Wajinga kondoo ndiyo waliwao.
 
Wembe ni uleule kuua magaidi na wananchi wanaowahifadhi wote , nyinyi anti-israel protests mnaongozwa na mihemko ya kiislamu mkitaka na nyie tutawaua tukiona mna dalili za ugaidi
si dhani kama unakifahamu ulichoandika
 
Ma shaa Allah, siku hizi tunapiga mandi.

Mandi ya kondoo usisikie utamu wake.
Nundu la ngamia tena lina futa kama hilo dude unalokalia ndo maana sie twapenda nundu yakhee
 
Hiyo maana yake umekosa hoja.

Niliwacha kuwashangaa kondoo zamani sana.

Wajinga kondoo ndiyo waliwao.
Aah mwenye hoja ni yule ambae anadandia vumbuzi za makafiri na kuzipeleka kwa allah wake, yani kuiba nyota hamjatosheka mmeanza hadi kuwaiba wakina chatgpt
 
Netanyau atang'oka muda sio mrefu.

Vinginevyo watamng' oa kama walivyo fanya kwa YITZHAK RABIN.
 
Haya ndiyo yanayomsibu Natenyahu huko Israel.

View attachment 3144754

Zipo gharama za kulipa kwa kutokuwasikiliza wananchi ambapo madaraka ni dhamana tu.

View attachment 3144752

Wenye nchi wananchi.

View attachment 3144753

Mara zote wasio busara hukumbuka wakiwa wamekwisha chelewa mno!
Mtasubiri sana! Ndiyo kwanza njia ya kuwamaliza magaidi wa Kiislamu inasafishwa. Huku yuko Trump na pale Wizara ya Ulinzi yupo Israel Katz, mwamba yule hana mchezo ni lazima total victory. Na Trump ameisha mwambia Netanyahu kuwa mm utawala wangu ni wa kumaliza vita zote Duniani na wala siyo kuanzisha vita. Hivyo hakikisha unazimaliza hizi vita kabla mm sijaapishwa. Yaani complete your victory now. Ili iwe rahisi kwa Trump kuumaliza mgogoro wa Ukraine na Russia kwa majadiliano. Kaeni mkao wa kunyolewa
 
Nundu la ngamia tena lina futa kama hilo dude unalokalia ndo maana sie twapenda nundu yakhee
Unafahamu hii aya inasema nini:

Qur'an 9:67. Wanaume wanaafiki na wanawake wanaafiki, wote ni hali moja. Huamrisha maovu na huyakataza mema, na huifumba mikono yao. Wamemsahau Mwenyezi Mungu, basi na Yeye pia amewasahau. Hakika wanaafiki ndio wapotofu. 67
 
Kiasi unaweza usielewe ila ni kwamba hizo familia zimechoka kuona makumi ya ndugu zao wanaokufa kila siku ba Hezbollah halafu serikali ina walamba lamba tu huku familia yake kaifacha hukoooooooo
 
Unafahamu hii aya inasema nini:

Qur'an 9:67. Wanaume wanaafiki na wanawake wanaafiki, wote ni hali moja. Huamrisha maovu na huyakataza mema, na huifumba mikono yao. Wamemsahau Mwenyezi Mungu, basi na Yeye pia amewasahau. Hakika wanaafiki ndio wapotofu. 67
Sikitambui
images (34).jpeg
 
Sikitambui


Kutoluwa Muislam ni kujikosesha maisha mema yasiyo na kiza.

Tazama unabyohangaika kupekuwa mitandao kusambaza chuki za kijinga, yote sababu yake nini?

Huujuwi tu Uislam na umesomea ujinga.
 
Kutoluwa Muislam ni kujikosesha maisha mema yasiyo na kiza.

Tazama unabyohangaika kupekuwa mitandao kusambaza chuki za kijinga, yote sababu yake nini?

Huujuwi tu Uislam na umesomea ujinga.
Netanyahu akbaaaar......Trump akbaaar
 
Netanyahu akbaaaar......Trump akbaaar
Ngoja nikuulize kidogo. Nahisi kuwa u kijana mdogo, au nimekosea?

Hivi wewe ni wa imani ipi? Nifahamishe maana nimependa hiyo slogan yako ya "Netanyahu Akbar na Trump Akbar".
 
Ngoja nikuulize kidogo. Nahisi kuwa u kijana mdogo, au nimekosea?

Hivi wewe ni wa imani ipi? Nifahamishe maana nimependa hiyo slogan yako ya "Netanyahu Akbar na Trump Akbar".
Imani yangu shakazulustan
25fdbf42f9dadcb089d71512ea28493ceb11bb14.jpeg
 
Back
Top Bottom