Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

🚨🇵🇸 KESI YA ICJ ISRAEL - MASHAMBULIZI GAZA NI YA KUTISHA KULIKO UTAWALA WA UBAGUZI

Mwakilishi wa Afrika Kusini:

"Ghasia na mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza ni kinyume na sheria za kimataifa. Mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza ni ya kutisha kuliko utawala wa kibaguzi.

Wananchi wa Palestina lazima waruhusiwe kutumia haki yao ya kujitawala. Kinachofanywa na Israel kinazidisha hali ya Wapalestina na kuwafanya kuwa mbaya zaidi. Wapalestina huko Gaza wanaishi katika eneo lililotengwa na lisilo na umoja na wanazingirwa na vikosi vya Israeli.

Uchokozi katika Ukanda wa Gaza unakiuka haki ya kuishi, na Israel lazima iwajibike kwa matendo yake. Israel ilifanya uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya watu wa Palestina, ambao ni mauaji ya halaiki. Wapalestina wanakabiliwa na kizuizini kinyume cha sheria kinachoitwa kizuizini cha utawala.

Jumuiya ya kimataifa kwa ujumla lazima iandae taratibu za kuheshimu haki ya kujitawala ya watu wa Palestina. Unyakuzi wa Israel wa ardhi za Wapalestina kwa nguvu ni kinyume cha sheria na ni uchokozi.

Tunatoa wito wa kuondolewa kwa jeshi la Israel kutoka maeneo ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa sababu inakiuka sheria za kimataifa. Hatua zinazochukuliwa na Israel zinazuia haki ya Wapalestina kujitawala.

Israel lazima ifuate sheria za kimataifa, haswa sheria za kibinadamu, katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu. Kuendelea kwa Israel kujenga vitongoji vya walowezi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ukiukaji wa Mkataba wa Geneva."

Chanzo: Al Jazeera
MAGAIDI wa Hamas walishakataa two state solution.
Magaidi wa Hamas walipovamia 7/10 walitaka Israel wakimbilie wapi zaidi ya kujilinda kwa gharama yeyote?
Al Jazeera ndi hao hao HAMAS.
Waandishi wao wamehusika pakubwa 7/10 Kizz But.
Al Jazeera wao wanaripo vifo vya watoto na wanawake tu, as if hakuna mwanaume anayeuawa.
 
Israel,nchi yenye serekali na utawala,inakwenda shindana na raia wa kawaida.
HAMAS ni raia wa Kawaida?
1. Misri ingwafungia mipaka?
2. Jordan, Saudi Arabia, Lebanon , Syria zingewafungia mipaka?
3.Kwa taarifa yako WAARABU. NI WANAFK kuliko unafki wenyewe.
ISLAMI JIHAD, HEZBULAN, ISLAMI PATRIOT wote wanajifanya wanaunga mkono nMagaii ya kislamu ya Palestina lakini hawaruhusu wapalestina kukimbilia huko isipokuwa MAKAFIRI wa USA, CANADA, UJERUMANI , UK na Italy ndio wanawakaribisha WAPAELSTINA.

Unaita raia wa kawada hizo tunnels wamejenga IRAN, URUSI NA KOREA KASKAZINI.

#Endelea kupata habai zako kutoka TBC ya Palestina [AL JAZEERA.
]
 
BREAKING: SAUDI ARABIA SPEAK OUT IN THE ICJ AGAINST ISRAELI WAR CRIMES

“The Israeli occupation of the Palestinian territories over 5 decades led to the most heinous crimes

The current situation in the Gaza Strip is horrific and Israel continues to violate its international duties.”
 
MAGAIDI wa Hamas walishakataa two state solution.
Magaidi wa Hamas walipovamia 7/10 walitaka Israel wakimbilie wapi zaidi ya kujilinda kwa gharama yeyote?
Al Jazeera ndi hao hao HAMAS.
Waandishi wao wamehusika pakubwa 7/10 Kizz But.
Al Jazeera wao wanaripo vifo vya watoto na wanawake tu, as if hakuna mwanaume anayeuawa.
Umesahau South Africa ni Makao Makuu ya Hamas.
 
HAMAS ni raia wa Kawaida?
1. Misri ingwafungia mipaka?
2. Jordan, Saudi Arabia, Lebanon , Syria zingewafungia mipaka?
3.Kwa taarifa yako WAARABU. NI WANAFK kuliko unafki wenyewe.
ISLAMI JIHAD, HEZBULAN, ISLAMI PATRIOT wote wanajifanya wanaunga mkono nMagaii ya kislamu ya Palestina lakini hawaruhusu wapalestina kukimbilia huko isipokuwa MAKAFIRI wa USA, CANADA, UJERUMANI , UK na Italy ndio wanawakaribisha WAPAELSTINA.

Unaita raia wa kawada hizo tunnels wamejenga IRAN, URUSI NA KOREA KASKAZINI.

#Endelea kupata habai zako kutoka TBC ya Palestina [AL JAZEERA.]
Acha porojo za vijiwe vya mbege.

Jordan's King Abdullah II gave a similar message a day earlier, saying, “No refugees in Jordan, no refugees in Egypt.” Their refusal is rooted in fear that Israel wants to force a permanent expulsion of Palestinians into their countries and nullify Palestinian demands for statehood.

Hata ufahamu lolote kuhusu Mashariki ya kati.
 
Acha porojo za vijiwe vya mbege.

Jordan's King Abdullah II gave a similar message a day earlier, saying, “No refugees in Jordan, no refugees in Egypt.” Their refusal is rooted in fear that Israel wants to force a permanent expulsion of Palestinians into their countries and nullify Palestinian demands for statehood.

Hata ufahamu lolote kuhusu Mashariki ya kati.
Kwahiyo wanafungiwa kama Panya bandani wafie hapo?
Wangekuwa hawataki kukimbia si wangewatia hao magaidi wa kislamu huo mapangoni?
Maandamano ya waislamu waliokirimiwa na wakristu wa kizungu huko Canada, US na Ufaransa si wangekimbilia nchi za kiarabu au waarabu wangeandamana hizo nchi zisiwapokee wapalestina?

#Muda utasema, wewe endelea kutetea wauaji.
 
Umesahau South Africa ni Makao Makuu ya Hamas.
HAMAS,Urusi mna Korea Kaskazini wanaitumia South , watakuja kujuta kwa ujinga wao kwakuwa "Israel imeapa yaliyotokea 7-10 yatajutiwa kwa miaka na mikaka!
 
BREAKING: SAUDI ARABIA SPEAK OUT IN THE ICJ AGAINST ISRAELI WAR CRIMES

“The Israeli occupation of the Palestinian territories over 5 decades led to the most heinous crimes

The current situation in the Gaza Strip is horrific and Israel continues to violate its international duties.”
So , Should Israel remove its holly IDF and leave his people under captivity of Islamic jihad and HAMAS?
 
Kazi unayo wewe kushinda JF huku unaumwa UTI sugu.
Wamekosa kazi. Mpaka leo Israel bado inashikilia eneo la Golani, UN imeshindwa kupeleka vikosi ili IDF waondoke, sembuse miji ya Israel eti ichukuliwe na kupewa hamas? Israel hawezi kukubali mwenyewe nguvu atapeleka jeshi ili linateketea middle East.
 
Wamekosa kazi. Mpaka leo Israel bado inashikilia eneo la Golani, UN imeshindwa kupeleka vikosi ili IDF waondoke, sembuse miji ya Israel eti ichukuliwe na kupewa hamas? Israel hawezi kukubali mwenyewe nguvu atapeleka jeshi ili linateketea middle East.
Kuna kitu inaitwa FANTASY, watu hawataki ku -reason.
Namuuliza mtu, vaaa viatu vya waziri mkuu wa Israel , umevamiwa, mke anabakwa kwa zamu mbele ya mume na watoto wake. Mke anachinjwa, watoto wanachinjwa na baba anapigwa risasi huku magaidi ya ki-HAMAS yakimuita "mungu wa" kwa jina wanalojua, utafanyaje?
!. Kaa kimya.
2. Kimbia .
3. Waomba msamaha waliokubakia raia na kuua 1200.
4. Lipiza kisasi, na kufuta kabisa wauaji?
 
Kwahiyo wanafungiwa kama Panya bandani wafie hapo?
Wangekuwa hawataki kukimbia si wangewatia hao magaidi wa kislamu huo mapangoni?
Maandamano ya waislamu waliokirimiwa na wakristu wa kizungu huko Canada, US na Ufaransa si wangekimbilia nchi za kiarabu au waarabu wangeandamana hizo nchi zisiwapokee wapalestina?

#Muda utasema, wewe endelea kutetea wauaji.
Naibu Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Petra De Sutter, alisema Ubelgiji imeingilia kati kesi ya ICJ kuhusu kuikalia kwa mabavu Palestina kwa Israel. Alisisitiza umuhimu kwa Israeli kusitisha shughuli zote za makazi, kutoa fidia, na kuhakikisha kutorudiwa.
 
Hivi ICJ wanasimulia tu stori au wanaongea kwa vifungu vya sheria kuonesha ni wapi Israel wamekeuka sheria? Make naona mtoa mada anatoa taarifa kama masimulizi tu bila kusema vifungu gani zimekiukwa na Israel!
 
Israel definitively banned from the African Union
African Union says Israel’s observer status suspended
Au badala ya kushugulikia na Mambo yao ya migogoro ya Sudan na drc inajipendekeza kwenye Mambo yasiyowahusu
 
Naibu Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Petra De Sutter, alisema Ubelgiji imeingilia kati kesi ya ICJ kuhusu kuikalia kwa mabavu Palestina kwa Israel. Alisisitiza umuhimu kwa Israeli kusitisha shughuli zote za makazi, kutoa fidia, na kuhakikisha kutorudiwa.
Vyema sana, anze na hao panya waliojificha ardhini , waliobaka na kuua, waliobaka mabinti mble ya wazaziwao. Hao panya walipe, walipe gharama na trauma alafu waachie mateka 200 ndio sasa waje mezano.
Panya hao hao walipe watanzania 2 walio waua. Walipe familia zao na Tanzania.
Baada ya hapo Israel itakaa mezani na hao PANYA vinginevyo wanafutwa kwenye uso wa dunia watabaki WAPALESTINA wasafi na si hao panya.
Panya wakisha sasa inafuata wanaoshabikia panya.
 
Vyema sana, anze na hao panya waliojificha ardhini , waliobaka na kuua, waliobaka mabinti mble ya wazaziwao. Hao panya walipe, walipe gharama na trauma alafu waachie mateka 200 ndio sasa waje mezano.
Panya hao hao walipe watanzania 2 walio waua. Walipe familia zao na Tanzania.
Baada ya hapo Israel itakaa mezani na hao PANYA vinginevyo wanafutwa kwenye uso wa dunia watabaki WAPALESTINA wasafi na si hao panya.
Panya wakisha sasa inafuata wanaoshabikia panya.
Hizo propanga hata Israel wenyewe wameishachana nazo baada ya kuombwa ushahidi, Biden, aliulizwa kuna ushahidi hata binti mmoja kajitokeza kasema kabakwa Biden akajibu mimi sijui waulize Israel😂 wamebakia mapunguani tu Waisrael weusi wa Uyole ndiyo wanahangaika nazo.

 
Hizo propanga hata Israel wenyewe wameishachana nazo baada ya kuombwa ushahidi, Biden, aliulizwa kuna ushahidi hata binti mmoja kajitokeza kasema kabakwa Biden akajibu mimi sijui waulize Israel😂 wamebakia mapunguani tu Waisrael weusi wa Uyole ndiyo wanahangaika nazo.
aloo! Long walk for freedom ndio hii sasa!

wewe sikushangai maana Biden si myahudi wala si rais wa Israel so alikuwa sawa kujibu hivyo.
Pili, kama Watanzania mashabiki wa magaidi ya kiislamu mmethubutu kusema watanzani wenzenu wawili hawajauliwa na hamas na ile clip ni. uongo seuze jambo la wayahudi kubakwa na kuchinjwa hadharani mtakubali?

nikujuze tu, mpaka jana walikuwa wamekufa wapalestina 30,000 , wasipoachia mateka Israel itaendelea tu, hayo maazimio ya UNGA's sijui resolution 2027 yatapigwa chini kwa turufu ya USA kama vile ambavyo Russia huwa inapinga kabisa any resolution ya Israel kujilinda.
Denmark anatoa ndege na drones kwa Israel kujilinda.
Endeleeni na ushabiki.
 
Wanakumbi.

🚨🇮🇱ISRAEL KWENYE KESI YA ICJ - NCHI 52 KUTOA USHUHUDA KUANZIA FEB 19-26

Kesi za ICJ zitaendelea hadi Februari 26. Baadaye, majaji wanatarajiwa kuchukua miezi kadhaa kujadili kabla ya kutoa maoni ya ushauri.

Kikumbusho: Hata iwe uamuzi gani, ni juu ya nchi kote ulimwenguni kutunga "matokeo" yoyote ambayo mahakama itaamua, ikiwa yapo.

Chanzo: Al Jazeera


View: https://x.com/marionawfal/status/1759495060087837058?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Up date…
========================
BREAKING: MWAKILISHI WA AFRIKA KUSINI KWENYE ICJ KUHUSU UHALIFU WA ISRAEL

"Makazi yote lazima yavunjwe na suluhisho la serikali mbili kutekelezwa."

"Israel inakiuka sana sheria za kimataifa na lazima ikomeshwe."

"Ghasia za Israel na mashambulizi dhidi ya Gaza ni kinyume na sheria za kimataifa

Mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza ni ya kutisha kuliko utawala wa kibaguzi

Wananchi wa Palestina lazima waruhusiwe kutumia haki yao ya kujitawala

Kinachofanywa na Israel kinazidisha hali ya Wapalestina na kuwafanya kuwa mbaya zaidi

Wapalestina huko Gaza wanaishi katika eneo lililotengwa na lisilo na umoja na wanazingirwa na vikosi vya Israeli.

Uvamizi wa Ukanda wa Gaza unakiuka haki za kuishi, na Israel lazima iwajibike kwa matendo yake.

Israel ilifanya uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya watu wa Palestina, ambao ni mauaji ya halaiki

Wapalestina wanakabiliwa na kizuizini kinyume cha sheria kinachoitwa kizuizini cha utawala

Jumuiya ya kimataifa kwa ujumla lazima iandae taratibu za kuheshimu haki ya kujitawala ya watu wa Palestina

Unyakuzi wa Israel wa ardhi za Wapalestina kwa nguvu ni kinyume cha sheria na ni uchokozi

Tunatoa wito wa kuondolewa kwa jeshi la Israel katika maeneo ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa sababu inakiuka sheria za kimataifa.

Hatua zinazochukuliwa na Israel zinazuia haki ya Wapalestina kujitawala

Israel lazima ifuate sheria za kimataifa, haswa sheria za kibinadamu, katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Kuendelea kwa Israel kujenga vitongoji vya walowezi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ukiukaji wa Mkataba wa Geneva.

we bwege si uhamie huko Palestina ndio ujue km hujui maana watakuwa wanakuita nyani. Eti waislamu ni ndugu zetu. Mwarabu ni mwarabu, tena ni kiumbe katili sana, sema tu uwezo wao ni mdogo kuliko muisraeli. Nani aliwatuma hao HAMAS kuvamia ISRAELI mwaka jana mwezi wa 10? Hao washenzi watamalizwa
 
we bwege si uhamie huko Palestina ndio ujue km hujui maana watakuwa wanakuita nyani. Eti waislamu ni ndugu zetu. Mwarabu ni mwarabu, tena ni kiumbe katili sana, sema tu uwezo wao ni mdogo kuliko muisraeli. Nani aliwatuma hao HAMAS kuvamia ISRAELI mwaka jana mwezi wa 10? Hao washenzi watamalizwa
Wapalestina wametuulia Watanzania wawili, jamaa wamejitetea mpaka mwisho na wakauliwa kwa kupigwa risasi nyingi alafu panya buku kutoka Tanzania wanawatetea eti walikuwa kwenye jeshi la Israel wakati wanajua exchange program ya SUA na vyuo Israel.

Mijitu ni mibaguzi inaita binadamu wenzao KAFIRI alafu bado mpo nayo tu.
Hivi kweli hata kama mwenzako anabudu shetani na wewe unaamini unamwabudu mungu si umshawishi kumuhutu nduguyo amuamini mungu badala ya kumuhukumu kwa majina ya mashetani "kafiri"?

Hawa jamaa huwaga hawana akili, sijui wanawaza nini?
 
Back
Top Bottom