Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

Israel kwenye kesi ya ICJ - nchi 52 kutoa ushahidi kuanzia Feb 19-26

Tuliaminishwa humu HAMASI anashinda vita za mtaa kwa mtaa tena mwanzoni ile 7 Oct 2023 tuliambiwa safari hii Mazayuni wakae mkao wa kula na wakijaribu tu kuvamia nchi za Kiislam zitawapiga nje ndani.
Mwisho matokeo
1. Angalau sifa kwa Hezibullah wa Lebanon
2. Houthi wa Yemen.
3. South Africa judges
Na sasa nchi 52 na mashiriki 3 ya kimataifa yanalia . Hawa Jews HATARI sana na HAWASIKILIZI yaani kama mtu hawaelewi hawa asome historia.
Hawa wanajielewa wenyewe na dunia ikikaza sana kuwahukumu hata wale wapinzani ndani ya nchi wanageuka wanakuwa kitu kimoja.
Hakuna cha Iran wala nani wanahofia wala USA labda tu watu hatujui ile Federal Reserve Bank ya USA ni private bank na inamilikiwa na Jews wa Rothchild family
Nimeshangaa sana tunafuata mkumbo eti AU( umoja wa Afrika ) uko kule kutetea haki za wapalestina huku DRC hakukaliki, Somalia na umaskini wa kutupwa wa bara zima Trump alikuwa sahihi kusema bado tubahitajika tutawaliwe ili kusaidiwa . Sasa hivi nchi za afrika zinagombaniwa na USA, Russia na China nani afanye koloni lake la kiuchumi na viongozi wote wa afrika na suit zao hawaoni hili. Shame on us.
Eti south afrika analinganisha kinachofanyika Gaza sawa na apartheid sio kweli. Mzungu alivamia south na kubagua waafrika lkn kule Israel- Palestina . Wote ni eneo lao achana na mawazo eti Israel ilianza 1948 kabla ya hapo ilikuwa wapi?. Kile kinaendelea ni upuuzi wa ideology za ki zion na islamic ambazo zinaona kila mmoja imani yake ndio ina Mungu.
Lakini kile kimefanyika 7 Oct ni muendelezo wa Wapalestina wakijaribu kujiweka huru.
Lakini pia kile kinaendelea Gaza ni kujaribu kujilinda kwa Israel na tukio la 7 Oct na mbaya zaidi Hamasi wanatumia ngao za raia kujikinga.
Kifupi acheni watwangane tu na imani zao mbovu juu ya Mungu
 
Tuliaminishwa humu HAMASI anashinda vita za mtaa kwa mtaa tena mwanzoni ile 7 Oct 2023 tuliambiwa safari hii Mazayuni wakae mkao wa kula na wakijaribu tu kuvamia nchi za Kiislam zitawapiga nje ndani.
Mwisho matokeo
1. Angalau sifa kwa Hezibullah wa Lebanon
2. Houthi wa Yemen.
3. South Africa judges
Na sasa nchi 52 na mashiriki 3 ya kimataifa yanalia . Hawa Jews HATARI sana na HAWASIKILIZI yaani kama mtu hawaelewi hawa asome historia.
Hawa wanajielewa wenyewe na dunia ikikaza sana kuwahukumu hata wale wapinzani ndani ya nchi wanageuka wanakuwa kitu kimoja.
Hakuna cha Iran wala nani wanahofia wala USA labda tu watu hatujui ile Federal Reserve Bank ya USA ni private bank na inamilikiwa na Jews wa Rothchild family
Nimeshangaa sana tunafuata mkumbo eti AU( umoja wa Afrika ) uko kule kutetea haki za wapalestina huku DRC hakukaliki, Somalia na umaskini wa kutupwa wa bara zima Trump alikuwa sahihi kusema bado tubahitajika tutawaliwe ili kusaidiwa . Sasa hivi nchi za afrika zinagombaniwa na USA, Russia na China nani afanye koloni lake la kiuchumi na viongozi wote wa afrika na suit zao hawaoni hili. Shame on us.
Eti south afrika analinganisha kinachofanyika Gaza sawa na apartheid sio kweli. Mzungu alivamia south na kubagua waafrika lkn kule Israel- Palestina . Wote ni eneo lao achana na mawazo eti Israel ilianza 1948 kabla ya hapo ilikuwa wapi?. Kile kinaendelea ni upuuzi wa ideology za ki zion na islamic ambazo zinaona kila mmoja imani yake ndio ina Mungu.
Lakini kile kimefanyika 7 Oct ni muendelezo wa Wapalestina wakijaribu kujiweka huru.
Lakini pia kile kinaendelea Gaza ni kujaribu kujilinda kwa Israel na tukio la 7 Oct na mbaya zaidi Hamasi wanatumia ngao za raia kujikinga.
Kifupi acheni watwangane tu na imani zao mbovu juu ya Mungu
Israel was there for over 6000 thounds years.
Wapalestina wanasema ilianza 1948, kabla ya hapo walikuwa wapi?
 
Chanzo cha tatizo ni kwa nchi za kirabu kutotaka kuitambua Israel. Baada ya Taifa la Israel kuanzishwa na Umoja wa Mataifa, waisrael walikuwa wameconcetrate zaidi kuendeleza nchi yao hiyo mpya ambayo ilikuwa ni jangwa tupu. Palestine ilikuwa na zone tatu ikipakana na maji kwenye bahari ya Dead Sea, rasi ya Aqaba na Mediteranean; kwa vile kabla ya mgawanyo huo kulikuwa na wayahudi waliokuwa wakiishi kwenye ziwa la Galilee, basi kipande hicho pia kiliwekwa upande wa Israel. Ardhi kubwa waliyokuwa wamepewa waisrael haikuwa na rutuba ukilinganisha na ile waliyokuwa wamepewa wapalestina.
1708490614082.png



Nchi za kiarabu hazikukubaliana na mgawanyo huo zikaanza kuishambulia Israel kwa nia eti ya kuwaondoa eneo hilo ambalo lilikuwa British Protectorate wakati huo. Waarabu hawakutaka kabisa kuishi na waisrael kama majirani. Mashambuli ya kwanza yalifanywa mwaka 1948 wakati Israeli ambayo bado ilikuwa ni taifa dhaifu sana halina hata jeshi, lilijipotangazia uhuru kutoka kwa Mwingereza. Hali hiyo ilisbabisha Israel ijue kuwa wamekimbia kutoka Germany kwa Hittler lakini kumbe bado matatizo yao hayajaisha. Ndipo walipoanzisha Jeshi lao la kwanza mwaka huo huo likiwa na wanamgambo tu ambao waliweza kuteka ile sehemu ya Palestina iliyokuwa inapakana na lebanon, pamoja na sehemu ya West Bank; jambo ambalo liliongeza msuguano baina yao na wapelistina.

Baada ya mapigano hayo yaliyosababisha wapesltina kupoteza sehemu ya ardhi yao, hawakufanya uchokozi tena dhidi ya israel na kukawa na amani kidogo kwa miaka takriban 10.

Mwaka 1957, Nasser alipotaifisha mfereji wa Suezi akaifungia bandari ya Israel ujulikanayo kama Elat iliyokuwa kwenye rasi ya Aqaba na kuzuia meli zote za Uingereza kutumia mfereji wa Suez. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana kwani ndilo lililosababisha Uingereza na Ufaransa (ambao ndio walikuwa wamiliki wa Suez Canal) watoe msaada wa Kijeshi kwa Israel. Kutokana na msaada huo Israel ilipambana na Misri na kuteka sehemu kubwa ya Jangwa la sinai kuelekea mfereji wa Suez na vile vile kuiteka sehemu kubwa ya Gaza na kufungulia bandari yao ya Elat iliyokuwa kwenye rasi Aqaba kwa nguvu.

Umoja wa Mataifa ukaingilia kati na kuweka jeshi la kulinda Amani kwenye Jangwa la Sinai. Gaza ikarudishwa tena kwa Palestine. Israel ikatulia na kuanza kujijenga kama Taifa, na katika kipindi cha miaka kumi walipiga maendeleo sana ikiwa ni pamoja na kuimarisha jeshi lao la ardhini na la angani. Waliweza kujipatia ndege za kivita kama 25 pamoja na vifaru takriban 100 ndani ya muda huo mfupi wa miaka 10.

Mwaka 1967, Nasser akafanya makosa tena kwa kumobilize nchi zote za kiarabu kuivamia Israel tena kwa lengo la kuwaondoa waisrael wote (bila kuwa na plani yoyote ya wapi pa kuwapeleka). Vita hiyo ya siku sita ndiyo iliyobadili ramani yote ya israel kwa kuteka eneo lote la Gaza, Sinai, West Bank na Milima ya Golan. Kuanzia mwaka 1967, hali haijatulia tena na ramani ya palestina imebadila sana. Jitihada zilizofanywa na rais Carter za Camp David Accord ziliwezesha Jangwa la Sinai kurudishwa Misri tena lakini hazikusaidia kurudisha Ardhi ya wapelstina, na zile jitihada zilizofanywa na rais Clinton za Oslo Accord hazijawahi kuibadilisha sana ramani ya israel tena labda hadi mwaka 2005 waisraeli walipoamua kuondoka Gaza na kuirudisha kwa Palestina. Sehemu fulani ya West bank imeendelewa kukaliwa na israel japokuwa mpaka unaonyesha kuwa siyo sehemy ya Israel. Hao Masetller ndio wanaokuza msuguano kwa sasa hivi na kwa Bahati Mbaya sana Netanyahu (ambaye hakupigana vita) ana roho ya masetla tofauti kabisa na waliokuwa makamanda wa vita akina Arier Shalon na Yitzhak Rabin ambao walikuwa wanawasikiliza sana kilio cha wapelstina na kuwa wanazuia ujenzi kwenye ardhi ya wapelistina.

1708493802078.gif


Laiti Waarabu wangekubali mipaka hiyo mipya kama sisi tulivyokubali ardhi yetu ya Rwanda na Burundi kumegwa tukaanza upya baada ya Uhuru, matatizo haya yasingekuwa katika kiwango cha sasa. Waarabu waliwabagua sana waisrael ingawa mpaka muda huu kuna wapalestina ambao ni wabunge katika Bunge la Israel, ni vigumu sana kumkuta mwisrael akikubaliwa kwenye nchi za kiarabu.

Ubaguzi huzaa ubaguzi ambao ni mbaya sana katika jamii
 
Mkuu Ritz, kuhusu Israel sijui kushitakiwa hapa na pale hiyo tusahau kabisa. Wayahudi hawamsikilizi mtu au chombo chochote. Halafu USA, UK, na wengineo ni panya wanaong'ata na kupuliza usiwaamini hata kidogo ktk yale wayasemayo.
 
aloo! Long walk for freedom ndio hii sasa!

wewe sikushangai maana Biden si myahudi wala si rais wa Israel so alikuwa sawa kujibu hivyo.
Pili, kama Watanzania mashabiki wa magaidi ya kiislamu mmethubutu kusema watanzani wenzenu wawili hawajauliwa na hamas na ile clip ni. uongo seuze jambo la wayahudi kubakwa na kuchinjwa hadharani mtakubali?

nikujuze tu, mpaka jana walikuwa wamekufa wapalestina 30,000 , wasipoachia mateka Israel itaendelea tu, hayo maazimio ya UNGA's sijui resolution 2027 yatapigwa chini kwa turufu ya USA kama vile ambavyo Russia huwa inapinga kabisa any resolution ya Israel kujilinda.
Denmark anatoa ndege na drones kwa Israel kujilinda.
Endeleeni na ushabiki.
Na mimi nikujuze tu vifo kwa wapalestina kwao ni ibada ndiyo maana unaona bado wapo bega bega na Hamas hata wawamalize wote wao wanasema wanapigania haki yao asilimia 90 raia wa Palestina wamezaliwa kwenye viwanja vya vita hayo ndiyo maisha yao, wasome mabwana zako ambao wanaogopa vifo.

🇮🇱 ISRAELI MINISTER: WAR WITH LEBANON WOULD LEAVE 60% OF ISRAEL WITHOUT POWER

The Israeli Minister of Health warned a full-scale war with Lebanon could leave most of Israel in a blackout for up to 48 hours and initiated a purchase of backup generators to secure key establishments, including hospitals and government buildings.

“In the dark scenario, we will reach a situation in which a large number of Israelis will die."

Source: Al Mayadeen
 
Mkuu Ritz, kuhusu Israel sijui kushitakiwa hapa na pale hiyo tusahau kabisa. Wayahudi hawamsikilizi mtu au chombo chochote. Halafu USA, UK, na wengineo ni panya wanaong'ata na kupuliza usiwaamini hata kidogo ktk yale wayasemayo.
Tunajua hii inaifanya dunia ifahamu upuuzi na unafiki wa Mahakama hiyo waliunda hii mahakama kwa ajili ya Africa mambo yamebadilika hawaitaki tena🤣
 
Tuliaminishwa humu HAMASI anashinda vita za mtaa kwa mtaa tena mwanzoni ile 7 Oct 2023 tuliambiwa safari hii Mazayuni wakae mkao wa kula na wakijaribu tu kuvamia nchi za Kiislam zitawapiga nje ndani.
Mwisho matokeo
1. Angalau sifa kwa Hezibullah wa Lebanon
2. Houthi wa Yemen.
3. South Africa judges
Na sasa nchi 52 na mashiriki 3 ya kimataifa yanalia . Hawa Jews HATARI sana na HAWASIKILIZI yaani kama mtu hawaelewi hawa asome historia.
Hawa wanajielewa wenyewe na dunia ikikaza sana kuwahukumu hata wale wapinzani ndani ya nchi wanageuka wanakuwa kitu kimoja.
Hakuna cha Iran wala nani wanahofia wala USA labda tu watu hatujui ile Federal Reserve Bank ya USA ni private bank na inamilikiwa na Jews wa Rothchild family
Nimeshangaa sana tunafuata mkumbo eti AU( umoja wa Afrika ) uko kule kutetea haki za wapalestina huku DRC hakukaliki, Somalia na umaskini wa kutupwa wa bara zima Trump alikuwa sahihi kusema bado tubahitajika tutawaliwe ili kusaidiwa . Sasa hivi nchi za afrika zinagombaniwa na USA, Russia na China nani afanye koloni lake la kiuchumi na viongozi wote wa afrika na suit zao hawaoni hili. Shame on us.
Eti south afrika analinganisha kinachofanyika Gaza sawa na apartheid sio kweli. Mzungu alivamia south na kubagua waafrika lkn kule Israel- Palestina . Wote ni eneo lao achana na mawazo eti Israel ilianza 1948 kabla ya hapo ilikuwa wapi?. Kile kinaendelea ni upuuzi wa ideology za ki zion na islamic ambazo zinaona kila mmoja imani yake ndio ina Mungu.
Lakini kile kimefanyika 7 Oct ni muendelezo wa Wapalestina wakijaribu kujiweka huru.
Lakini pia kile kinaendelea Gaza ni kujaribu kujilinda kwa Israel na tukio la 7 Oct na mbaya zaidi Hamasi wanatumia ngao za raia kujikinga.
Kifupi acheni watwangane tu na imani zao mbovu juu ya Mungu
Cuba inawasilisha kwa ICJ asubuhi hii kwamba ukiukaji wa Israel wa haki za Wapalestina unazidi ule wa ubaguzi wa rangi, na unajumuisha jaribio la kuwaangamiza Wapalestina, na kufikia mauaji ya kimbari.
 
Na mimi nikujuze tu vifo kwa wapalestina kwao ni ibada ndiyo maana unaona bado wapo bega bega na Hamas hata wawamalize wote wao wanasema wanapigania haki yao asilimia 90 raia wa Palestina wamezaliwa kwenye viwanja vya vita hayo ndiyo maisha yao, wasome mabwana zako ambao wanaogopa vifo.

🇮🇱 ISRAELI MINISTER: WAR WITH LEBANON WOULD LEAVE 60% OF ISRAEL WITHOUT POWER

The Israeli Minister of Health warned a full-scale war with Lebanon could leave most of Israel in a blackout for up to 48 hours and initiated a purchase of backup generators to secure key establishments, including hospitals and government buildings.

“In the dark scenario, we will reach a situation in which a large number of Israelis will die."

Source: Al Mayadeen
Hii source ni ya wapi? Sio kwa nia mbaya lkn.
 
Hii source ni ya wapi? Sio kwa nia mbaya lkn.
BREAKING: CUBA ASEMA USA INAWAJIBIKA KWA MAUAJI YA KIMBARI YA ISRAEL

"Marekani inahusika na mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Palestina."

"Sisi na wewe tunabeba jukumu la kimaadili la kujitangaza kwa njia ya wazi na ya uwazi juu ya hali ya aibu ya watu wa Palestina.

Ukaliaji wa Israel katika ardhi za Palestina ni kitendo kisicho sahihi cha kimataifa, ambacho kuchochewa kwake kinasisitiza wajibu wa utawala unaokalia kwa mabavu na jumuiya ya kimataifa.

Ilikubaliwa na Azimio namba 242 kwamba majeshi ya Israel yangeondoka katika maeneo ya 1967, lakini haikuwa hivyo. Watu wa Palestina wana haki isiyoweza kuondolewa ya kuamua hatima yao ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
 
BREAKING: CUBA ASEMA USA INAWAJIBIKA KWA MAUAJI YA KIMBARI YA ISRAEL

"Marekani inahusika na mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Palestina."

"Sisi na wewe tunabeba jukumu la kimaadili la kujitangaza kwa njia ya wazi na ya uwazi juu ya hali ya aibu ya watu wa Palestina.

Ukaliaji wa Israel katika ardhi za Palestina ni kitendo kisicho sahihi cha kimataifa, ambacho kuchochewa kwake kinasisitiza wajibu wa utawala unaokalia kwa mabavu na jumuiya ya kimataifa.

Ilikubaliwa na Azimio namba 242 kwamba majeshi ya Israel yangeondoka katika maeneo ya 1967, lakini haikuwa hivyo. Watu wa Palestina wana haki isiyoweza kuondolewa ya kuamua hatima yao ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Swali eneo la Wapalestina miaka ya 1945 kabla ya 1948 lilikuwa wapi na kiasi gani?
 
BREAKING: MWAKILISHI WA UAE LANA NUSSEIBEH ALITOA HOJA IFUATAYO KWA ICJ KUHUSU UHALIFU WA ISRAEL

"Sheria ya kimataifa haiwezi kuwa menyu ya la carte. Ni lazima itumike kwa usawa kwa wote, na ni muhimu zaidi katika kivuli kirefu cha swali la Wapalestina na ukosefu wa haki ambao umedumu kwa zaidi ya miongo saba."

UAE inaamini njia pekee ya "amani ya haki na ya kudumu ni kupitia utimilifu wa haki iliyonyimwa kwa muda mrefu ya watu wa Palestina ya kujitawala na Palestina huru na huru kwa msingi wa mipaka ya 1967 na Jerusalem Mashariki kama mji mkuu wake", Nusseibeh. aliongeza.

“Kiwango cha mateso ya binadamu kwa watu wa Gaza kiko katika kiwango ambacho hakionekani sana katika historia ya binadamu. Israel imeweka sera ya adhabu ya pamoja kwa watu wa Palestina," alisema.

Mwaka jana ulikuwa mwaka mbaya zaidi kwa Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kiwango cha juu zaidi cha ghasia za walowezi zilizorekodiwa na UN.

“Ninaibua matukio haya ya hivi majuzi ili kusisitiza kwamba ukiukwaji wa msingi wa maswali yaliyoulizwa na Mkutano Mkuu hauko sawa. Baada ya miongo kadhaa ya ukatili wa kudhoofisha utu, kupokonywa mali na kukata tamaa, uvunjaji unaotokana na uvamizi wa Israel unazidi kuwa mbaya kwa kasi ya kutisha,” alisema.

Mjumbe wa UAE pia alisisitiza tabia ya kipekee ya jiji la Jerusalem "imesababisha majukumu mahususi ya kisheria ikiwa ni pamoja na hakikisho maalum la ufikiaji".

"Israeli, katika makubaliano na Jordan na na Holy See, imejitolea kwa hali ya kihistoria na uhuru wa kufikia mahali patakatifu huko Yerusalemu" anasema.

"Kwa hivyo inasikitisha sana kwamba Israeli imechukua, na inaendelea kuchukua, hatua ambazo zinadhoofisha tabia maalum ya Yerusalemu na kufuta urithi wake wa kitamaduni."

Israel, anasema, inakiuka wajibu wake kwa "kuingilia mara kwa mara maeneo matakatifu na kuzuia uhuru wa kuyafikia".

Tangu kuanza kwa utawala wa Israel mwaka 1967, anaongeza, "Waislamu na Wakristo wamezuiwa kuabudu katika maeneo yao matakatifu".

Israel lazima ikomeshe mzingiro wake wa Gaza, kuruhusu msaada na kusimamisha uhamisho wa nguvu wa wakazi wa Palestina. "Katika hali ya vitendo, ni lazima kumaanisha kusitisha mapigano," alisema.

Israel lazima ivunje makaazi ya walowezi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kuzuia vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na walowezi.

Mataifa lazima yashirikiane kukomesha uvunjaji wa Israel.

"Utawala wa Israel wa Jerusalem Mashariki unajumuisha unyakuzi wa eneo ambalo watu wa Palestina wana haki ya kujitawala. Sheria za kimataifa hazina mashaka katika suala hili. Hatua zote za Israel zinazoathiri au kulenga kubadilisha hadhi ya Jerusalem Mashariki ni batili na hazina athari za kisheria.”

"Waisraeli na Wapalestina lazima wastawi bega kwa bega katika majimbo yao huru, yenye ustawi na usalama," alisema.


View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1760264366006419616?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Swali eneo la Wapalestina miaka ya 1945 kabla ya 1948 lilikuwa wapi na kiasi gani?
Kuna kesi inaendelea huko International Court of Justice kaulize hilo swali.
 
Kuna kesi inaendelea huko International Court of Justice kaulize hilo swali.
Huna kitu unajua zaidi ya ushabiki tu. Tuliwaambia tukio la 7 oct lingeleta majuto. Mkawa mapost commandos wa Hamas wanavyoingia israel na kuteka. Tulijua mtaishia kulia kwenye vyombo vya kimataifa.
Sio kuwa hatuwapendi wapalestina lkn namna wwanavyopigania hiyo haki yao hayo ndio matokeo.
Ngoja nile ndimu hapa kama tunda 🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Huna kitu unajua zaidi ya ushabiki tu. Tuliwaambia tukio la 7 oct lingeleta majuto. Mkawa mapost commandos wa Hamas wanavyoingia israel na kuteka. Tulijua mtaishia kulia kwenye vyombo vya kimataifa.
Sio kuwa hatuwapendi wapalestina lkn namna wwanavyopigania hiyo haki yao hayo ndio matokeo.
Ngoja nile ndimu hapa kama tunda 🏃‍♂️🏃‍♂️
Sasa wewe punguani unajua nini zaidi ya ushabiki mandazi. Mabwana zenu wapo ICJ nenda kawatetee Muisrael mweusi wa Makete😂
 
Sasa wewe punguani unajua nini zaidi ya ushabiki mandazi. Mabwana zenu wapo ICJ nenda kawatetee Muisrael mweusi wa Makete😂
Mimi muisrael wa makete😳 wee ni mplatestina wa Zinga handeni

Wataua muishe . Ila nimeona huruma hadi kutoa chanel al jazeera wanaonesha watotowanagombania uji naunga waanaweka mifukoni. Aiseee.
Suo vzr kwa kweli
 
Mimi muisrael wa makete😳 wee ni mplatestina wa Zinga handeni

Wataua muishe . Ila nimeona huruma hadi kutoa chanel al jazeera wanaonesha watotowanagombania uji naunga waanaweka mifukoni. Aiseee.
Suo vzr kwa kweli
Si mnasema hao watoto ni Hamss wanatakiwa kuuliwa,
 
Back
Top Bottom