Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

Ukiona dini unatakiwa uipambanie kwa kuuwa watu achana nayo , siungi mkono kuuwa watu kwa namna yoyote ile
 
Sasa hayo mahandaki yapo hewani?!! Vita ya urusi unaifananishaje na ya Gaza? Mrusi anajua kuwa wanajeshi wa ukraine wako wapi, sasa hao Hamas wanaonekana wako wapi?!! Eti taifa la Israel liko mwishoni hahaaaa!! Acha watoe kipondo,
Sa we kweli uko sawa kuna vita haina handanka, majeshi yote duniani yanatumia handaka we huoni Ukraine na Mrusi hawatumi handaka

Swali kuna nchi uliona Ina wache adui inapiga majumba 😂
 
Hamas, "mwana kulitafuta mwana kulipata".
Watulie na kula shubiri waliyoitengeneza wenyewe!

Vita havimalizwi kwa vita bali mazungumzo...haijalishi yatachukua miaka mingapi.
 
Moderators nawaaminia kwa ubora wa kazi zenu tokana na hii habari.
 
Hajashinda vita anapigika kila siku na anapoteza ardhi yake.. Palestine inaelekea kushinda kwani imeshakomboa miji yake yote na kuwafurusha wayahudi..
 
We unaongea kama Biden yani alicho ongea Natanyahau unakiamini kama mlivyo muamini Luke, Matthew, John na Mark kuwa Israel ni taifa teule 😂

Ukiweza nionyesha single picture watoto wa Israel wamechinjwa na Hamasi na uwacha Uislam sasa ivi, lakini na uhakika si wewe au Natanyahau mnaweza kuonyesha picture hizo.

Hamasi ni Waislam na uislam hauruhusu kuwauwa watu wasio na hatia Hamasi aliuwa wanajeshi tu tena zaidi ya 5000 ndio sababu Israel hamaki yake imeishia kuvunja majumba, hospital, misikiti na makanisa 😂

Tazama huyu mwanamke mjewish anasema nini.


View: https://youtu.be/l_Wo20pFTsg?si=jzEWpwIKfPQV8oR7
 
1. Handanka ❌.

Handaki ✅.

Ina wache ❌.

Inaacha ✅.

Ulienda shuleni kusomea ujinga?
Ndio lakini si bora mimi kuliko niamini Eti Yesu ni Mungu 😂

Au si bora kuliko niamini Israel ni taifa la Mungu 😂

Na nione kuvunja majumba na Hospital na misikiti na makanisa kuna silaha wakati hutujaona hata bunduki 😂

Israel kapigika aisay mpa anafikiria hospital ni barracks za Hamasi 😂
 
Sa we kweli uko sawa kuna vita haina handanka, majeshi yote duniani yanatumia handaka we huoni Ukraine na Mrusi hawatumi handaka

Swali kuna nchi uliona Ina wache adui inapiga majumba 😂
Mahandaki yanakuwa chini ya majumba ya watu, na misikiti?!!! Na Gaza hata mapoli siyaoni kule!!!
 
Hajashinda vita anapigika kila siku na anapoteza ardhi yake.. Palestine inaelekea kushinda kwani imeshakomboa miji yake yote na kuwafurusha wayahudi..
Shoga analilia lia America nisaidie, Joe tumepigwa sana Joe tuonee huruma, Joe yule mbwa wangu tufanye photophobia kuwa watoto wa Israel wamechinjwa 😂

Joe tuleteni silaha, Joe Hamasi katupiga kama watoto tusingizie alivamia raia pale kwenye Music festivals 😂
 
Urusi mwenyewe amevunja sana nyumba za raia wa Ukraine

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…