Basi itoshe mnapowatetea wauaji wa watoto wa kiyahudi kujifanya hamna akili, Hao wapalestina waliua watoto, wanawake kwenye kumbi za starehe,kulikuwa na silaha huko, mkapongezana sana,.kwa jina la miungu yenu. Kama msingekuwa na unafiki japo kama jembe ya mchele leo hii kwa anachowafanyia wauji wa watoto na watekaji wa watu wake ,
Angalau mgeilaani Hamasi.
Kama adui anajificha katikakati ya watu ,ikiwa ili umfikie lazima wasio na hatia wafe , basi watakufa ili adui aangamizwe.
Vivyo hivyo ikiwa adui ameweka maficho katikati ya majumba yanayokaliwa na.watu lakini yeye anakaa ardhini, lazima ,narudia lazima majumba yavunjwe ili ngome za adui zifikiwe na kubomolewa.
Kinachofanyika Gaza kwenye vita kinakubalika kabisa. Wapalestina ni wauaji lazima wasakwe kwa gharama kubwa. Amani ya muda mrefu lazima.igharamiwe