Israel na Hamas wakubali kusitisha mapigano eneo la Gaza

Israel na Hamas wakubali kusitisha mapigano eneo la Gaza

Ni shujaa aliyeleta heshima kwa waPalestina, hadi sasa sidhani kama Israel itakuja kuleta ujinga kudhani kuua Palestinians ni suluhisho katika harakati zake za ukandamizaji.

Sasa hivi Israel imeelewa manufaa ya kufanya mazungumzo kuliko kufanya vita..
Hana ushujaa wowote ule.

Hajaleta heshima yoyoye kwa Wapalestina.

Ni pimbi aliyeleta madhila kwa Wapalestina.

Alistahili kilichomkuta.

Hamas waende tena wakavamie Israel waone 🤣
 
Hana ushujaa wowote ule.

Hajaleta heshima yoyoye kwa Wapalestina.

Ni pimbi aliyeleta madhila kwa Wapalestina.

Alistahili kilichomkuta.

Hamas waende tena wakavamie Israel waone 🤣
Hadi leo baada ya miaka yote ya mapigano Blinken anasema huwezi ishinda Hamas kijeshi ujue ni matokeo ya huyo shujaa Yahya Sinwar kuacha legacy na kupigana hadi tone la mwisho la damu...

Kipindi kina Netanyahu na viongozi wenzake wapo nyuma ya ballistic glass na walinzi wamewazunguka huku wakitoa order kwa vitoto vya vya 2000s kwa kutumia simu kuwatuma waende kufia Gaza, Yahya Sinwar alikuwa mbele ameshika silaha kuipambania Palestine.

Alikuwa mbele kama mfano kwa vijana wa Hamas na Palestine wapambane hadi mwisho , wasikubali kuonewa, wawe tayari kufa kuitafuta haki yao, si katika maneno tu... bali vitendo.

Ogopa sana mtu mwenye spirit hio...
Na ndio maana nasema Sinwar hakushindwa kwenda kujificha huko walipokuwa wameficha mateka, kwan ngome ya Hamas ilikuwa bado imara... na ndio maana mamia ya mateka bado wapo hai.

Hivyo Sinwar alijitokeza akafe akipambana kama wapiganaji wengine, na alijua fika atapona ama kufa.

Shujaa Yahya Sinwar.
 
Hadi leo baada ya miaka yote ya mapigano Blinken anasema huwezi ishinda Hamas kijeshi ujue ni matokeo ya huyo shujaa Yahya Sinwar kuacha legacy na kupigana hadi tone la mwisho la damu...

Kipindi kina Netanyahu na viongozi wenzake wapo nyuma ya ballistic glass na walinzi wamewazunguka huku wakitoa order kwa vitoto vya vya 2000s kwa kutumia simu kuwatuma waende kufia Gaza, Yahya Sinwar alikuwa mbele ameshika silaha kuipambania Palestine.

Alikuwa mbele kama mfano kwa vijana wa Hamas na Palestine wapambane hadi mwisho , wasikubali kuonewa, wawe tayari kufa kuitafuta haki yao, si katika maneno tu... bali vitendo.

Ogopa sana mtu mwenye spirit hio...
Na ndio maana nasema Sinwar hakushindwa kwenda kujificha huko walipokuwa wameficha mateka, kwan ngome ya Hamas ilikuwa bado imara... na ndio maana mamia ya mateka bado wapo hai.

Hivyo Sinwar alijitokeza akafe akipambana kama wapiganaji wengine, na alijua fika atapona ama kufa.

Shujaa Yahya Sinwar.
Kama Hamas haijashindwa basi ipange tena shambulizi jingine ndani ya Israel….halafu uende ukawasaidie 😀.
 
Kama Hamas haijashindwa basi ipange tena shambulizi jingine ndani ya Israel….halafu uende ukawasaidie 😀.
Huelewi kitu kimoja, Israel haiogopeki kijeshi, imejitahidi kutumia hio mbinu imeshindwa, kipindi wameua raia 5000 Hamas haikuachia mateka, wakafika 10000>12000>15000>20000 Hamas bado wanapambana vikafika vifo vya raia 25K>30K , jamaa wapo hapo hapo Gaza hawaogopi wanaendelea ku resist na kulinda ngome, wakafika 35K>40K hapa wanafiki wa Ulaya wakaanza kujistukia na kinafiki kusema Israel inafanya genocide utasema hawakujua kabla.

Hamas bado wamo tu, Israel ikaona labda tuendelee kuwaogofya kwa kuua zaidi... hadi more than 50k, Hamas wamekataa kuachia mateka.

Kipindi hiko wameua raia zaidi ya 50K, Yemen ikaanza kutuma ballistic missiles kwenda Tel Aviv, hii inaashiria hata Houthis hawakuogopa inachofanya Israel pale Gaza huku malengo ya Israel ikiwa iogopwe...

Kuua raia Gaza si ujanja wala ushindi, Gaza haina defense yeyote, Hata Suma JKT wakipewa mizinga ya mortar wanaishambulia Gaza na kuua raia...

Israel si kitu...
 
Huelewi kitu kimoja, Israel haiogopeki kijeshi, imejitahidi kutumia hio mbinu imeshindwa, kipindi wameua raia 5000 Hamas haikuachia mateka, wakafika 10000>12000>15000>20000 Hamas bado wanapambana vikafika vifo vya raia 25K>30K , jamaa wapo hapo hapo Gaza hawaogopi wanaendelea ku resist na kulinda ngome, wakafika 35K>40K hapa wanafiki wa Ulaya wakaanza kujistukia na kinafiki kusema Israel inafanya genocide utasema hawakujua kabla.

Hamas bado wamo tu, Israel ikaona labda tuendelee kuwaogofya kwa kuua zaidi... hadi more than 50k, Hamas wamekataa kuachia mateka.

Kipindi hiko wameua raia zaidi ya 50K, Yemen ikaanza kutuma ballistic missiles kwenda Tel Aviv, hii inaashiria hata Houthis hawakuogopa inachofanya Israel pale Gaza huku malengo ya Israel ikiwa iogopwe...

Kuua raia Gaza si ujanja wala ushindi, Gaza haina defense yeyote, Hata Suma JKT wakipewa mizinga ya mortar wanaishambulia Gaza na kuua raia...

Israel si kitu...
Sawa, Israel si kitu na Hamas imeshinda.

Nendeni tena basi mkafanye mashambulizi ndani ya Israel.
 
Sawa, Israel si kitu na Hamas imeshinda.

Nendeni tena basi mkafanye mashambulizi ndani ya Israel.
tatizo nyie walamba matako ya wayahudi huwa mnadhani kuwa wayahudi ni taifa pendwa sana na Mungu. Mayahudi wazayuni ni watu waovu sana hapa dunia. Haya mambo ya kuua watu hawajaanza leo walishaua sana mitume ya Mungu hapo kabla.
 
tatizo nyie walamba matako ya wayahudi huwa mnadhani kuwa wayahudi ni taifa pendwa sana na Mungu. Mayahudi wazayuni ni watu waovu sana hapa dunia. Haya mambo ya kuua watu hawajaanza leo walishaua sana mitume ya Mungu hapo kabla.
Naam, na wawaue tu hao Hamas na ikiwezekana hata receptionist wa Kiuruwi naye auliwe tu 🤣.

Trash.
 
— 🇮🇱 NEW: Ben Gvir, Israeli Minister of Justice & leader of the 'Otzma Yehudit' ('Jewish Strength') party in Netanyahu's coalition says his party will leave the coalition once the ceasefire deal begins. He also called it a disgraceful deal and a defeat for them.

Hawa wazayuni wao wanachojua ni fujo tu now wameanza kutibuana wenyewe
 
National Security Minister Ben Gvir: If the deal goes through, we will resign from the government
 
IMG_20250116_235403_376.jpg

Ila waisrael wana matatizo sana
 
Back
Top Bottom