Israel na Hamas wakubali kusitisha mapigano eneo la Gaza

Israel na Hamas wakubali kusitisha mapigano eneo la Gaza

HAMAS alitaka kuachia awa mateka tangu mwanzo lkn kibri cha Netanyahu kimefanya mateka kibao kufa IDF kibao kufa tena vijana wadogo baada ya majanga yoteeee!! ayo ndio Netanyahu anabaini HAMAS ni fupa gumu kwa IDF kulishinda sasa kakubali yaleyale aliokataa mwanzooo! YEMEN NDIO IMECHANGIA PAKUBWA HII AMAN.!!!!
Mkuu hata mimi naona Yemen sio wa mchezo mchezo, kwa sababu kila siku ilikuwa ni hypersonic zinashuka Tel Aviv, na kusikia kwa kenge ni hadi damu zimtoke masikioni.

Houthis sio mchezo, na najua ni Iran ndiye alikuwa anapeleka hizo missiles na wataalamu, hakuna iron dome wala david sling ziliweza kuzuia missiles za Houthis...
 
Nakiri, leo ndio nimeelewa umuhimu wa mateka wa kivita.

Bila hawa mateka ingekuwa vigumu Israel kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano.
Wangefikia..
Ambacho hakisemwi na media kubwa duniani, hivi sasa kila siku Houthis wanafanya mashambulizi ya missiles za ballistic na kupiga Tel Aviv, wananchi wanaishi kwa hofu sana, juzi hapa wamerusha hypersonic, kibaya zaidi mifumo ya ulinzi ya Israel inafeli kuzuia.

Sababu nyingine uongozi wa Trump, Trump anataraji kupunguza kutoa pesa kusaidia vita za mashariki ya kati na Ukraine.

Yote na yote Netanyahu bado ana kinyongo, kakubali shingo upande.
 
HAMAS alitaka kuachia awa mateka tangu mwanzo lkn kibri cha Netanyahu kimefanya mateka kibao kufa IDF kibao kufa tena vijana wadogo baada ya majanga yoteeee!! ayo ndio Netanyahu anabaini HAMAS ni fupa gumu kwa IDF kulishinda sasa kakubali yaleyale aliokataa mwanzooo! YEMEN NDIO IMECHANGIA PAKUBWA HII AMAN.!!!!
Sheikh hapa duniani nchi za waislamu wa kweli namba moja ni yemeni, lebanon, iran, iraq na kidogo syria ya assad, hawa wa saudia na wenzake wote makafiri😂😂
 
Kiufupi duniani sasa nchi ya kiislam haswaa ni yemeni, na mashia wanajitahidi sana kuwapambania waislam wenzao ila saudia na wenzao ni makafiri tu kama mazayuni
 
Wangefikia..
Ambacho hakisemwi na media kubwa duniani, hivi sasa kila siku Houthis wanafanya mashambulizi ya missiles za ballistic na kupiga Tel Aviv, wananchi wanaishi kwa hofu sana, juzi hapa wamerusha hypersonic, kibaya zaidi mifumo ya ulinzi ya Israel inafeli kuzuia.

Sababu nyingine uongozi wa Trump, Trump anataraji kupunguza kutoa pesa kusaidia vita za mashariki ya kati na Ukraine.

Yote na yote Netanyahu bado ana kinyongo, kakubali shingo upande.
Onyesha damage iliyotokea sio unaleta porojo tu
 
Jifunze kusoma na kuelewa,

"Wachangiaji wengi'' tafsiri yake ni idadi na sio uwakilishi,mbona unakua na akili nzito kama Bata kiasi hicho?
Hiyo idadi kanzidata unatunza wewe? Au wewe ndiye mmiliki wa jf? Kwa kujipendekeza uko vizuri.
 
Nah. Wala haiko hivyo.

Israel ilikuwa inajua mateka wako wapi.

Na IDF haikushindwa kwenda kuwaokoa.

Shida ilikuwa ni dynamics za mazingira.

Israel ilikuwa inajua walipo mateka. Na ilikuwa inajua wako hai.

Sasa kujua wako wapi hao mateka na kujua wako hai, haimaanishi ndo unaenda tu kichwa kichwa kama huna akili timamu.

Lengo la Israel lilikuwa ni kuwarudisha kwa wapendwa wao hao raia wake waliotekwa na Hamas ingali wakiwa hai.

Sasa watu mnajua mateka walipo. Na mnajua Hamas wanawatumia kama leverage katika majadiliano [negotiations].

Mnajua wako chini ya Hamas. Hamas ambao wako tayari kufa kwa kujitoa mhanga.

Mnayajua yote hayo. Ndo mtaenda kichwa kichwa bila kutumia akili?

Mkifanya hivyo, lengo lenu litashindwa.

Mkivamia mahali walipo, mateka watauliwa. Na Hamas ama watajiua wenyewe au mtawaua nyinyi.

Sasa hapo mtakuwa mmefanikiwa nini katika lengo lenu la kuwarudisha mateka kwa familia zao wakiwa hai?

Kiteknolojia, na kwa msaada wa Marekani, Israel iko mbali sana.

Na Gaza ni eneo dogo.

Lakini wakati mwingine mazingira yanakuwa hayaruhusu baadhi ya operations kulingana na malengo mliyonayo.

Israel ina uwezo wa ku carpet bomb Gaza yote. Haishindwi hata kidogo kufanya hivyo.

Lakini, mtu yeyote mwenye akili hawezi kufanya hivyo huku akijua watu wake ambao bado wako hai, wapo pia kwenye hilo eneo na yeye lengo lake ni kuwapata wakiwa hai.

Israel iliyoweza kupenya katikati ya Tehran na kumuua kiongozi wa Hezbollah, haishindwi kuisafisha Gaza nzima ambayo ni eneo dogo sana.

Wangekuwa wanaweza kufanya hivo ndani ya siku huzi 400 wangekuwa washafanya ila imekuaje mpaka wamekubali ceasefire na magaidi na kurudisha mateka mkuu
 
Wametoa sharti la kuachiwa wafungwa 250 wa kipalestina waliofungwa maisha israel,hao ni Hamas ileile,lakini kuna kikao cha dunia oslo kujadili taifa huru la palestina, wakati huohuo blinken kawazodoa waisrael wasidhani palestina wataacha mapambano kwa kuuawa njia pekee ya amani ya kweli ni palestina kuwa na taifa lao,kule Qatar wanaongelea taifa la palestina,hapa washindi Hamas na bwana sinawar atajengewa sanamu palestina
Yupe ni shujaa wa kweli hapa duniani kama che Guevara
 
Onyesha damage iliyotokea sio unaleta porojo tu
Fuatilia huko Youtube na kwenye internet utaona.
Makombora yanayotoka Yemen kila siku yaacha majeruhi na mabaki yanaanguka kwenye makazi ya watu...
Na hapo Houthis wameanza taratibu , Israel ingejitia ujuaji kupiga raia Yemen, basi Houthis wangefanya hivyo..
AFP__20250114__36TP4MN__v1__HighRes__IsraelYemenPalestinianConflict.jpg
 
⚡️ The Houthis announced they will honor the agreement between Israel and Hamas, and stop launching missiles and drones toward Israel with the beginning of the ceasefire in the Gaza Strip.
🙏🙏
 
Yaan hilo ndo linalonishangaza zaidi, inaonekana Hamas walijipanga sana kabla ya kutekeleza shambulio lao kwa Israel October 7.

Halafu walivyo wasiri khs chimbo lao la mateka wa israel, nilitegemea kupitia ule mpango wao wa awali walipobadilishanaga mateka, nilijua IDF watajua mateka walikofishwa. Kumbe wapiii pamoja na technology yote hiyo ya mwisrael, duuh hawa jamaa noma
Halafu kuna nyumbu wanasema Israel walikuwa wanajua mateka walipo. Yani ujue mateka walipo halafu uingie mezani kwa majadiliano ya kusitisha vita kupitia mateka unaofahamu walipo?

Halafu sio teknolojia ya Israel pekee Mkuu, ni ushirikiano wa Israel na US Intelijensia yao imeshindwa kujua walipokuwa mateka.
 
Back
Top Bottom