Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Shukrani kwa juhudi kubwa za Serikali ya Misri.

Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.

Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.

Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.

Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.
 
Miaka yote iko hivyo Netanyahu atajiongezea approval, ataweza kuunda serikali, atashinda kesi yake dhidi ya Rushwa. Hamas watajiongezea umaarufu

Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa
 
Netanyahu atakuwa na hali mbaya maana Wazayuni wamemind walisema Netanyahu asijefikiria kabisa kuunda serikali ya muungano kama akisitisha mapigano bila kurejeshwa kwa Mateka wa Kiislaeli waliotekwa na pia walitaka Hamas aangamizwe kabisa na Gaza iwe chini ya Israel tena ili wasahau kabisa maroketi yasio na shabaha.

Alichofanikiwa Netanyahu kwa Hamas ni usitishwaji wa vita bila Masharti yeyote ya Hamas kuhusu Jerusalem ambapo ndio ilisababisha vita so Hamas chali na lengo lao.

Habari za hivi Punde Iran imetangaza Ushindi mkubwa kwa Hamas dhidi ya Israel utadhani yeye ndio alikuwa refaree
 
Netanyahu atakuwa na hali mbaya maana Wazayuni wamemind walisema Netanyahu asijefikiria kabisa kuunda serikali ya muungano kama akisitisha mapigano bila kurejeshwa kwa Mateka wa Kiislaeli waliotekwa na pia walitaka Hamas aangamizwe kabisa na Gaza iwe chini ya Israel tena ili wasahau kabisa maroketi yasio na shabaha...
Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau.
 
Netanyahu amewaogopa Wajerumani ambao wana tabia ya kusema," Sasa hayo majengo uliyoyaharibu unataka yajengwe na nani?"
Kwa sababu sasa watatembeza bakuli kuyajenga upya hayo majengo au kutoa fidia hapa na pale kwa watu walioumia.
 
Kwanini wasimchape kidogo atulie
Hawawez hata siku moja Israel kutumia nguvu kubwa kivile kwa watu wasio na hata silaha ni dalili nzur inayoonesha ni waoga Hamasa iliooneshwa na HAMAS watoto wa kipalestina na wanawake wao ni uzalendo mzuri na ipo siku IPO siku ipo siku WANYAMA haww wataanguka ktk mikono ya wanaume wa KWELI
 
Hao Wahamas kwasababu wanawashwa washwa watakuja kuanzisha uchokozi tena. Sijui hawana kazi?

Hao Misri, Jordan, Palestina na nchi zingine za kiarabu zilishamchangia Israel ikiwa bado ni nchi changa na wakapigwa wao ndani ya siku 6
Hivi 1967 ile ilikua Ni vita? Au wale wayahud fake wali wawahi kabla hawajatoka? MWAKA 1973 wayahud fake na wenyewe wali wahiwa na waarabu kilichowakuta hawaamini isingekua sifa za mwarabu Hilo Taifa lisingekuepo DUNIANI bila msaada wa RAIS NIXON mzee wa watar gate scandal wayahud fake walipelelekwa mpk bahari ya Mediterranean

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Waisraeli siyo watu wazuri. Na hawa watu wanamiliki vyombo vya habari kwa hiyo hutaona habari njema kuhusu Hamas imeandikwa.
Siyo kwamba Mwisraeli anafanya uovu,ni kwamba ile dini yake inamsukuma kuchinjachinja watu. Dini siyo religion,ni anti religion,anti thesis.
 
Back
Top Bottom