Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Shukrani kwa juhudi kubwa za Serikali ya Misri.
Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.
Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.
Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.
Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.
Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.
Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.
Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.
Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.