STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Huo ujumbe hauna tofauti na watu kama ww... huo ujumbe unanihusu nini? Am I a cow worshiper? Am I a urine drinker? Wengine wanakunywa mikojo ya ngamia anyway!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ujumbe hauna tofauti na watu kama ww... huo ujumbe unanihusu nini? Am I a cow worshiper? Am I a urine drinker? Wengine wanakunywa mikojo ya ngamia anyway!
... uko very clear and specific; kwa wanywa mikojo!Huo ujumbe hauna tofauti na watu kama ww
Hakuna fidia yoyote wa Israel kama serikali washenzi na Hamas washenzi wanatizama maslahi yao tu wanauwa watu mwisho wa siku wanaongea wanasimamisha vita mimi nawalaani pande zote mbili wanadhulumu uhai wa watu bila sababu za msingi kama mmeweza kusimamisha sasa mlishindwa nini kujizuia hasira zenu toka mwanzo. Mpaka Biden kuwa mkali kuwa wasimamishe haraka ndio wamechukuwa hatua. Haijalishi upande gani na support lakini katika hili pande zote mbili wahalifu na wauwaji.Watu waliopata madhara cjui watafidiwa ama ndo imeeisha hyo? haya maisha hayaa basi tu.
Nenda ww ukawasaidie usipige kelele humu jf haitokusaidiaNi dhambi kwa Israel kuwasikiliza hawa wahuni HAMAS.. wanachokoza then wanakimbilia kwenye makazi ya watu ili wakitwagwa mataifa yaseme Israel inaua innocent civilians.
Hawa ni wa kuwabokoa tu mwanzo mwisho, soma hapa
"Hamas, as its name (Islamic Resistance Movement) implies, aims to liberate Palestine from the Israeli occupation, and transform the country into an Islamic state. ... The movement's original charter committed it to waging an armed struggle to destroy the state of Israel."
Unaona lengo la hawa jamaa.... Hawataki kuitambua Islael kwamba ni taifa huru bali ni watu tu wavamizi wa taifa la Parestina, na wakishawapiga Islael (Kitu ambacho hawataweza) then watangaze taifa lote ni la dola ya kiislam.
Kwa Islael hiyo kazi ni ndogo kwao, hawahitaji msaada wowote toka kwa binadamu yoyote duniani!! cha msingi hao HAMAS wakae kwa adabu otherwise wataiponza nchi ya Parestina igeuke jangwa.Nenda ww ukawasaidie usipige kelele humu jf haitokusaidia
Leo wamenza kuswali kama kawaida mskiti wao Al-Aqswa, hakuna aliewazuia tofauti na 2 zilizopita na hawana haki ya kuwazia kusaliKwa Islael hiyo kazi ni ndogo kwao, hawahitaji msaada wowote toka kwa binadamu yoyote duniani!! cha msingi hao HAMAS wakae kwa adabu otherwise wataiponza nchi ya Parestina igeuke jangwa.
It is ironic kwamba Waisraeli hawataki msaada wa cow urine drinkers kwa sababu Wahindi(Gurkha Battalion) ndio walioikomboa Palestine 1917.Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako View attachment 1792662a
[emoji848][emoji848]Hii ya wahindi kukomboa Palestina ndio naisikia leoIt is ironic kwamba Waisraeli hawataki msaada wa cow urine drinkers kwa sababu Wahindi(Gurkha Battalion) ndio walioikomboa Palestine 1917.
Hajui Kama Gaza ni ovapopulatedAcha shobo shobo na roho mbaya ww, bomu linaporushwa na hao waisrael feki kina Netanyahu kwani linachagua huyu mtoto huyu au hamas?
... pamoja na lawama kwa pande zote lakini kuna kiini cha tatizo! Majambazi yakivurumisha silaha nyumbani kwako hatua ya kwanza sio kutafuta suluhu ni kupambana kuhakikisha usalama wa familia kwanza. Baada ya hapo mengine yanafuata ...Hakuna fidia yoyote wa Israel kama serikali washenzi na Hamas washenzi wanatizama maslahi yao tu wanauwa watu mwisho wa siku wanaongea wanasimamisha vita mimi nawalaani pande zote mbili wanadhulumu uhai wa watu bila sababu za msingi kama mmeweza kusimamisha sasa mlishindwa nini kujizuia hasira zenu toka mwanzo. Mpaka Biden kuwa mkali kuwa wasimamishe haraka ndio wamechukuwa hatua. Haijalishi upande gani na support lakini katika hili pande zote mbili wahalifu na wauwaji.
Wahindi wameikomboa Palestine. Haya mambo nimeyasoma sana and I am absolutely bored with this subject.[emoji848][emoji848]Hii ya wahindi kukomboa Palestina ndio naisikia leo
Hivi unakumbuka kuwa Vita ilianzia kwenye vitongji kazaa Jerusalem...HIV unajua kuwa israel kashachukua eneo Hilo, na huku ndo kinasababisha hakuna amani,. Hata mm ningepigana hebu fkiria , eneo alilopewa israel 1949 ndo hili la leo???.... wajinga kweli! Unajiuliza la maana walilopata ni lipi baada ya tafrani waliyoianzisha wenyewe? Hakuna zaidi ya maafa kwa raia wasio na hatia - wanawake na watoto!
Let me check but sikuwahi kuona history indians kutawala au kusaidia namna yyte katika nchi za kiarabu wakati ziko mikononi mwa mabeberu, ninavyojua nikuwa India imekuwa na ushawishi sana Ulaya na Marekani hasa Canada [emoji260]tokea enzi za ukoloni, ndio maana mpaka leo wako wengi nchi hizo, ila nitatafuta historia nihakikikishe zaidiWahindi wameikomboa Palestine. Haya mambo nimeyasoma sana and I am absolutely bored with this subject.
Makafiri wa kiyahudi kama kawaida yao wameshindwa tenaHivi matokeo ya vita huko Gaza ngapi ngapi vile?
Kwa Islael hiyo kazi ni ndogo kwao, hawahitaji msaada wowote toka kwa binadamu yoyote duniani!! cha msingi hao HAMAS wakae kwa adabu otherwise wataiponza nchi ya Parestina igeuke jangwa.
Hivi unakumbuka kuwa Vita ilianzia kwenye vitongji kazaa Jerusalem...HIV unajua kuwa israel kashachukua eneo Hilo, na huku ndo kinasababisha hakuna amani,. Hata mm ningepigana hebu fkiria , eneo alilopewa israel 1949 ndo hili la leo???
Fatilia historia ya Mashariki ya Kati utajua ni Nani GaidiEti wanaume wa ukweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tangu lini magaidi yakawa na akili?
HawajuiHawa wafuata mkumbo tu, wanajua kila kitu, wanafahamu israel ni mvamizi/mporaji lakini mahaba yamewazidi, na chuki kwa waislamu.