Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

... pamoja na lawama kwa pande zote lakini kuna kiini cha tatizo! Majambazi yakivurumisha silaha nyumbani kwako hatua ya kwanza sio kutafuta suluhu ni kupambana kuhakikisha usalama wa familia kwanza. Baada ya hapo mengine yanafuata ...
Hawa sio mara ya kwanza haya kutokea matatizo yapo na yanajulikana ni rahisi sisi hapa kusema na kuandika ila lazima ukatizame history nini chanzo ya haya lakini mimi hayo sitaki kuyaongelea wenyewe wanayajuwa. nacho sema hapa hawa sio mara ya kwanza na wala haitakuwa mara ya mwisho mnaanza kupigana mnauwana baada ya siku kumi mnaacha baada ya wakubwa kuwaambia ila hapo watu wamepoteza maisha. Nadhani juzi usiku mara ya kwanza kumsikia Biden sio kumuomba Nentanyau acha ila aliongea lugha ya ukali acha mara moja Israel ni nchi Hamas ni kikundi tu ndani hakina mamlaka yoyote, ndio maana Biden alikuwa mkali juzi hawa Hamas ujumbe ulipitia kwa Egypt tu.
 
Hivi kwanini Hamas mnaiita 'magaidi'? Mnatumia vigezo gani?

Je, Jeshi la Israel halina sifa ya kuitwa 'magaidi'? Based on the actions wako na tofauti gani na Al Shabab?
Marengo ya kundi na Irani zao ndio linapata sifa husika za kuitwa Magaidi.... so kuna mambo ukiyafanya yanakupa sifa za ugaidi labda tu kama unajihami pale unapotishiwa uhai au usalama wako... Hamas ni Magaidi
 
Hao Wahamas kwasababu wanawashwa washwa watakuja kuanzisha uchokozi tena. Sijui hawana kazi?

Hao Misri, Jordan, Palestina na nchi zingine za kiarabu zilishamchangia Israel ikiwa bado ni nchi changa na wakapigwa wao ndani ya siku 6
Za kuambiwa changanya na zako
 
Miaka yote iko hivyo Netanyahu atajiongezea approval, ataweza kuunda serikali, atashinda kesi yake dhidi ya Rushwa. Hamas watajiongezea umaarufu

Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa
Wakiludia saiv wapalestina kwa kichapo hiki.saiv watumie tu diplomasia tu kidai uhuru wao.
 
Marengo ya kundi na Irani zao ndio linapata sifa husika za kuitwa Magaidi.... so kuna mambo ukiyafanya yanakupa sifa za ugaidi labda tu kama unajihami pale unapotishiwa uhai au usalama wako... Hamas ni Magaidi
Well! Israel defense Forces inayoyafanya toka 1950s hayana sifa ya kuitwa ugaidi?
 
INetanyau aishukia Iran
Screenshot_20210521-172538.jpg
 
Yes,ni lazima Jerusalem iwe chini ya Israel!
Kwahiyo ngoma bado imetulia tu kwa muda.

Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa[/QUOTE]
 
... pamoja na lawama kwa pande zote lakini kuna kiini cha tatizo! Majambazi yakivurumisha silaha nyumbani kwako hatua ya kwanza sio kutafuta suluhu ni kupambana kuhakikisha usalama wa familia kwanza. Baada ya hapo mengine yanafuata ...
Ziko chanel youtube unaweza kupitia ukaona pande zote mbili hata huko Israel asilimia kubwa ni jews kutoka nchi za kiarabu Yemen, Moroco na Iraq
 
Shukrani kwa juhudi kubwa za Serikali ya Misri.

Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.

Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.

Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.

Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.
Izrael hawana tabia ya kutaja idadi halisi ya watu wao walioumizwa, kuuliwa nk., muhimu ni kusitisha vita
 
Yes,ni lazima Jerusalem iwe chini ya Israel!
Kwahiyo ngoma bado imetulia tu kwa muda.

Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa
[/QUOTE]
Huo ndio mtazamo wa makafir ulimwengu mzima na Israel lakini hawatafanikiwa., Israel wanaumizwa sana lakini hawana tabia ya kutaja idadi halisi., take my word "Taifa la Wazayuni au Israel kama lilivyokuwa kabla hakuwa na eneo la ardhi hakikisha ndivyo itakavyomaliza hivyo hivyo kutokuwa na kipande cha ardhi" hakuna nchi duniani inaitwa Israel
 
Back
Top Bottom