Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

... mafilisti wajinga sana! Walishaambiwa Yerusalemu ni ardhi "walipopumzika" manabii wa Mungu wa Yakobo sio pahala pa kuzika magaidi! Hivi kwa akili yao wanadhani kuna siku wataumiliki Mji wa Daudi?
tulia wewe huo mji hautawaliki wayahudi walitaka kujenga makazi ya walowez lakin baada ya rusha roho ya hamas wameogopa mpaka sasa israel hana sauti yoyote yerusalimu hapo ha ha ha ha hamas kiboko kudadadeki
 
Ha ha ha ha wayahudi wamekalishwa chini si walisema hakuna wa kuwazuia kuishambulia gaza ha ha ha netanyau
 
Ndiyo tatizo , wapo wahubiri wanalipwa na Israel kusema kwamba Wayahudi ni watu wa Mungu.
Lakini Wayahudi hawa,Ashkenazi Jews, siyo watoto wa Abraham.

.
 
Shukrani kwa juhudi kubwa za Serikali ya Misri.

Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.

Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.

Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.

Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.

Mpaka hapo, palestina ameshinda vita.
 
Miaka yote iko hivyo Netanyahu atajiongezea approval, ataweza kuunda serikali, atashinda kesi yake dhidi ya Rushwa. Hamas watajiongezea umaarufu

Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa

Israel Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau.

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Kwanini wasimchape kidogo atulie

Makafiri wa kiyahudi wameshindwa kwa watumia manati na kombeo wataweza kwa Iran!! Unaongea nini mzehe!!!!

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Hamas kwa mara nyengine wameshangilia ushindi mnono.Mitaa mingi ni hoi hoi.
Sasa watapata muda kutengeneza maroketi mengine mazito na ya masafa ya mbali kuliko yale waliyoyatumia mwaka huu. Wanajua kuwa mayahudi hawajawahi kuheshimu mkataba wowote kwa muda mrefu.Si wa UN wala nchi yoyote ile. Hata ukiwakaribisha nchini mwako wanavuta muda tu kutafuta kukalia juu na wewe mwenyeji uwe chini ya amri zao.
 
Israel Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
Kipi ambacho hujakubaliana nacho au unakataa au unahisi nimekosea? Maana Mwenyezi mwenyewe kupitia kwa mtume alishayasema hayo
 
Waisraeli siyo watu wazuri. Na hawa watu wanamiliki vyombo vya habari kwa hiyo hutaona habari njema kuhusu Hamas imeandikwa.
Siyo kwamba Mwisraeli anafanya uovu,ni kwamba ile dini yake inamsukuma kuchinjachinja watu. Dini siyo religion,ni anti religion,anti thesis.
Laana ya kumfurusha Yesu inazidi kuwatafuna
 
Kwahio lile lengo lao la kuingia gaza vita ya chini na kuwa undercontrol yao imeishia wapi
 
Waisraeli siyo watu wazuri. Na hawa watu wanamiliki vyombo vya habari kwa hiyo hutaona habari njema kuhusu Hamas imeandikwa.
Siyo kwamba Mwisraeli anafanya uovu,ni kwamba ile dini yake inamsukuma kuchinjachinja watu. Dini siyo religion,ni anti religion,anti thesis.
Wale wanaokata watu vichwa kule Nigeria, Somalia, Mozambique wao pia ni waisraeli.
 
Misri ndio mlezi wa hao watoto wawili wa baba mmoja anawajua in and out hata walipotaka kuuawa walikimbilia kwake, hata walipo patwa na baa la njaa waliponea kwake

Sasa linaibuka jitu jeusi tii kama mkaa linataka kujifanya ama ni li izrael zaidi ya izrael wenyewe au li arabu zaidi ya waarabu wenyewe

Linaanza kutoa matamko kwenye nyumba za ibada na mitnsaoni kitu ambacho hata asili ya mgogoro halijui linaishi kiisia tuu kutokana na lilivyokaririshwa na chuki lililonyweshwa na viongozi makanjanja wa dini

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]MISRI[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Mkuu wanasema hata Pharao alikuwa mweusi tii
 
Hivi matokeo ya vita huko Gaza ngapi ngapi vile?
Hamas kwa mara nyengine wameshangilia ushindi mnono.Mitaa mingi ni hoi hoi.
Sasa watapata muda kutengeneza maroketi mengine mazito na ya masafa ya mbali kuliko yale waliyoyatumia mwaka huu. Wanajua kuwa mayahudi hawajawahi kuheshimu mkataba wowote kwa muda mrefu.Si wa UN wala nchi yoyote ile. Hata ukiwakaribisha nchini mwako wanavuta muda tu kutafuta kukalia juu na wewe mwenyeji uwe chini ya amri zao.
Makafiri wa kiyahudi wameshindwa kwa watumia manati na kombeo wataweza kwa Iran!! Unaongea nini mzehe!!!!

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
... ndio hoja mfu uliyobaki nayo! Kutonitambua haiondoi haki yao ya kujilinda dhidi ya magaidi!
Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako
20210516_131951.jpg
 
Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako View attachment 1792662
... huo ujumbe unanihusu nini? Am I a cow worshiper? Am I a urine drinker? Wengine wanakunywa mikojo ya ngamia anyway!
 
Back
Top Bottom