Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Vita haina macho! Hivyo hamna fidia!Watu waliopata madhara cjui watafidiwa ama ndo imeeisha hyo? Haya maisha hayaa basi tu.
Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau.Netanyahu atakuwa na hali mbaya maana Wazayuni wamemind walisema Netanyahu asijefikiria kabisa kuunda serikali ya muungano kama akisitisha mapigano bila kurejeshwa kwa Mateka wa Kiislaeli waliotekwa na pia walitaka Hamas aangamizwe kabisa na Gaza iwe chini ya Israel tena ili wasahau kabisa maroketi yasio na shabaha...
Kwanini wasimchape kidogo atulieIran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau
Acha shobo shobo na roho mbaya ww, bomu linaporushwa na hao waisrael feki kina Netanyahu kwani linachagua huyu mtoto huyu au hamas?Hatimaye magaidi ya Hamas wataliona jua baada ya siku 10. Hayana aibu midume mizima inatumia wanawake na watoto kama ngao.
Hivi kwanini Hamas mnaiita 'magaidi'? Mnatumia vigezo gani?Hatimaye magaidi ya Hamas wataliona jua baada ya siku 10. Hayana aibu midume mizima inatumia wanawake na watoto kama ngao.
Hawawez hata siku moja Israel kutumia nguvu kubwa kivile kwa watu wasio na hata silaha ni dalili nzur inayoonesha ni waoga Hamasa iliooneshwa na HAMAS watoto wa kipalestina na wanawake wao ni uzalendo mzuri na ipo siku IPO siku ipo siku WANYAMA haww wataanguka ktk mikono ya wanaume wa KWELIKwanini wasimchape kidogo atulie
We unakuhusu?Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau
Hivi 1967 ile ilikua Ni vita? Au wale wayahud fake wali wawahi kabla hawajatoka? MWAKA 1973 wayahud fake na wenyewe wali wahiwa na waarabu kilichowakuta hawaamini isingekua sifa za mwarabu Hilo Taifa lisingekuepo DUNIANI bila msaada wa RAIS NIXON mzee wa watar gate scandal wayahud fake walipelelekwa mpk bahari ya MediterraneanHao Wahamas kwasababu wanawashwa washwa watakuja kuanzisha uchokozi tena. Sijui hawana kazi?
Hao Misri, Jordan, Palestina na nchi zingine za kiarabu zilishamchangia Israel ikiwa bado ni nchi changa na wakapigwa wao ndani ya siku 6