Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
tulia wewe huo mji hautawaliki wayahudi walitaka kujenga makazi ya walowez lakin baada ya rusha roho ya hamas wameogopa mpaka sasa israel hana sauti yoyote yerusalimu hapo ha ha ha ha hamas kiboko kudadadeki... mafilisti wajinga sana! Walishaambiwa Yerusalemu ni ardhi "walipopumzika" manabii wa Mungu wa Yakobo sio pahala pa kuzika magaidi! Hivi kwa akili yao wanadhani kuna siku wataumiliki Mji wa Daudi?
Shukrani kwa juhudi kubwa za Serikali ya Misri.
Serikali ya Israel na Wanamgambo wa Hamas & Islamic Jihad hatimaye wamekubaliana kusitisha mapigano yaliyodumu kwa siku kumi na moja.
Kwa mujibu wa muafaka huo wa pande mbili na usio na masharti mapigano yatasitishwa kuanzia saa 8:00 usiku huu kwa saa Israel.
Serikali ya Misri itatuma Wajumbe wa Usalama ili kusimamia utekelezwaji wa makubaliano hayo muhimu.
Mapigano hayo yamepelekea vifo vya watu 232 huko Gaza na 12 Israel.
Miaka yote iko hivyo Netanyahu atajiongezea approval, ataweza kuunda serikali, atashinda kesi yake dhidi ya Rushwa. Hamas watajiongezea umaarufu
Baada ya miaka kadhaa watachokozana tena, yatajirudia haya haya. Mpaka mpaka pale mji wote wa Jerusalem utakapokuwa chini ya Israel na wapalestina wote kutolewa
Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau.
Kwanini wasimchape kidogo atulie
Kipi ambacho hujakubaliana nacho au unakataa au unahisi nimekosea? Maana Mwenyezi mwenyewe kupitia kwa mtume alishayasema hayoIsrael Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
Laana ya kumfurusha Yesu inazidi kuwatafunaWaisraeli siyo watu wazuri. Na hawa watu wanamiliki vyombo vya habari kwa hiyo hutaona habari njema kuhusu Hamas imeandikwa.
Siyo kwamba Mwisraeli anafanya uovu,ni kwamba ile dini yake inamsukuma kuchinjachinja watu. Dini siyo religion,ni anti religion,anti thesis.
Kutwa wanabanduana jinsia mojaNdiyo tatizo , wapo wahubiri wanalipwa na Israel kusema kwamba Wayahudi ni watu wa Mungu.
Lakini Wayahudi hawa,Ashkenazi Jews, siyo watoto wa Abraham.
.
Wale wanaokata watu vichwa kule Nigeria, Somalia, Mozambique wao pia ni waisraeli.Waisraeli siyo watu wazuri. Na hawa watu wanamiliki vyombo vya habari kwa hiyo hutaona habari njema kuhusu Hamas imeandikwa.
Siyo kwamba Mwisraeli anafanya uovu,ni kwamba ile dini yake inamsukuma kuchinjachinja watu. Dini siyo religion,ni anti religion,anti thesis.
Misri ndio mlezi wa hao watoto wawili wa baba mmoja anawajua in and out hata walipotaka kuuawa walikimbilia kwake, hata walipo patwa na baa la njaa waliponea kwake
Sasa linaibuka jitu jeusi tii kama mkaa linataka kujifanya ama ni li izrael zaidi ya izrael wenyewe au li arabu zaidi ya waarabu wenyewe
Linaanza kutoa matamko kwenye nyumba za ibada na mitnsaoni kitu ambacho hata asili ya mgogoro halijui linaishi kiisia tuu kutokana na lilivyokaririshwa na chuki lililonyweshwa na viongozi makanjanja wa dini
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]MISRI[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Hamas kwa mara nyengine wameshangilia ushindi mnono.Mitaa mingi ni hoi hoi.
Sasa watapata muda kutengeneza maroketi mengine mazito na ya masafa ya mbali kuliko yale waliyoyatumia mwaka huu. Wanajua kuwa mayahudi hawajawahi kuheshimu mkataba wowote kwa muda mrefu.Si wa UN wala nchi yoyote ile. Hata ukiwakaribisha nchini mwako wanavuta muda tu kutafuta kukalia juu na wewe mwenyeji uwe chini ya amri zao.
Makafiri wa kiyahudi wameshindwa kwa watumia manati na kombeo wataweza kwa Iran!! Unaongea nini mzehe!!!!
Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
Palestine condemns Israel settlers’ attack on Christian clergy in Jerusalem Palestine condemns Israel settlers' attack on Christian clergy in Jerusalem.... wajinga kweli! Unajiuliza la maana walilopata ni lipi baada ya tafrani waliyoianzisha wenyewe? Hakuna zaidi ya maafa kwa raia wasio na hatia - wanawake na watoto!
... ndio hoja mfu uliyobaki nayo! Kutonitambua haiondoi haki yao ya kujilinda dhidi ya magaidi!Acha kuwa mtumwa ww, ata ujipendekeze hawakutambui kamwePalestine condemns Israel settlers’ attack on Christian clergy in Jerusalem Palestine condemns Israel settlers' attack on Christian clergy in Jerusalem
Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako... ndio hoja mfu uliyobaki nayo! Kutonitambua haiondoi haki yao ya kujilinda dhidi ya magaidi!
... huo ujumbe unanihusu nini? Am I a cow worshiper? Am I a urine drinker? Wengine wanakunywa mikojo ya ngamia anyway!Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako View attachment 1792662