Israel na Hamas wakubaliana kusitisha Mapigano

... mafilisti wajinga sana! Walishaambiwa Yerusalemu ni ardhi "walipopumzika" manabii wa Mungu wa Yakobo sio pahala pa kuzika magaidi! Hivi kwa akili yao wanadhani kuna siku wataumiliki Mji wa Daudi?
tulia wewe huo mji hautawaliki wayahudi walitaka kujenga makazi ya walowez lakin baada ya rusha roho ya hamas wameogopa mpaka sasa israel hana sauti yoyote yerusalimu hapo ha ha ha ha hamas kiboko kudadadeki
 
Ha ha ha ha wayahudi wamekalishwa chini si walisema hakuna wa kuwazuia kuishambulia gaza ha ha ha netanyau
 
Ndiyo tatizo , wapo wahubiri wanalipwa na Israel kusema kwamba Wayahudi ni watu wa Mungu.
Lakini Wayahudi hawa,Ashkenazi Jews, siyo watoto wa Abraham.

.
 

Mpaka hapo, palestina ameshinda vita.
 

Israel Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Iran kama mwanamke malaya ugomvi haumuhusu kelele kibao nyau.

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Kwanini wasimchape kidogo atulie

Makafiri wa kiyahudi wameshindwa kwa watumia manati na kombeo wataweza kwa Iran!! Unaongea nini mzehe!!!!

Wamekua wakipambana na palestina kwa takriban miaka sasa, wakitumia silaha za hali ya juu na msaada wa kifedha wa Amerika dhidi ya nchi ambayo haina jeshi, haina silaha wala pesa wala hakuna serikali kuu. Na bado hawajafanikiwa kushinda. Lini watafahamu?! Huwezi kuipiga nchi ambayo inalindwa na ALLAH
 
Hamas kwa mara nyengine wameshangilia ushindi mnono.Mitaa mingi ni hoi hoi.
Sasa watapata muda kutengeneza maroketi mengine mazito na ya masafa ya mbali kuliko yale waliyoyatumia mwaka huu. Wanajua kuwa mayahudi hawajawahi kuheshimu mkataba wowote kwa muda mrefu.Si wa UN wala nchi yoyote ile. Hata ukiwakaribisha nchini mwako wanavuta muda tu kutafuta kukalia juu na wewe mwenyeji uwe chini ya amri zao.
 
Kipi ambacho hujakubaliana nacho au unakataa au unahisi nimekosea? Maana Mwenyezi mwenyewe kupitia kwa mtume alishayasema hayo
 
Laana ya kumfurusha Yesu inazidi kuwatafuna
 
Kwahio lile lengo lao la kuingia gaza vita ya chini na kuwa undercontrol yao imeishia wapi
 
Wale wanaokata watu vichwa kule Nigeria, Somalia, Mozambique wao pia ni waisraeli.
 

Mkuu wanasema hata Pharao alikuwa mweusi tii
 
Hivi matokeo ya vita huko Gaza ngapi ngapi vile?
 
... ndio hoja mfu uliyobaki nayo! Kutonitambua haiondoi haki yao ya kujilinda dhidi ya magaidi!
Sasa kwanini unajipendekeza wakati wanakuita nyani, au ww ndio wale chuki zenu ni Uislam tu, Sasa labda nikuambie tu unajipa kazi bure kuwa na chuki haitokusaidia ispokua utazeeka mapema na kufa uende kuchezea marungu huko uendako
 
... huo ujumbe unanihusu nini? Am I a cow worshiper? Am I a urine drinker? Wengine wanakunywa mikojo ya ngamia anyway!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…