kuna ushaidi wingi , ona kila sehem waarabu wapo na ndo zao la waarabu wakolon waliokuwa wanaenda maeneo mbali mbali kupora ardhu na utajiri wa watuStori ya upande mmja,tupeni stori ya Wapalestina maana hiyo ya Netanyahu ni ya kujitetea.
Mwenye stori ya upande wa pili nae aiweke ili tulinganishe.
Tujue Mpalestina akitoka wapi maana isijekuwa wakati wa tawala zote hizo za kale na Wapalestina walikuwepo na kutawaliwa pia au isijekuwa ni ugomvi wa watu wa familia Moja.
Kusema Wayahudi walifurushwa na Wapalestina/Waarabu inaleta ukakasi.
kwan nabii issa uzao wa bi maryam walikuwa wapalestina?Ukienda kwenye dini mvamizi ni Myahudi alitoka Misri akaenda hapo alipo na aliwakuta watu ,kabla ya kwenda Misri Kwa njaa Wayahudi walikuwa wanaishi wapi? Walikotoka kabla ndio kwao ila sio hapa Kwa Wapalestina huu ni uongo.
Waliichukua kwa mtindo gani ? Na kwa nini wachukue ardhi isiyo yao ?Waliichukua hiyo ardhi kutoka kwa Wakanaani ambao hawapo tena leo hii duniani.
Iraq alipotoka babu yaoArdhi ya Wayahudi ni ipi au iko wapi hapa duniani leo hii?
Kazi ya Israel ni kujimegea maeneo kadiri atakavyo wewe ungekuwa mpalestina ungekubali ?Hiyo ni ardhi ya Wayahudi na Wapalestina,
Waarabu na Wapalestina hawawataki Wayahudi hapo, kwa muda mrefu walikuwa wanapiga 2 states solution.
Wana haki nayo ipi ?Unachanganya mambo,
Kusema Waisrael wana haki na ardhi waliyo nayo Mashariki ya kati haina maana kujustify vita, ukatili na vurugu za kugombania ardhi zinazoendelea eneo hilo.
waroman ndo wayaud?Kama yesu alikuwa myahudi ,ilikuwaje wayahudi wezie wakamua
ila wapalestina wanapenda apartheid?Kwani wa Afrika Kusini wamekwambia wanatamani mno kurejea kwenye apartheid?
Nenda kasome naandiko, wayahudi sindio walio mfanyia fitina yesu Kwa Romanwaroman ndo wayaud?
kwamba wakisema walienda misri bas waliondoka wote? ebu tumia akili vzrKwa hiyo huko kuporwa Ardhi Kwa mkulima wa Kiyahudi na Waarabu ilitoka wapi wakati walishaenda Misri? Acheni fix
Kwa mtindo Wamerakini walivyoichukua ardhi ya Wahindi wekundu au Waarabu walivyoichukua Misri ya leo kutoka kwa Wamisri original.Waliichukua kwa mtindo gani ? Na kwa nini wachukue ardhi isiyo yao ?
Ni sawa ?Kwa mtindo Wamerakini walivyoichukua ardhi ya Wahindi wekundu au Waarabu walivyoichukua Misri ya leo kutoka kwa Wamisri original.
elewa karne ya 7 ndo inazungumziwa sio miaka 1000 hata kabla ya yesu kuzaliwaNetanyahu aache January janja. Babu zao walipotoka masri utumwani.wakakoswa koswa na firauni pale kwenye bahari. Walipokosea njia.wakaenda njia ya baharini mungu akawasaidia kwa kuachanisha bahari wakamkwepa firauni.na firauni akafa na majeshi yake.baada ya hapo walimsumbua sana musa mpaka musa anakufa.anachukua uongozi yoshua.anazunguka zunguka nao kwa miaka 40.wanavamia nchi za watu.nchi waliyoahidiwa sio hapo israel.hawajawahi kufika kwenye hyo nchi sababu ya uj
Kama sio sawa anza kwanza kudai Waarabu waondoke Misri, Morocco, Algeria na Tunisia na Wazungu na Blacks waondoke kabisa katika mabara ya America Kaskazini na Kusini na Wazungu pia waondoke Australia na New Zealand.Ni sawa ?
Nimekuuliza kiufupi tu. Ni sawa ?Ila umeamua kunipa mipasho.Kama sio sawa anza kwanza kudai Waarabu waondoke Misri, Morocco, Algeria na Tunisia na Wazungu na Blacks waondoke kabisa katika mabara ya America Kaskazini na Kusini na Wazungu pia waondoke Australia na New Zealand.
ila wapalestina wanapenda apartheid?
Ingia ktk uwanja wa vita uone waislam watakavyokuchakazamnajuwa kutunga story
Nimejaribu kuipanua akili yakoNimekuuliza kiufupi tu. Ni sawa ?Ila umeamua kunipa mipasho.
Nakuuliza tena. Ni sawa ?
Kuna kitu umejifunza na kimesaidia kukuondolea ujinga ulionao mwanzo.Nimejaribu kuipanua akili yako
bangi hizi [emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wanafaida gani kuwepo kwao? Kutwa mikelele tu. Wamalizwe wote tu.++Tukimaliza Palestina tunaingia Saudi Arabia. Maliza wote na mikanzu yao.