Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Stori ya upande mmja,tupeni stori ya Wapalestina maana hiyo ya Netanyahu ni ya kujitetea.

Mwenye stori ya upande wa pili nae aiweke ili tulinganishe.

Tujue Mpalestina akitoka wapi maana isijekuwa wakati wa tawala zote hizo za kale na Wapalestina walikuwepo na kutawaliwa pia au isijekuwa ni ugomvi wa watu wa familia Moja.

Kusema Wayahudi walifurushwa na Wapalestina/Waarabu inaleta ukakasi.
kuna ushaidi wingi , ona kila sehem waarabu wapo na ndo zao la waarabu wakolon waliokuwa wanaenda maeneo mbali mbali kupora ardhu na utajiri wa watu
 
Ukienda kwenye dini mvamizi ni Myahudi alitoka Misri akaenda hapo alipo na aliwakuta watu ,kabla ya kwenda Misri Kwa njaa Wayahudi walikuwa wanaishi wapi? Walikotoka kabla ndio kwao ila sio hapa Kwa Wapalestina huu ni uongo.
kwan nabii issa uzao wa bi maryam walikuwa wapalestina?
 
Hiyo ni ardhi ya Wayahudi na Wapalestina,
Waarabu na Wapalestina hawawataki Wayahudi hapo, kwa muda mrefu walikuwa wanapiga 2 states solution.
Kazi ya Israel ni kujimegea maeneo kadiri atakavyo wewe ungekuwa mpalestina ungekubali ?
 
Unachanganya mambo,
Kusema Waisrael wana haki na ardhi waliyo nayo Mashariki ya kati haina maana kujustify vita, ukatili na vurugu za kugombania ardhi zinazoendelea eneo hilo.
Wana haki nayo ipi ?
 
Waliichukua kwa mtindo gani ? Na kwa nini wachukue ardhi isiyo yao ?
Kwa mtindo Wamerakini walivyoichukua ardhi ya Wahindi wekundu au Waarabu walivyoichukua Misri ya leo kutoka kwa Wamisri original.
 
Netanyahu aache January janja. Babu zao walipotoka masri utumwani.wakakoswa koswa na firauni pale kwenye bahari. Walipokosea njia.wakaenda njia ya baharini mungu akawasaidia kwa kuachanisha bahari wakamkwepa firauni.na firauni akafa na majeshi yake.baada ya hapo walimsumbua sana musa mpaka musa anakufa.anachukua uongozi yoshua.anazunguka zunguka nao kwa miaka 40.wanavamia nchi za watu.nchi waliyoahidiwa sio hapo israel.hawajawahi kufika kwenye hyo nchi sababu ya uj
elewa karne ya 7 ndo inazungumziwa sio miaka 1000 hata kabla ya yesu kuzaliwa
 
Ni sawa ?
Kama sio sawa anza kwanza kudai Waarabu waondoke Misri, Morocco, Algeria na Tunisia na Wazungu na Blacks waondoke kabisa katika mabara ya America Kaskazini na Kusini na Wazungu pia waondoke Australia na New Zealand.
 
Kama sio sawa anza kwanza kudai Waarabu waondoke Misri, Morocco, Algeria na Tunisia na Wazungu na Blacks waondoke kabisa katika mabara ya America Kaskazini na Kusini na Wazungu pia waondoke Australia na New Zealand.
Nimekuuliza kiufupi tu. Ni sawa ?Ila umeamua kunipa mipasho.

Nakuuliza tena. Ni sawa ?
 
Kwani wanafaida gani kuwepo kwao? Kutwa mikelele tu. Wamalizwe wote tu.++Tukimaliza Palestina tunaingia Saudi Arabia. Maliza wote na mikanzu yao.
bangi hizi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom