Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

Israel ni nchi ya Wayahudi - Netanyahu

sehemu Israel ilipoenda kuanzisha nchi hapakua na makazi ya waarabu....waarabu walikua sehem za miinuko na waisrael walikua tambarare na walipoanzisha mashamba waarabu ndo walikuja kuomba kazi kwenye hayo mashamba na baadae wakaanza kusema ni ardhi yao....
Nenda kasome historia vizuri ya lile eneo, unafuata propaganda mfu
 
umeweka quotation ya mandela hapo, huyo mandela ni mojawapo ya watu wabinafsi na wapuuzi sana. anaheshimika kidunia kiunafiki tu. kwa namna Nyerere alivyompigania, kwa namna Tanzania tulivyorisk uchumi na mahusiano yetu, alitakiwa awe na shukrani ya kutosha, lakini alimtosa nyerere mwishoni huyo baada ya kutoka, na amesifia watu wengine zaidi ya nyerere na watanzania. na itoshe kusema alikoma kukaa gerezani kwa miaka 27 bila kukutana na nyapu yeyote, madume tu, na alipotoka alikoma zaidi kuona mkewe kipendi anafumuliwa na bwamdogo. to hell is him.

Mandela alimtosa Nyerere? Wacha wewe. Mandela kalamba Nobel, kamaliza apartheid, heshima yake duniani Haina mfano nk, huyo mjinga na mpuuzi kuliko wewe?!

Itakuwa buza ya wapi ndugu?
 
F8og6J7XcAAMK7i.jpeg
F8p5xE9bwAAndT3.jpeg

Walivyokuja.
 
"Wayahudi wameishi katika ardhi ya Israel, ambayo sasa ni nchi ya Israel, kwa takriban miaka 3,500. Tumetawaliwa na Warumi, tumetawaliwa na Wa-Byzantini, wametufanyia mambo mabaya, lakini hawakutufukuza, tofauti na vile watu wanavyofikiria. Upotevu wa ardhi yetu ulitokea wakati wa uvamizi wa Kiarabu katika karne ya saba.

Wa-Arabu waliingia kutoka Arabia na kufanya kitu ambacho hakijawahi kutokea kabla, si Warumi, Wa-Byzantini, si Wagiriki kabla yao, wala Alexanda the great, hakuna aliyewahi kufanya hivyo. Walianza kuchukua ardhi ya mkulima Myahudi. Walileta makoloni ya kijeshi ambayo yalichukua ardhi. Kadri muda ulivyopita, Wayahudi wakawa wachache katika ardhi yetu. Kwa hivyo, ni chini ya uvamizi wa Kiarabu ambapo Wayahudi walipoteza ardhi yao.

Wa-Arabu walikuwa wakoloni, Wayahudi walikuwa wenyeji. Hii ndivyo ilivyokuwa kwenye historia. Wayahudi walipokonywa ardhi yao. Tuliachwa tukitawanyika katika pembe za dunia, tukiteseka kwa sababu hatukuwa na nchi yetu, lakini hatukutoweka na kamwe hatukukata tamaa ya kurudi katika ardhi yetu ya kiasili.

Wa-Arabu, ambao walitawala ardhi, hawakuwahi kuifanya kuwa yao. Ilikuwa ardhi isiyo na watu. Katika karne ya 19, wazo la kurudi Yerusalemu likawa ukweli, na kwa sehemu kubwa, ilikuwa kutokana na msaada wa Wakristo Wakizayuni.

Kwa wazo la kurudi, Wayahudi waliendelea kurudi katika ardhi ya Israel katika karne ya 19. Matokeo ya kurudi huku ni kwamba tukaanza kujenga mashamba, viwanda, na maeneo ya ajira. Wa-Arabu, ambao walikuwa wamehamia katika karne zilizotangulia, sasa wanajiita Wapalestina. Waliibua upya historia na kusema wamekuwepo kwa karne nyingi.

Hawana haki ya kuwa hapa. Ardhi hii ni yetu. Imekuwa yetu kwa miaka 3,500. Ikiwa unachukua nyumba ya mtu, kuwafurusha na kuwapokonya, na hawakukataa madai yao, na wanasema ni madai yetu, na wewe unaiacha kama eneo lisilo na watu.

Na familia na uzao wa watu waliotimuliwa wanarudi, wanajenga nyumba, huna haki ya kuwakataza kuwa hapa. Tunawaambia, mnaweza kuishi hapa, sisi pia tunaweza kuishi hapa, lakini ardhi hii ni yetu, ni nchi yetu.

Na sababu hii ya mzozo inaendelea ni kwa sababu Wapalestina, wanaowakilisha wakoloni wa Kiarabu, uvamizi wa Kiarabu, katika Mashariki ya Kati na maeneo mengine, wanadai kuwa hatuna haki ya kuwa na nchi ya Kiyahudi. Lakini tunayo haki. Kama kuna watu wenye haki ya kuwa na nchi, kama kuna watu ambao hawajawahi kukataa ndoto yao ya kurudi katika nchi yao ya kiasili, basi Wayahudi wanamiliki ardhi hii. Ardhi hii ni ya Wayahudi.

Wapalestina wana uhuru wa kuishi hapa karibu nasi, miongoni mwetu, lakini hawana haki ya kudai kuvunjwa kwa nchi ya Kiyahudi. Hiyo si haki. Hiyo ni dhuluma." Alisema Benjamin Netanyahu alipohojiwa na chombo kimoja cha Habari.


Wayahudi wapi unao ongelea. Hawa waliopo sasa wametoka nchi za Ulaya kuanzia miaka 75 iliyopita!. Wengi ni waabudu wa dini ya kiyahudi lakini sio kabisa wale waliokuwepo miaka hiyo!. Kuna watu wengi wanaitwa wayahudi kwasababu tu ya kuabudu dini na sio lazima wale jamii hii naona wengi wanajichanganya. Ukifuatilia DNA wayahudi wa miaka 2000 iliyopita wengi wapo North Africa, East Africa na wengine walibaki sehemu ile. Hawa wanao ongoza wengi wametoka German na Poland
 
Mandela alimtosa Nyerere? Wacha wewe. Mandela kalamba Nobel, kamaliza apartheid, heshima yake duniani Haina mfano nk, huyo mjinga na mpuuzi kuliko wewe?!

Itakuwa buza ya wapi ndugu?
hao waliokuwa wanampa nobel prize, ndio waliokuwa maadui wa nyerere na Tanzania wakati yeye akiwa gerezeni tunampigania, alitakiwa anapopokea hizo nobel prize basi awe anatuacknowledge. ulishawahi kumsikia zaidi ya kukenua mimeno yake ile tu? unajua kama Tanzania zamani ndio ilikuwa Iran ya Africa? vile iran inavyotrain hamas na hezbullah hadi inawekewa vikwazo, sisi pia tumetrain wapiganaji wa south africa, angola, mozambique, namibia na zimbazwe, wapo hadi leo wameishi hapa na wanaongea kiswahili kizuri tu? hao kina mbeki, zuma na wote hao walishakuwepo hapa. ulishawahi kuoan hata siku moja ametuacknowledge? wakati wa kifo chake, kikwete alitoa utani kwamba mandela alisafiri kwenda nje kwa passport ya Tanzania, at least pengine wakumbuke mchango wetu ila wakapotezea. wewe ni mburura ya wapi?
 
Yeah yuko sahihi ila amenikera kuua wapalastetine wengi namna hii angeishi kwenye 1500 kushuka chini duh kazidi sana
Hayuko sahihi,wayahudi kazi yao kuibadili history iendane na agenda zao, byzantine waliwatimua, waislam chini ya ummar wakawarudisha baada ya kuwatimua wabynztine
 
hapo cha ajabu nini? walikuwa wanarudi kwenye ardhi ya kwao baada ya kuikimbia kwa miaka mingi. shida yenu huwa hamsomi na elimu dunia kwenu mnaipuuza, haya mambo yapo documented, asiye na akili tu anaweza kubisha kwamba ile ardhi ni ya waisrael, pamoja na uwepo wa evidence kibao ambazo bado zipo. sawa na wewe umefungwa gerezani umekaa huko miaka 30, unarudi kwenye nyumba yako mtu amevamia anaishi na ameshazaa watoto, baba kafa watoto wameachiwa urithi, na ile unaona kabisa ni nyumba yako una ushahidi, kwanini usinyang'anye kilicho chako?
 
hao waliokuwa wanampa nobel prize, ndio waliokuwa maadui wa nyerere na Tanzania wakati yeye akiwa gerezeni tunampigania, alitakiwa anapopokea hizo nobel prize basi awe anatuacknowledge. ulishawahi kumsikia zaidi ya kukenua mimeno yake ile tu? unajua kama Tanzania zamani ndio ilikuwa Iran ya Africa? vile iran inavyotrain hamas na hezbullah hadi inawekewa vikwazo, sisi pia tumetrain wapiganaji wa south africa, angola, mozambique, namibia na zimbazwe, wapo hadi leo wameishi hapa na wanaongea kiswahili kizuri tu? hao kina mbeki, zuma na wote hao walishakuwepo hapa. ulishawahi kuoan hata siku moja ametuacknowledge? wakati wa kifo chake, kikwete alitoa utani kwamba mandela alisafiri kwenda nje kwa passport ya Tanzania, at least pengine wakumbuke mchango wetu ila wakapotezea. wewe ni mburura ya wapi?

Ondoka Buza huko ukajifunza historia.

Julius Nyerere, Mandela and Winnie at Dar es Salaam | South African History Online

Waonekana kumwongelea Savimbi na kina Nkomo wewe.

Nyerere hakuwahi kuwa na tatizo na Mandela.

Nelson Mandela travels through Africa – Nelson Mandela Foundation

Punguza makasiriko ndugu. Mandela hana cha kufanya na maisha magumu Tanzania. Komaa na CCM sIyo Mandela ndugu.
 
Ondoka Buza huko ukajifunza historia.

Julius Nyerere, Mandela and Winnie at Dar es Salaam | South African History Online

Waonekana kumwongelea Savimbi na kina Nkomo wewe.

Nyerere hakuwahi kuwa na tatizo na Mandela.

Nelson Mandela travels through Africa – Nelson Mandela Foundation

Punguza makasiriko ndugu. Mandela hana cha kufanya na maisha magumu Tanzania. Komaa na CCM sIyo Mandela ndugu.
achana na kuja dsm au popote, kwenye zile international platforms ambazo alimtaja hata fidel castrol, kwenye international media, uliwahi kusikia amemtaja nyerere?
 
Yani hawa waisrael waliondoka karne ya 7 wakarudi karne ya 19 takribani miaka 1200 hawa jamaa ni kama wavamizi tu.
 
achana na kuja dsm au popote, kwenye zile international platforms ambazo alimtaja hata fidel castrol, kwenye international media, uliwahi kusikia amemtaja nyerere?

Uliwahi kumsikia Nyerere akilalamika?
 
hapo cha ajabu nini? walikuwa wanarudi kwenye ardhi ya kwao baada ya kuikimbia kwa miaka mingi. shida yenu huwa hamsomi na elimu dunia kwenu mnaipuuza, haya mambo yapo documented, asiye na akili tu anaweza kubisha kwamba ile ardhi ni ya waisrael, pamoja na uwepo wa evidence kibao ambazo bado zipo. sawa na wewe umefungwa gerezani umekaa huko miaka 30, unarudi kwenye nyumba yako mtu amevamia anaishi na ameshazaa watoto, baba kafa watoto wameachiwa urithi, na ile unaona kabisa ni nyumba yako una ushahidi, kwanini usinyang'anye kilicho chako?
Kwa kuomba? Wanyenyekevu kabisa
 
nyerere alikuwa mstaarabu wala asingelalamika. alimwachia Mungu. angelalamika angeaibika tu.

Acha hizo ndugu. Mtadanganyana hizo huko huko. Mandela alikuwa jembe. Wewe na fake ID kumvaa huyo hujihurumii?
 
Acha hizo ndugu. Mtadanganyana hizo huko huko. Mandela alikuwa jembe. Wewe na fake ID kumvaa huyo hujihurumii?
mandela alikuwa jembe kuliko nyerere? unaongea nini wewe? mandela amelialia tukamwonea huruma na kupoteza hadi uchumi wetu hapa tunampigania yeye yupo gerezani hadi watu wetu wameuliwa kwasababu yake, halafu unakuja kusema alikuwa jembe? alifanya nini cha maana? kukubali kuishi pamoja na wazungu? icho tu? wakati alikuwa hana namna lazima angefanya hivyo tu? tuambie amefanya nini cha maana? yeye yupo gerezani wengine ndio wanapambana. hata aliyekuwa mkewe winnie, alipambana na alikuwa jembe kuliko mandela.

wazungu walimpa nobel prize kwasababu apartheid ilienda miaka mingi, walitegemea kuwakuta na kulipiza kisasi, lakini akasamehe yote. kule kusamehe tu ndio aliwafurahisha wazungu ambao walikuwa wanatuita sisi iran na tulinyimwa hadi misaada kwasababu ya kumsaidia yeye akiwa gerezani.
 
Back
Top Bottom