zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwani Ibrahimu alizaa wayahudi pekee? Vipi kina Esau, Ishmael, Isaka? Hawakuwa na watoto wao?Ugomvi ukizidi, Mungu aliyempa Ibrahimu aridhi hii, ataamua ugomvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ibrahimu alizaa wayahudi pekee? Vipi kina Esau, Ishmael, Isaka? Hawakuwa na watoto wao?Ugomvi ukizidi, Mungu aliyempa Ibrahimu aridhi hii, ataamua ugomvi
mandela alikuwa jembe kuliko nyerere? unaongea nini wewe? mandela amelialia tukamwonea huruma na kupoteza hadi uchumi wetu hapa tunampigania yeye yupo gerezani hadi watu wetu wameuliwa kwasababu yake, halafu unakuja kusema alikuwa jembe? alifanya nini cha maana? kukubali kuishi pamoja na wazungu? icho tu? wakati alikuwa hana namna lazima angefanya hivyo tu? tuambie amefanya nini cha maana? yeye yupo gerezani wengine ndio wanapambana. hata aliyekuwa mkewe winnie, alipambana na alikuwa jembe kuliko mandela.
wazungu walimpa nobel prize kwasababu apartheid ilienda miaka mingi, walitegemea kuwakuta na kulipiza kisasi, lakini akasamehe yote. kule kusamehe tu ndio aliwafurahisha wazungu ambao walikuwa wanatuita sisi iran na tulinyimwa hadi misaada kwasababu ya kumsaidia yeye akiwa gerezani.
View: https://medium.com/@matshonatdhliwayo/7-reasons-why-nelson-mandela-was-a-great-leader-by-matshona-dhliwayo-203fdab12b03
Click hspo uone mambo.
Habari ndiyo hiyo.
Yeah yuko sahihi ila amenikera kuua wapalastetine wengi namna hii angeishi kwenye 1500 kushuka chini duh kazidi sana
wewe utakuwa ni mtoto wa masalia ya wasouth waliokuwa wanatrain hapa bongo miaka ile. kapime DNA na unayemwita babako. mbona huelewi?
Kwanini waliijenga?Mwambie . Waislam wanataka Masjid Aqswa yao
Hii vita ya sasa hivi itawafungua wengi na kujua hawa jamaa hawana ugomvi wa kidini,ugomvi wao myahudi na mwarabu,yan mwarabu awe mkristo awe muislam hawezi kumkubali myahudi,na ndivyo kwa wayahudi awe jewish au muslim kamwe amkubali mwarabu,upande wa israel kuna waisrael waislam ambao wako sambaba na wayahudi kupigania ardhi yao na upande wa waarabu ni hivyo hivyo,sasa wale waislam na wakristo wa kwa mtogole akili inawarudi kidogo kidogo kama ilivyo kwa myahudi wa kwenye maslum MK254
Kwani SI waende kuchukuaMwambie . Waislam wanataka Masjid Aqswa yao
Anaongelea asili ya ardhi,na sio idadiKasome historia vizuri ujue population ya Wayahudi ilikuwa ni kiasi gani mwaka 1947 na Waarabu walikuwa wangapi. Ondoa moshi wa propaganda akilini mwako.
Leo sasa ndo amefunguka ya Moyoni, mengine zuga tu."Wayahudi wameishi katika ardhi ya Israel, ambayo sasa ni nchi ya Israel, kwa takriban miaka 3,500. Tumetawaliwa na Warumi, tumetawaliwa na Wa-Byzantini, wametufanyia mambo mabaya, lakini hawakutufukuza, tofauti na vile watu wanavyofikiria. Upotevu wa ardhi yetu ulitokea wakati wa uvamizi wa Kiarabu katika karne ya saba.
Wa-Arabu waliingia kutoka Arabia na kufanya kitu ambacho hakijawahi kutokea kabla, si Warumi, Wa-Byzantini, si Wagiriki kabla yao, wala Alexanda the great, hakuna aliyewahi kufanya hivyo. Walianza kuchukua ardhi ya mkulima Myahudi. Walileta makoloni ya kijeshi ambayo yalichukua ardhi. Kadri muda ulivyopita, Wayahudi wakawa wachache katika ardhi yetu. Kwa hivyo, ni chini ya uvamizi wa Kiarabu ambapo Wayahudi walipoteza ardhi yao.
Wa-Arabu walikuwa wakoloni, Wayahudi walikuwa wenyeji. Hii ndivyo ilivyokuwa kwenye historia. Wayahudi walipokonywa ardhi yao. Tuliachwa tukitawanyika katika pembe za dunia, tukiteseka kwa sababu hatukuwa na nchi yetu, lakini hatukutoweka na kamwe hatukukata tamaa ya kurudi katika ardhi yetu ya kiasili.
Wa-Arabu, ambao walitawala ardhi, hawakuwahi kuifanya kuwa yao. Ilikuwa ardhi isiyo na watu. Katika karne ya 19, wazo la kurudi Yerusalemu likawa ukweli, na kwa sehemu kubwa, ilikuwa kutokana na msaada wa Wakristo Wakizayuni.
Kwa wazo la kurudi, Wayahudi waliendelea kurudi katika ardhi ya Israel katika karne ya 19. Matokeo ya kurudi huku ni kwamba tukaanza kujenga mashamba, viwanda, na maeneo ya ajira. Wa-Arabu, ambao walikuwa wamehamia katika karne zilizotangulia, sasa wanajiita Wapalestina. Waliibua upya historia na kusema wamekuwepo kwa karne nyingi.
Hawana haki ya kuwa hapa. Ardhi hii ni yetu. Imekuwa yetu kwa miaka 3,500. Ikiwa unachukua nyumba ya mtu, kuwafurusha na kuwapokonya, na hawakukataa madai yao, na wanasema ni madai yetu, na wewe unaiacha kama eneo lisilo na watu.
Na familia na uzao wa watu waliotimuliwa wanarudi, wanajenga nyumba, huna haki ya kuwakataza kuwa hapa. Tunawaambia, mnaweza kuishi hapa, sisi pia tunaweza kuishi hapa, lakini ardhi hii ni yetu, ni nchi yetu.
Na sababu hii ya mzozo inaendelea ni kwa sababu Wapalestina, wanaowakilisha wakoloni wa Kiarabu, uvamizi wa Kiarabu, katika Mashariki ya Kati na maeneo mengine, wanadai kuwa hatuna haki ya kuwa na nchi ya Kiyahudi. Lakini tunayo haki. Kama kuna watu wenye haki ya kuwa na nchi, kama kuna watu ambao hawajawahi kukataa ndoto yao ya kurudi katika nchi yao ya kiasili, basi Wayahudi wanamiliki ardhi hii. Ardhi hii ni ya Wayahudi.
Wapalestina wana uhuru wa kuishi hapa karibu nasi, miongoni mwetu, lakini hawana haki ya kudai kuvunjwa kwa nchi ya Kiyahudi. Hiyo si haki. Hiyo ni dhuluma." Alisema Benjamin Netanyahu alipohojiwa na chombo kimoja cha Habari.
Kila mdu akipadai kwao miaka 4000 iligopita patakalika kweli DunianiSasa mbona anaanzia miaka 3500 tu iliyopita? Angeanzia mwaka "0" aseme Mungu aliumba Adam - muyahudi hivyo binadamu wote ni wayahudi na hakuna kqbila jingine?
Ndoto kama hizi hazipaswi kupewa nafasi. Kila mtu anaweza kuota kivyake ikawa fujo.
Aende mahakamani akapate tafsiri sIyo huu ununda wake:
View attachment 2785470
View attachment 2785469
Vitabu hivyo aliandika nani?amesema ukweli wote, nimesoma sana vitabu vya historia ya hawa watu, ipo hivyo hivyo. karne ya saba ndio waarabu walivamia hapo.
Yeah yuko sahihi ila amenikera kuua wapalastetine wengi namna hii angeishi kwenye 1500 kushuka chini duh kazidi sana
Pamoja na kumsulibisha masihi wa Bwana wabarikiwe?Mungu awabariki
Sema walivyorudi! Kwani masihi wa Bwana walimsulibisha wakiwa wapi miaka 2000 iliyopita?
If that's the case mbona Idd Amin alipodai historically kuwa Kagera ilikua Uganda mbona alipingwa? Same to Russia anaona kama Crimea ni historically Russia ila anapingwa? But kwa israel pekee ndio halali?Wayahudi wameishi katika ardhi ya Israel, ambayo sasa ni nchi ya Israel, kwa takriban miaka 3,500