Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboni naona kama hali yetu kimaisha inaashiria tushalaaniwa au tumelogwa?Israeli ni taifa teule la Mungu àitwaye Jehova.
ukiona umepigana nao na umeshinda ujue Bwana Mungu Jehova. Ameruhusu.
Ninachoshukuru serikali ya tz ni kufungua ubalozi Israeli maana imeandikwa atakayewabariki Israeli atabarikiwa ayakayewalaani atalaaniwa.
Ww mwenye comment ya kikubwa mbna sijaona cha maana ulichoeleza zaid ya porojo za kutuletea yale mapipa marefu sijui S jero sijui nn bila maelezo wakt hayo mapipa yenyewe hata kutumika bado hayajaanzaUlitakiwa ujue kuwa hakuna Missile attack or shield ya aina yoyote duniani ambayo haiko guided na radar. Na ndio maana sikutegemea utoe comment ya aina ile coz ni ya kitoto sana.
Au ulitaka kuwa nikisema nimenunua desktop computer basi nitaje na keyboard, mouse na nyaya nyaya zake.
So nilivyosema ni S500 ulitaka nikutajie na kila kifaa chake. Poor you
Hyo hpoNikikumbuka lile limerikebu la kiiran lililotia nanga dar port mwaka jana au juzi naishia kucheka tu. Lile hata wavuvi pale feri wana uwezo wa kulizamisha. Mwenye picha yake aiweke hapa tafadhali.
Acha nikupotezee tuu.Ww mwenye comment ya kikubwa mbna sijaona cha maana ulichoeleza zaid ya porojo za kutuletea yale mapipa marefu sijui S jero sijui nn bila maelezo wakt hayo mapipa yenyewe hata kutumika bado hayajaanza
Mataila km nyiny pia ni wa kupotezewa pia mjue kutofutisha kat ya jukwaa la kimataifa na lile la kutongozana.Acha nikupotezee tuu.
Inabidi Mapimbi kama nyinyi mjue kutofautisha kati ya Jukwaa lenu la Siasa na Jukwaa la Kimataifa.
Ignore list thank u JFMataila km nyiny pia ni wa kupotezewa pia mjue kutofutisha kat ya jukwaa la kimataifa na lile la kutongozana.
Sijui akili za wapi hizi.Hilo wamejitungia wenyewe wa Israel. Mungu hawezi kuwa mbaguzi hivyo. Wasrel wenyewe wengi hawamfuati Jesus
Sasa huyu mungu gani anayekuwa upande wa mashoga na wauaji wa huko Israel?Mungu hana ubaguzi lakini kaamua kuanzishia ukombozi wa dunia nzima kupitia Israeli
Huo ndio ukweli.
Unajua Israel inapokea kiasi gani cha fedha katika bajeti yao kila mwaka kutoka Marekani? Hasa kiulinzi. Mi naona ni kama overseas territory ya marekani.Sasa wewe unatuambia nini, kawaida ya Waafrika kulialia kwamba wanaonewa wakati wenyewe wavivu balaa. Israel kainchi kadogo sana lakini wanajituma hadi wanakua tishio kwa mataifa makubwa na yenye uwezo mkubwa.
Aaah! $100 million ?
Kumbe Tz tukitenga kama trillion moja na ushee tunavuta F-35 Tano chapuu...
Kila mwaka 5 after 5 years..huku Africa hakuna wa kutunyanyulia pua...
Mawazo ya jioni haya wakuu!
Transcend
Ni imani yake Mkuu. Na Wewe simama kwenye yako.Tatizo la watu ambao ni brainwashed ndio hili....
Ni kweli Ila imani sio sehemu yake hii.Ni imani yake Mkuu. Na Wewe simama kwenye yako.
Ngongo Unapodhani wewe unajua kuliko wengine unakatiwa pia kujua wapo wenzio wanajua kulko ww pia Mkuu ze kokuyo wewe unazungumzia Israel Aerospace Industries (IAI) hili ndio shirika pekee ndani ya israel wana deal na Aerospace ,Defence na Tech na project hyo unayoizungumzia ni ya mwaka 1980 project ya Lavi ilikuja kushindwa mwaka 1987 baada ya bunge la israel kuachana nayo si kwa kukatanzwa na US kama ulivyosema na chanzo cha bunge kuikataa ni kutokana na bajeti ya program yani program cost kuwa kubwa sana ndio maana siku hizi kuna joint strike project kwa ajili ya kupunguza mzigo wa project cost F -35 yenyewe tu project cost yake ni US$ 1.508 trillion sasa ni fedha nying sana kwa nchi ndo maana zinashirikiana nchi zaid ya moja kwenye hzo projectMkuu unajua Kfir kama hujui bora ukae kimya Israel ina tengeneza ndege na wakati mwingine wanafanya modification.