Israel VS Gaza. Kosa dogo tu likifanyika kama halijapangwa nyumba ya pazia, tunaingia WWIII (Nuclear War)

Israel VS Gaza. Kosa dogo tu likifanyika kama halijapangwa nyumba ya pazia, tunaingia WWIII (Nuclear War)

Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
naaam uchambuzi maridadadiii na maridhawa kabisa kutoka kwa Repoooorta wetu wa Kisiju apo mchamba wima 👏👏
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
China hawaingiliagi vita acha uwongo

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Inakadiriwa Israel kuwa tactila nuclear warhead 80, huku kwa Iran ikiwa ni 0.

Ni ngumu nchi za kiarabu kumgusa Israel, kitu kinaitwa Nuclear ni kipengele kingine unless uwe na guts kama za magharibi walivyomtuliza Putin na nuclear zake.
Umemuona Putin China juzi. Pembeni wasaidizi wake na briefcases za kuactivate Nuclear kama anavyofanya Biden.

Hofu ni vita kusambaa na kuwa vivutio vya wakubwa wanaimiliki Nuclear. Ukizingatia kuna kiporo cha Vita vya Ukraine ambako juzi makumi ya wanajeshi wa Israel wametoka huko kuja kusaidia nchi yao. Walikuwa wanatrain wanajeshi wa Ukraiene dhidi ya Russia.
Na msemaji mmoja Wa israel juzi akihojiwa na RT anafoka kuwa wakishinda Gaza wanarudi kuhakikisha Russia inashindwa Ukraine.
sddefault.jpg
 
Sina hakika! Russia haiwezi kutoa support kwa Iran kutumia vituo vyake vya kijeshi vilivyoko Syria kusafirisha silaha kwenda kuipiga Israeli.
Russia haiwezi kujiingiza kwenye mgogoro huo wakati ina mgogoro mwingine na Ukraine.
 
Naona reptilian family wanabipu, ili kukamilisha lengo lao pale mradi wa blue beam,cern project,haarp na chemstrail zikifeli kuleta new world order basi solution ya mwisho ni vita vya tatu vya dunia vyenye kuhusisha mabomu ya nyuklia. MUNGU atusaidie 🙏🙏🙏
 
Naona reptilian family wanabipu, ili kukamilisha lengo lao pale mradi wa blue beam,cern project,haarp na chemstrail zikifeli kuleta new world order basi solution ya mwisho ni vita vya tatu vya dunia vyenye kuhusisha mabomu ya nyuklia. MUNGU atusaidie 🙏🙏🙏
Blinken continues to try and link Russia and Hamas. The Biden WH understands that the only way they can remain in power is to escalate war and create chaos.
 
Hii ni vita ngumu sana sana pale middle east , tuombee amani na busara irudi kwa wafanya maamuzi na wahusika wakuu na waache kuchochea mzozo kuzidi zaidi .
 
Mkuu hili ni jukwaa lakimataifa.
Sasa unataka tujadili mambo ya Singida huku. Mbona thread za kisiasa na kitaifa ndio zinaongoza jf nzima.

Pia huwezi kujifunza mambo ya kitaifa kama unapuuza ya kimataifa. Taifa litakuwa la kijinga.
Fair enough mkuu, message ninayoituma hapa kwenye mada yako ya kimataifa ni kuangalia upande wa pili wa coin, Tanzania tumejitolea sana kimataifa na end of the day tunakua short changed, President Nyerere alivunja uhusiano na UK kisa issue ya Zimbabwe, sasa sisi kama watanzania tumenufaika nini?leo ukikamatwa na passport ya kitanzania yenye expired visa ndani ya zimbos unaumia vibaya, Mozambique in late 90s walituwekea visa (hadi transit one),majukwaa ya wenzetu ya kimataifa wanajadili opportunities za kimaisha kwa vijana wao, elewa DRC ndio future ya Afrika kibiashara, but sasa wanaamua kutumia walvis Bay kama bandari yao, wakati Dar ni karibu zaidi, watanzania tupo busy na yasiyotuhusu, kupata tajiri mwingine mzawa ndani ya Tanzania hii ni ndoto kwa sasa, hamas wameamua to poke a bear kwa kutumia fimbo badala ya RPG ni stupid move
 
Mkuu sidhani kama China na Iran kupeleka hizo silaha basi kutajumuisha mvutano mkubwa baina ya nchi hizo mbili.

CHINA
Miezi michache ya nyuma, China ilipiga mkwara mzito wa kuivamia kijeshi Taiwan endapo aliyekuwa Spika wa Bungu sijui ni makamu wa Rais, anaitwa Peros akiingia ndani ya Taiwan basi China haitasita kuchukua maamuzi magumu.

Mwisho tukaona US ikapeleka kiongozi wake hapo Taiwan na mpaka sasa China hakuna ilichokifanya.


Sio rahisi China kufanya muujiza wowote ktk huu mzozo na hata hizo meli sidhani kama zitakuwa na impact kubwa sababu China kuitetea tu Taiwan ameshindwa, ndo akawe mkombozi Palestina?


IRAN
Hakuna unyama ambao Israel hajaufanya mpaka sasa ndani ya Palestine, kama angekuwa na la kufanya basi angeshafanya muda mrefu.

Wazir wa mambo ya nje sijui wa ulinzi yule, alipotaka atue Syria dakika tu Israel akalipua ule uwanja na Iran akaufyata, akakaa kimya.

- Binafsi sioni nchi ya Kiislamu ambayo ina ubavu wa kuingia 100% ktk huu mgogoro kama tunavyoona mataifa ya magharibi yanavyoingia Israel.
Nb:
Meli hizo za kichina zinaripotiwa kua zilikuepo middle east kama miezi 4 hivi sasa
 
Naona reptilian family wanabipu, ili kukamilisha lengo lao pale mradi wa blue beam,cern project,haarp na chemstrail zikifeli kuleta new world order basi solution ya mwisho ni vita vya tatu vya dunia vyenye kuhusisha mabomu ya nyuklia. MUNGU atusaidie 🙏🙏🙏
Emu fafanua hivyo vitu ulivyoviandika anza na Reptilian family ni akina nani?
 
Fair enough mkuu, message ninayoituma hapa kwenye mada yako ya kimataifa ni kuangalia upande wa pili wa coin, Tanzania tumejitolea sana kimataifa na end of the day tunakua short changed, President Nyerere alivunja uhusiano na UK kisa issue ya Zimbabwe, sasa sisi kama watanzania tumenufaika nini?leo ukikamatwa na passport ya kitanzania yenye expired visa ndani ya zimbos unaumia vibaya, Mozambique in late 90s walituwekea visa (hadi transit one),majukwaa ya wenzetu ya kimataifa wanajadili opportunities za kimaisha kwa vijana wao, elewa DRC ndio future ya Afrika kibiashara, but sasa wanaamua kutumia walvis Bay kama bandari yao, wakati Dar ni karibu zaidi, watanzania tupo busy na yasiyotuhusu, kupata tajiri mwingine mzawa ndani ya Tanzania hii ni ndoto kwa sasa, hamas wameamua to poke a bear kwa kutumia fimbo badala ya RPG ni stupid move
Sawa.
 
Kuepuka hivi vita ni kuendelea kumbembeleza, kumdekeza huyu kichaa put-in. Ana nyege sana na nuclear huyu kenge
 
Baada ya Marekani kupeleka meli zake za kivita zenye thamani ya matrillioni. China na yeye anapeleka karibu na Gaza meli zake za kisasa z kivita nne.

Baada ya israel kuharibu uwanja wa ndege wa Damascus na Allepo. Leo dege kubwa la Iran limetua Syria likiwa na shehena za silaha kutumia uwanja wa kambi ya jeshi la urusi. Ikitokea Israel ikashambulia huo uwanja vita haitakuwa ndogo.

Shehena za silaha zinazoshushwa israel, makumi ya madege ya kivita ya US hayakauki Tel aviv airport ni ushahidi kuwa mlengwa sio Hamas. Ni kitu kikubwa zaidi ya hicho.

Kuzidiwa mapema kwa Jeshi la israel siku ya kushambuliwa na Hamas maana baadhi ya vyanzo vinasema sio kweli jeshi lilichelewa lakini lilifika kwa wakati ila hamas waliwazidi nguvu hadi ilipofika mchana. Ukizingatia kauli ya Rais wa Israel leo kuwa Hamas wamejipanga kutumia silaha za kemikali, Ukilinganisha na biti alilotoa Netanyahu ikiwa Hesbullah wataingilia kati, kunauwezekano ili kufupisha vita israel kutumia silaha kubwa kubwa za hatari ikiwemo Nuclear kwa mahasimu wake Iran.

Mvuto mkubwa unaoongezeka kuihusisha Russia, China na US katika vita hivi kama busara isipotumika dunia iko kwenye hatari ya WW3.

Ni hayo tu.
Dogo wacha kujiliwaza. Hao HAMAS, Wapalestina na Waarabu wakijichanganya watakuwa "wiped out"!
 
Back
Top Bottom