videoshop zishukuriwe angalau zinatengenezwa video za kuwafariji🤣Leo Hezbollah kawachapa base yao ya kujikinga kwa anga na kawaambia hiyo ni mwanzo tu, mchezo kamili bado:
View attachment 2864157
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
videoshop zishukuriwe angalau zinatengenezwa video za kuwafariji🤣Leo Hezbollah kawachapa base yao ya kujikinga kwa anga na kawaambia hiyo ni mwanzo tu, mchezo kamili bado:
View attachment 2864157
Wana roho mbaya sana hao mbwaMungu anisamehe!
Ila wayahudi wazayuni siwapendi abadani! Wale watu wana roho mbaya sana. Sisi binadamu wengine wanatuona kama takataka.
Wapigwe tu!
Hivi ww unadhani vita kati ya Hizbulah na Israel itakuwa kama ya gaza ya kwamba Israel itakuwa inajichagulia pa kupiga eti?Huo ujumbe wala haukutoka kwa Israel. EU wameenda kuwasihi Hezbollah kusitisha mashambulizi yao wakijua Israel akiigeukia Lebanon, nako kutakuwa na kilio kama Gaza.
Hezbollah wamekuwa wakishambulia Israel na Israel imekua ikijizuia kurudisha ikiacha UN ifanye jukumu lao kama ilivyokubaliwa mwaka 2006, lakini UN imeshindwa kuwadhibiti wala kuwakemea Hezbollah. EU imeingilia kwa good faith ili baadaye watu wasije wakaanza kulia na kusema wapo kimya.
Israel kwa sasa imeshaamua kugeukia Lebanon na ni swala la muda. EU imeshaina hatari inayoenda kutokea ndiyo maana mapema wanachukua hatua, ninyi mnashangilia kama ilivyokuwa Gaza halafu baadaye vilio vianze.
Ngoja tuone.
Hayo huwa ndiyo maneno yenu siku zote mambo yakiwa neutral. Hiyo vita ikitokea ni kama kawaid, itachezwa ndani ya Lebanoni. Hezibollah na Hamas wote ni migambo ma style yao ya kupigana ambayo ndiyo ngao yao kuu ni ileile ya kujificha nyuma ya raia na miundo mbinu ya kiraia badala ya kuwalinda raia.Hivi ww unadhani vita kati ya Hizbulah na Israel itakuwa kama ya gaza ya kwamba Israel itakuwa inajichagulia pa kupiga eti?
Au unadhani Hizbulah wana vijiroketi vya kienyeji kama Hamas?
Hiyo vita ikitokea itasababisha maafa ambayo wenda ambayo hayajawahi kuoneka hapo mashariki ya kati.
Israel inacho jivunia ni jeshi lake la anga ya kwamba mkiingia vitani yeye atashambulia kutoka angani auwe watu na kufanya uharibifu, lakini kwa upande wa Hizbulah itakuwa tofauti.Hayo huwa ndiyo maneno yenu siku zote mambo yakiwa neutral. Hiyo vita ikitokea ni kama kawaid, itachezwa ndani ya Lebanoni. Hezibollah na Hamas wote ni migambo ma style yao ya kupigana ambayo ndiyo ngao yao kuu ni ileile ya kujificha nyuma ya raia na miundo mbinu ya kiraia badala ya kuwalinda raia.
Hizo fikra zako JF ni jukwaa huru unaweza kuandika chochote unachojisikia.Huo ujumbe wala haukutoka kwa Israel. EU wameenda kuwasihi Hezbollah kusitisha mashambulizi yao wakijua Israel akiigeukia Lebanon, nako kutakuwa na kilio kama Gaza.
Hezbollah wamekuwa wakishambulia Israel na Israel imekua ikijizuia kurudisha ikiacha UN ifanye jukumu lao kama ilivyokubaliwa mwaka 2006, lakini UN imeshindwa kuwadhibiti wala kuwakemea Hezbollah. EU imeingilia kwa good faith ili baadaye watu wasije wakaanza kulia na kusema wapo kimya.
Israel kwa sasa imeshaamua kugeukia Lebanon na ni swala la muda. EU imeshaina hatari inayoenda kutokea ndiyo maana mapema wanachukua hatua, ninyi mnashangilia kama ilivyokuwa Gaza halafu baadaye vilio vianze.
Ngoja tuone.
Sasa kama Hao Hezibollah wanajivunia populatiin ya watu ambayo ndiyo human shield yao na tegemea kubwa, ulitaka Israel wasijuvunie Jeshi lao la anga?Israel inacho jivunia ni jeshi lake la anga ya kwamba mkiingia vitani yeye atashambulia kutoka angani auwe watu na kufanya uharibifu, lakini kwa upande wa Hizbulah itakuwa tofauti.
Kwenye vita hiyo Lebanon itachakaa lakini pia Israel nayo itachakaa , Israel itauwa watu Lebanon na yeye raia wake watauawa hivyo hivyo.
Vita itakuwa na athari mbaya kwa pande zote kwa sababu mauaji na uharibifu utakao fanywa na Israel kwa kutumia jeshi lake la anga , pia Hizbulah ana uwezo wa kufanya kwa kutumia makombora ya kisasa aliyo nayo, pia Hizbulah ina mpaka makombora ya kuzamisha meli.
Like kwanza Comment yangu kabla hauja reply.Hizo fikra zako JF ni jukwaa huru unaweza kuandika chochote unachojisikia.
Wewe upo radhi kuongea uongo kutetea Israel daaah!Like kwanza Comment yangu kabla hauja reply.
Soma majibu ya Hezbollah’s>>>>>>>>>>>>>>>
Nasrallah, akiwahutubia raia wa Israel moja kwa moja, katika hotuba yake kwa njia ya televisheni. "Hakutakuwa na mazungumzo isipokuwa uchokozi usitishwe huko Gaza.">>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Israeli officials have hinted that the “diplomatic hourglass” is running out to reach a negotiated solution to the escalating fighting on the boundary with Lebanon, even as the war in Gaza continues at a ferocious pace.>>>>>>>>>>>>>>>>>
Leo Hezbollah kawachapa base yao ya kujikinga kwa anga na kawaambia hiyo ni mwanzo tu, mchezo kamili bado:
View attachment 2864157
Heee! Unaleta udini?!We si wa kwanza kuwachukia na hutokua wa mwisho kuwachukia maana imeandikwa "mtachukiwa kwa ajili ya jina langu" uzuri ni kuwa hatima yao wayahudi ni nzuri tena nzuri kupindukia na wapalestina daima wataendelewa kuwa chini ya wayahudi🤣😆😂
Sana!Wana roho mbaya sana hao mbwa
Muoneni huyu Hizbullah wana kambi zao rasmi hapo LebanonHayo huwa ndiyo maneno yenu siku zote mambo yakiwa neutral. Hiyo vita ikitokea ni kama kawaid, itachezwa ndani ya Lebanoni. Hezibollah na Hamas wote ni migambo ma style yao ya kupigana ambayo ndiyo ngao yao kuu ni ileile ya kujificha nyuma ya raia na miundo mbinu ya kiraia badala ya kuwalinda raia.
Kwa nini hamas na houth hawalindi raia?
Ndio maana nimekuambia kuwa vita itakuwa na maafa makubwa kwa pande zote mbili na ndio maana pande zote mbili zinajitahidi na kuepuka kuingia kwenye vita kamili.Sasa kama Hao Hezibollah wanajivunia populatiin ya watu ambayo ndiyo human shield yao na tegemea kubwa, ulitaka Israel wasijuvunie Jeshi lao la anga?
Kama raia waisrael watakufa na Israel kuchoka sasa si ndiyo vizuri? Acha kiwake tu.