Kwa hiyo Osama yuko peponi? Vipi kuhusu nafsi za watanzania waliouwawa 1998 ubalozi wa Marekani?Muislam akifa au akimua mkiristo au yahudi wakati anapigania ardhi au Mali yake huyo mtu wa peponi tena ktk pepo ya juu kabisa. Lkn mkiristo akifa na ukiristo wake huyo motoni kabisa
Uislam umefika hadi Hispania. Jee wamebakwa wazungu? Hivi sasa uislam umekuwa hadi ulaya. Jee wazungu wamebakwa? Ukifa ukiwa mkiristo au mpagani wewe ujue motoni tu
NI MPUMBAVU ALIYEYASEMA HAYAEnyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Suratul maida
Sana.NI MPUMBAVU ALIYEYASEMA HAYA
History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko ulaya kuingia ktk uislam kwa makundi.Naongea kuhusu wewe hapo, kama muarabu hangekuja kubaka wazee wetu pale Pwani unsingekua unapigia watu makelele humu kuhusu dini yake huyo muarabu.
Wewe ni mkristo. Na ukifumba jicho utajuta unachokiongeaNI MPUMBAVU ALIYEYASEMA HAYA
Dini yenu ya juzijuzi ina vituko sana.Wazun
History inasema wameshonari ndio waliobaka waadfrika na kusambaza ukiristo. Waislam wameujua uislamu baada ya kusoma maandiko kama wanavyofanya wazungu huko
Ujumbe wa leo ijumaa
Mtu yoyote akifa akiwa sio muislam huyo ataingia ktk moto
JidanganyeDini yenu ya juzijuzi ina vituko sana.
Historia ya Uislamu haikuanza na Mtume Muhammad kama wanavyofikiria watu wengi bali imeanza tangu alipoletwa nabii wa kwanza ulimwenguni, ambaye kwa mujibu wa Waislamu ni Nabii Adamu alipoteremshwa ulimwenguni na kupewa mwongozo na Mwenyezi Mungu wa namna gani kuishi hapa duniani kwa njia nzuri ya wema na hisani kwa kushikamana na mafunzo yake Mwenyezi Mungu na kujiepusha na makatazo yake
Mbona wavaa dera wanasema Hamas wameshinda na miili ya wanajeshi wa Israel inaokotwa huko Gaza kwa wingi?Kwa kweli kiaina hata mimi nimeanza kupata kaukakasi fulani, jameni mpaka sasa sidhani kama kuna yeyote hajapata adabu yake pale Gaza, hata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi.
Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
==============================
Israel’s military response in the Gaza Strip to the shock October 7 attack by Hamas has been “over the top,” US President Joe Biden says.
“I’m of the view, as you know, that the conduct of the response in Gaza, in the Gaza Strip, has been over the top,” he tells reporters at the White House during an evening address that was announced only about two hours earlier.
The president adds that he’s “pushing very hard now” to get a sustained pause in fighting that could also free the remaining hostages in Gaza abducted from Israel on October 7.
Wallah aalam. Kikubwa ukifa nje ya uislam motoni tuKwa hiyo Osama yuko peponi? Vipi kuhusu nafsi za watanzania waliouwawa 1998 ubalozi wa Marekani?
Hivi,mko mwaka wa ngapi hii leo mkuu?Jidanganye
1. Nguzo 5 za uislam aziaminiIli mtu aitwe muislamu anatakiwa aweje na afanye nini?
Swali hili ndio litatoa uelekeo wa kile usemavyo ni kweli iau sio kweli
Faiza foxy aka miss JF apuuzwe.Mbona wavaa dera wanasema Hamas wameshinda na miili ya wanajeshi wa Israel inaokotwa huko Gaza kwa wingi?
2024Hivi,mko mwaka wa ngapi hii leo mkuu?
Hiyo ni Gregorian au Ahmadan?2024
Ni kweli kabisa, hii Vita imeleta maafa mabaya sana kwa Wapalestina,hata ikisamama Sasa maisha yao yameshaharibika.Watu wa Gaza wameteseka vya kutosha, wamepigika na kubamizwa mpaka basi tu. Itoshe sasa, Israel wakubali kuingia kwenye mazungumzo.
Hakuna Ahmadan. UsipotosheHiyo ni Gregorian au Ahmadan?
Waliyataka.Ni kweli kabisa, hii Vita imeleta maafa mabaya sana kwa Wapalestina,hata ikisamama Sasa maisha yao yameshaharibika.
Weewe hakuna vita ushabikikaNi kweli kabisa, hii Vita imeleta maafa mabaya sana kwa Wapalestina,hata ikisamama Sasa maisha yao yameshaharibika.